Anne Makinda anunua nyumba kwa Tsh. Milioni 900, Dar

Anne Makinda anunua nyumba kwa Tsh. Milioni 900, Dar

Hamjambo ndugu zangu?

Speaker mstaafu bi Anna Makinda amenunua nyumba hapa Mbezi Makonde yenye thamani ya tsh 900 ml.
Hiyo imekuja siku cheche baada ya mama huyo kukamilisha ujenzi wa ukumbi wake wenye thamani ya mabilion maeneo hayo hayo karibu na ukumbi wa RED HALL

Huyu alikuwa mtumishi wetu pesa kaipata wapii?
Ni kweli ufisadi umeisha Tanzania?

Nitawasilisha.
Kanoe miguu kenge unashinda humu ukitegemea uwe bilionea?
 
Kweli kabisa. Na mtu aliyeinvest akipata mafanikio bado tutataka kushindana nae, mwisho tunajaa madeni yasiyolipika.
Watu wanainvest sana Mamy K...

Huo Uwekezaji wa kumfanya Mtanzania wa kawaida mfano mtu kasoma miaka 7 daktari bingwa au Engineer au Mhasibu kununua nyumba ya 0.9Bil ni ndoto bila ujanjaujanja na ukikamatwa akaunti imeanza kuwa nene kazi utaiona ili Mradi tu Ukate tamaa.

Wenzetu kule kwa watoa Order, PCCB na TRA watoto na ndugu zao wamejaa sana
 
You speak as if you don't feel the Pain ndugu Arovera.

Hujui kama wasipokemewa Viongozi wakubwa na Maprof na Wanataaluma wanaokwamisha Elimu yetu kwa kuwa busy na ACTIVITIES ambazo ni fursa za wale wasio na shughuli za uzalishaji tutafika?

Lazima tuishi kwa kuachiana.

Hata nyumbani Baba na Mama walipowakuta watoto na Chakula kidogo au kichache hawakukaa mezani nao kula.

Yaani unaona ni sawa Mama Makinda kuwa na Mashamba au Mwigulu kuwa na Mabasi?

Do you know the Corruption Red Flags?

Dunia ilishaachana na mfumo wa ujamaa, na Tanzania haifuati tena Azimio la Arusha, everything is business bro, Rais wa Zambia ni mzalishaji na mfugaji mkubwa wa maziwa na nyama na anauza, zambia, Botswana hadi angola huko, ulitaka amuachie nani yaani biashara hata kazi unayofanya wewe kama umeajiriwa ni biashara, trump ni multi dollar billionea kwahiyo ulitaka aendelee kua mfanyakazi wa tyson milele acha hizo people are hustling day and night wakionesha matokeo kidogo mnapiga kelele, hasa kitu tunachopinga ni only corrupt leaders lakini wapambanaji hapana tuwape pongezi zao leo huwezi kusema hichelema awaachie na blah blah wakati kahuslte kufika kwenye peak hiyo
 
Hamjambo ndugu zangu?

Speaker mstaafu bi Anna Makinda amenunua nyumba hapa Mbezi Makonde yenye thamani ya tsh 900 ml.
Hiyo imekuja siku cheche baada ya mama huyo kukamilisha ujenzi wa ukumbi wake wenye thamani ya mabilion maeneo hayo hayo karibu na ukumbi wa RED HALL

Huyu alikuwa mtumishi wetu pesa kaipata wapii?
Ni kweli ufisadi umeisha Tanzania?

Nitawasilisha.
Tanzania ukiwa Kiongozi halafu ukistaafu Kiustaarabu bila Kuiba na Kuishi Maisha ya Kikawaida na Kimasikini Wananchi Sisi Sisi Wanafiki tunaanza Kukucheka na Kukudharau.

Safi sana Mama Makinda endelea tu Kuwekeza na tuache Sisi Watanzania Wanafiki na wenye Roho za Wivu na za Kichawi tuendelee zetu Kuzoza ( Kupiga Kelele ) huku Mtandaoni / Mitandaoni.

Kudadadeki.....!!!!!
 
Dunia ilishaachana na mfumo wa ujamaa, na Tanzania haifuati tena Azimio la Arusha, everything is business bro, Rais wa Zambia ni mzalishaji na mfugaji mkubwa wa maziwa na nyama na anauza, zambia, Botswana hadi angola huko, ulitaka amuachie nani yaani biashara hata kazi unayofanya wewe kama umeajiriwa ni biashara, trump ni multi dollar billionea kwahiyo ulitaka aendelee kua mfanyakazi wa tyson milele acha hizo people are hustling day and night wakionesha matokeo kidogo mnapiga kelele, hasa kitu tunachopinga ni only corrupt leaders lakini wapambanaji hapana tuwape pongezi zao leo huwezi kusema hichelema awaachie na blah blah wakati kahuslte kufika kwenye peak hiyo
Hebu tutajie Mfanyabiashara mwanasiasa asiye na makandokando Huyo Mama Makinda nina wasiwasi

Kwa sababu inaonekana haujafahamu wenzetu wanafanya Biashara na Mashirika na watu binafsi wanaokuja angalau kuwekeza kwa kushea na wazawa.

Hawa wawekezaji wa hivi wapo wengi mno wakati mwingine ni serikali za nje wakija majina yanayoandaliwa si langu wala la kwako isipokuwa labda kama wewe una nasaba nao hawa watanzania wenzetu au utakubali kuwakatia Cha juu
 
lkn si mkurugenzi wa NHIF?
sianapokea mshahara huko?
kwani mtumishi wa umma ni haramu kununua nyumba ya bei hiyo?!
inawezekana akawa na biashara zake.
watanzania walio wengi wana wivu mbaya sana.
wengi wanasumbuliwa na ugonjwa wa roho mbaya!!
 
Hii nchi wanaokula keki ya taifa ni wachache mno, wengine tunaingizwa kingi kwenye ushabiki wa siasa uchwara. Pesa ambayo wanatakiwa walipwe watu milioni anakwapua mtu mmoja tu, ndo maana unakutana na nyongeza za mishahara kwa watumishi wa umma ya shilingi buku mbili baada ya kupita miaka saba......
 
Tanzania ukiwa Kiongozi halafu ukistaafu Kiustaarabu bila Kuiba na Kuishi Maisha ya Kikawaida na Kimasikini Wananchi Sisi Sisi Wanafiki tunaanza Kukucheka na Kukudharau.

Safi sana Mama Makinda endelea tu Kuwekeza na tuache Sisi Watanzania Wanafiki na wenye Roho za Wivu na za Kichawi tuendelee zetu Kuzoza ( Kupiga Kelele ) huku Mtandaoni / Mitandaoni.

Kudadadeki.....!!!!!
Kiongozi anastaafu vipi akiwa Maskini wakati Fao lake ni kubwa zaidi ya lile la Mwalimu?

Au unataka kusema Mzee Nyerere kastaafu akiwa Maskini? Wewe Mightier ulitaka Mwalimu astaafu akiwa na Maghorofa?
 
Hebu tutajie Mfanyabiashara mwanasiasa asiye na makandokando Huyo Mama Makinda nina wasiwasi

Kwa sababu inaonekana haujafahamu wenzetu wanafanya Biashara na Mashirika na watu binafsi wanaokuja angalau kuwekeza kwa kushea na wazawa.

Hawa wawekezaji wa hivi wapo wengi mno wakati mwingine ni serikali za nje wakija majina yanayoandaliwa si langu wala la kwako isipokuwa labda kama wewe una nasaba nao hawa watanzania wenzetu au utakubali kuwakatia Cha juu

90% ya vitu vyote duniani ukiviangalia in a positive way nakuhakikishia utafanikiwa kwenye issue nyingi sana, na ukijipa asilimia 90% uangalie vitu in negative way mkuu unakua umepotea unafahamu watu walianza kununua treasury bonds kitambo, watu wana hisa kwenye makampuni na mashirika mbalimbali kitambo, watu wana mashamba kitambo, kuna viongozi nawafahamu gawio lao kwa mwaka maeneo mbali mbali ni kubwa kuliko kawaida na ukumbuke kwa mfano mama makinda keshastaafu kitambo hivo nafanya hayo kutokana na kujiwekeza zamani sio ajabu.
 
Hamjambo ndugu zangu?

Speaker mstaafu bi Anna Makinda amenunua nyumba hapa Mbezi Makonde yenye thamani ya tsh 900 ml.
Hiyo imekuja siku cheche baada ya mama huyo kukamilisha ujenzi wa ukumbi wake wenye thamani ya mabilion maeneo hayo hayo karibu na ukumbi wa RED HALL

Huyu alikuwa mtumishi wetu pesa kaipata wapii?
Ni kweli ufisadi umeisha Tanzania?

Nitawasilisha.
Ok sawa

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Hamjambo ndugu zangu?

Speaker mstaafu bi Anna Makinda amenunua nyumba hapa Mbezi Makonde yenye thamani ya tsh 900 ml.
Hiyo imekuja siku cheche baada ya mama huyo kukamilisha ujenzi wa ukumbi wake wenye thamani ya mabilion maeneo hayo hayo karibu na ukumbi wa RED HALL

Huyu alikuwa mtumishi wetu pesa kaipata wapii?
Ni kweli ufisadi umeisha Tanzania?

Nitawasilisha.
Haya yote ni kwa sababu kasema atakuwa wa mwisho kuamini kuwa Mbowe ni gaidi?
 
Kiongozi anastaafu vipi akiwa Maskini wakati Fao lake ni kubwa zaidi ya lile la Mwalimu?

Au unataka kusema Mzee Nyerere kastaafu akiwa Maskini? Wewe Mightier ulitaka Mwalimu astaafu akiwa na Maghorofa?

Asili ya watanzania wengi ni unafiki, yaani mtanzania anakuchekea usoni kumbe moyoni anawaza kukuua, ingekua tunaona mama makinda anadhalilika mtaani, hana lolote hiyo ndio ingekua furaha ya wabongo na picha tungesambaza kwa nguvu zote lakini hizi habari nzuri za kujenga hadi ukumbi ambao kimsingi ataajiri watanzania wenzake kwa walio wengi ni mbaya sana
 
90% ya vitu vyote duniani ukiviangalia in a positive way nakuhakikishia utafanikiwa kwenye issue nyingi sana, na ukijipa asilimia 90% uangalie vitu in negative way mkuu unakua umepotea unafahamu watu walianza kununua treasury bonds kitambo, watu wana hisa kwenye makampuni na mashirika mbalimbali kitambo, watu wana mashamba kitambo, kuna viongozi nawafahamu gawio lao kwa mwaka maeneo mbali mbali ni kubwa kuliko kawaida na ukumbuke kwa mfano mama makinda keshastaafu kitambo hivo nafanya hayo kutokana na kujiwekeza zamani sio ajabu.
Angalia sana unachokiangalia in a Positive way Mkuu Arovera

Kuna wakati yule Rais aliyepita alikemea juu ya watu kujilipa Mishahara mikubwa. Aliwang'ang'aniza wapunguze kiasi angalau.

Kazi ya kawaida mtu Mshahara kwa mwezi 18 Mil za kufanyia nini wakati Mtumishi mwingine maisha yake yote hajawahi na hawezi kupandishiwa hadi 1 Mil?
 
Mkuu Aisee ndo wewe Frenki kila siku mida ya msosi unavizia kuja homu kula na kuangalia kideo?
Akili yako ni kama za waafrika walio wengi- kutokana na maisha walioishi kijijiji wakiwa wadogo .Wanathamini kula zaidi ya Chochote.Mimi nimezaliwa na kukulia kwenye familia ambayo mbali na kusaza chakula, tulikuwa tunalisha na yatima.pole kama kuwa miongoni mwa waliozaliwa na kukulia kwenye mazingira ya njaa njaaa kizazi kinacho iba na kudhurumu utajiri wa nchi kipatapo madaraka.Wewe ni wale wanawaza Kula ndo kila kitu na wapo tayari dhurumu wengine kisa njaa zao
 
Asili ya watanzania wengi ni unafiki, yaani mtanzania anakuchekea usoni kumbe moyoni anawaza kukuua, ingekua tunaona mama makinda anadhalilika mtaani, hana lolote hiyo ndio ingekua furaha ya wabongo na picha tungesambaza kwa nguvu zote lakini hizi habari nzuri za kujenga hadi ukumbi ambao kimsingi ataajiri watanzania wenzake kwa walio wengi ni mbaya sana
Umeenda nje na kutetea ambacho hakipo.

Hivi kuna mbunge anaweza kuja kudhalilika Mtaani kama ataishi na Mshahara pekee bila kulalia wengine?

Watanzania wa aina gani wapo tayari Mtu ajilimbikizie Mali halafu aje kuwaajiri? Ukumbi wa Nini? Kuwakwamua watu tangu wakiwa Vijana hakupo.

Hawasubiri AJIRA za kitumwa hivyo.

Wanashindwa nini kuanziasha hata PLANTATION SCHEMES nchi Ina Maji kila upande na Ina asili ya Ubonde na Tambarare kumaanisha vyanzo vyetu sio vya kukaushwa na Miradi ya Kilimo.

Nile Mto mmoja unalisha nchi kubwa kubwa za Misri, Sudan, Ethiopia na Uganda wanalima Hadi wanafanya Export za Mazao nje.

Kwetu kila Mwaka hawazungumzii Kilimo Cha Tija, Ila stori ni mizengwe ya usambazaji wa Mbolea kila Mwaka ili mradi amezungumzia KILIMO
 
Ungekuwa unatumia angalau robo ya akili zako usingegusia habari za wabunge.

Maana ndani ya ccm kuna watu wameingia na familia zao kuanzia watoto,mama na wajukuu.
Kweli mzee wa Msoga mke Mbunge,mtoto Mbunge lol.
 
Akili yako ni kama za waafrika walio wengi- kutokana na maisha walioishi kijijiji wakiwa wadogo .Wanathamini kula zaidi ya Chochote.Mimi nimezaliwa na kukulia kwenye familia ambayo mbali na kusaza chakula, tulikuwa tunalisha na yatima.pole kama kuwa miongoni mwa waliozaliwa na kukulia kwenye mazingira ya njaa njaaa kizazi kinacho iba na kudhurumu utajiri wa nchi kipatapo madaraka.Wewe ni wale wanawaza Kula ndo kila kitu na wapo tayari dhurumu wengine kisa njaa zao
Kumbe ni wewe Frenki. Yani ulikuwa na machale ya msosi homu kwetu. Cha kukera zaidi ulikuwa unapiga zote tatu breakfast, lunch na supper. Nilichokusifia yani menu tu ikiwekwa mezani huyooo. Nakuzugazuga kwa kuchekacheka, kukenuanuakenua mimeno na vijisifa vya kijingajinga.

Mkono ukishaenda kinywani huyooo nduki unavizia tena the next meal. Ulikuwaga unakera sana sema tu mama yetu Anna alitulea vizuri tulikuwa na huruma na upendo kwenye wenye njaa na ulimbukeni wa msosi.

Siku hizi huko wapi na unafanya nini?
 
Watakaokuja kuibadiri Africa ni vizazi 10 mbele. Kwa sasa hapana hakuna mzalendo wa ivyo.. Tunaendabulaya kwa mbwembwe kusoma alaf tunarudi kuliibia taifa
 
Hamjambo ndugu zangu?

Speaker mstaafu bi Anna Makinda amenunua nyumba hapa Mbezi Makonde yenye thamani ya tsh 900 ml.
Hiyo imekuja siku cheche baada ya mama huyo kukamilisha ujenzi wa ukumbi wake wenye thamani ya mabilion maeneo hayo hayo karibu na ukumbi wa RED HALL

Huyu alikuwa mtumishi wetu pesa kaipata wapii?
Ni kweli ufisadi umeisha Tanzania?

Nitawasilisha.
Tafuta pesa achana na hizi mambo maana kuna watu wenye kazi zao sisi hayatuhusu
 
Back
Top Bottom