Anne Makinda anunua nyumba kwa Tsh. Milioni 900, Dar

Anne Makinda anunua nyumba kwa Tsh. Milioni 900, Dar

Hamjambo ndugu zangu?

Speaker mstaafu bi Anna Makinda amenunua nyumba hapa Mbezi Makonde yenye thamani ya tsh 900 ml.
Hiyo imekuja siku cheche baada ya mama huyo kukamilisha ujenzi wa ukumbi wake wenye thamani ya mabilion maeneo hayo hayo karibu na ukumbi wa RED HALL

Huyu alikuwa mtumishi wetu pesa kaipata wapii?
Ni kweli ufisadi umeisha Tanzania?

Nitawasilisha.
Bungeni hapo mfuko upo wa kutosha. Angalia ujeuri uliopo sasa
 
Mkuu ni 2.7 trillions 2016/2017 alikwapua hazina 1.5 trillions na 2017/2018 alikwapua 1.2 trillions zote hizi CAGs Assad na Kichere waliandika kwenye ripoti zao za mwaka.

Magufuli mwenyewe hatujui 1.5 trillion alizipeleka wapi mpaka leo na hukusema kitu. Ila imeona hizo mil 900 ni kubwa sana
 
Siasa za Tanzania huwafanya watu fulani fulani kuwa na Mali nyingi zaidi ya uwezo wao wa kutafuta Mali

Halafu unakuta kwenye masuala ya kutoa maamuzi yawapasayo Maskini Makinda naye anakaa kiti Cha mbele

Kukoma kwa Rushwa hapa kwetu mpaka Maskini nao wangekuwa wanashiriki katika zile zinazoitwa KAMATI au TUME

Sio Mtu ametoka nyumbani kapiga Maji ya Shower ya kuchagua ya Moto au ya baridi halafu useme atafahamu Maskini wanataka nini.
Hiyo hajatokea na haitatokea. Maskini naye akipata anauaga umaskini na kuijiunga na wenye navyo na mawazo yake yanakuwa ya wenyenavyo. Wanaolalamika saana humu JF ni maskini. Siku wakipata hapa JF hawataonekana kabisa, kwa sababu watakuwa busy na kazi za kukuza pesa walizonazo. Sasa hivi hawana cha kukuza zaidi ya uongo na mwivu.
 
Hamjambo ndugu zangu?

Speaker mstaafu bi Anna Makinda amenunua nyumba hapa Mbezi Makonde yenye thamani ya tsh 900 ml.
Hiyo imekuja siku cheche baada ya mama huyo kukamilisha ujenzi wa ukumbi wake wenye thamani ya mabilion maeneo hayo hayo karibu na ukumbi wa RED HALL

Huyu alikuwa mtumishi wetu pesa kaipata wapii?
Ni kweli ufisadi umeisha Tanzania?

Nitawasilisha.

58017F4B-1148-4231-9A9B-893880072499.jpeg
 
Bibi mkubwa ana vitega uchumi vingi Sana pia ni mkulima

I mean ile large scale agriculture
 
Tuache kuandama watu binafsi humu. Kila mtu ana haki zake za kikatiba.
 
Uenyekiti unalipa na viongozi wa CCM ndio matajiri wakubwa Tanzania na mwisho uliambiwa hawatakiwi kushitakiwa.
Ni kweli uenyekiti unalipa. Ndiyo maana mwenyekiti wa CHADEMA alienda kuwatembelea wanachama wa CHADEMA Dubai na kukaa miezi mitatu akikagua shughukli za chama na kulipiwa hoteli, chakula, na pesa ya kujikimu yeye mwenyekiti na mke wake. Nani kasema uenyekiti haulipi!
 
Sidhani kama hoja hapa ni pesa kapata wapi...iwe amepewa au amefanya biashara lakini hiyo dhamira tu ya kutamani kumiliki jumba la mamilioni ya pesa ni aibu kwa Kiongozi wa kaliba yake.

Mambo kama hayo afanye Mfanyabiashara, Msanii au Mwanamichezo sio tatizo lakini sio Mtu aliyewahi kupewa dhamana kubwa ya Nchi ambayo Wananchi wake wengi bado hawana uhakika wa hata mlo mmoja kwa siku au matibabu.

Ukisikiliza vipindi kama 'ushauri wako' cha RFA kila jumapili asubuhi au 'njia panda' cha Clouds jumapili mchana, kuna Watu wanakosa laki tatu tu ya matibabu na wanaishia kuzunguka mitaani kuomba michango na kukimbilia huko redioni kutafuta msaada....kama leo kupitia RFA kuna Mtoto mchanga amelazimika kutolewa jicho na bado anahitaji kuendelea na matibabu Mama yake hana uwezo...inasikitisha na kuhuzunisha na ukisikia huwezi kufanya manunuzi ya kufuru kama hayo.

Hivi Mwalimu angepewa hizo pesa angejenga au kununua nyumba ya gharama zote hizo?.

Mtu ukiutaka uongozi basi uwe tayari kupoteza.

Kama hii habari ina ukweli basi Mama huyu kaniangusha sana na sikutegemea hili kutoka kwake.
 
Mkuu ni 2.7 trillions 2016/2017 alikwapua hazina 1.5 trillions na 2017/2018 alikwapua 1.2 trillions zote hizi CAGs Assad na Kichere waliandika kwenye ripoti zao za mwaka.
Kama ni hivyo basi Rais aliyepita alikuwa na maarifa makubwa sana kuhusu Wizi
 
Sidhani kama hoja hapa ni pesa kapata wapi...iwe amepewa au amefanya biashara lakini hiyo dhamira tu ya kutamani kumiliki jumba la mamilioni ya pesa ni aibu kwa Kiongozi wa kaliba yake.

Mambo kama hayo afanye Mfanyabiashara, Msanii au Mwanamichezo sio tatizo lakini sio Mtu aliyewahi kupwa dhamana kubwa ya Nchi ambayo Wananchi wake wengi bado hawana uhakika wa hata mlo mmoja kwa siku au matibabu.

Ukisikiliza vipindi kama 'ushauri wako' cha RFA kila jumapili asubuhi au 'njia panda' cha Clouds jumapili mchana, kuna Watu wanakosa laki tatu tu ya matibabu na wanaishia kuzunguka mitaani kuomba michango na kukimbilia huko redioni kutafuta msaada.

Hivi Mwalimu angepewa hizo pesa angejenga au kununua nyumba ya gharama zote hizo?.

Mtu ukiutaka uongozi basi uwe tayari kupoteza.

Kama hii habari ina ukweli basi Mama huyu kaniangusha sana na sikutegemea hili kutoka kwake.
Hii nchi inatafunwa haswa na wana CCM
 
Unamjua vizuri? una hakika na hili unalomsemea?? Mama Makinda ana mtoto (Binti wa Kumzaa mmoja ) na pia anakaa na watoto wa dada na wadogo zake.Binti ake Jina lake linaanzia na J Spika mimi namfahamu toka Tunakaa nae maeneo ya Seaview Upanga akiwa Waziri wa Wizara ya Wanawake na Watoto.Those Days watoto waliokuwa kwake We where friends and mara nyingi tulikuwa tunashinda kwake during the weekends watching Movies and Recorded CNN news Bulletins from VHS Tapes borrowed at EMPIRE MOVIE THEATER VIDEO LIBRARY Karibu na Mavuno House Posta mpya
Mume wake ni nani?
 
You speak as if you don't feel the Pain ndugu Arovera.

Hujui kama wasipokemewa Viongozi wakubwa na Maprof na Wanataaluma wanaokwamisha Elimu yetu kwa kuwa busy na ACTIVITIES ambazo ni fursa za wale wasio na shughuli za uzalishaji tutafika?

Lazima tuishi kwa kuachiana.

Hata nyumbani Baba na Mama walipowakuta watoto na Chakula kidogo au kichache hawakukaa mezani nao kula.

Yaani unaona ni sawa Mama Makinda kuwa na Mashamba au Mwigulu kuwa na Mabasi?

Do you know the Corruption Red Flags?
Nafikiri CHADEMA mnahubiri ubepari (every body for himself/herself amnd God for all), na ubepari ni uwanja wazi na uwanja wa fujo. Hakuna cha kuachiana. Kuachiana kwani kimekuwa chaku;la cha familia. You are either in or out. You cannot pick and choose. Ubapari haumjui kijana wala mzee. Ubepari haufuata heshima ya umri katika kutafuta mali. Awe mzee au kijana, wote wan haki kutafuta. Alafu wewe mtoto wa juxzi unataka upewe uenyekiti au ujumbe wa bodi kwa uzoefu upi ulionao. Saasana sana unachojuwa wewe ni kutukana kwa kujificha. Ukiwe kwenye keyboard wewe fundi saana na mjuaji wa kila kitu, lakini think of "real life"! Usauli wenyewe ukliitwa unatetemeka tangu mwanzo wa usaili mpaka mweisho. Ukiikosa kazi, unadai wamependelea. Mimi naona uiendelee na ushujaa wako humu JF.
 
Milioni 900?aisee huyo mana ni tajiri sana kwa hiyo hela huwezi hata kumsema na utajiri wake umenyooka
 
sikujui unijui dont joke with me pls.siku hizi ni mchimba chumvu wa mama ako
Tatizo ni nini hapa./ Kama hakuijui na humjui unajibu nini? Kujibu kwako ni kuwa aliypoyasema yamekuingia na inaonekana ni kweli. Kama si kweli usingepaniki namna hii! Umeshikwa pabaya!
 
Hamjambo ndugu zangu?

Speaker mstaafu bi Anna Makinda amenunua nyumba hapa Mbezi Makonde yenye thamani ya tsh 900 ml.
Hiyo imekuja siku cheche baada ya mama huyo kukamilisha ujenzi wa ukumbi wake wenye thamani ya mabilion maeneo hayo hayo karibu na ukumbi wa RED HALL

Huyu alikuwa mtumishi wetu pesa kaipata wapii?
Ni kweli ufisadi umeisha Tanzania?

Nitawasilisha.
Baada ya kupata mafao yake ya kustaafu aliwekeza kwenye Kilimo cha matikiti kule Kibaigwa, Kilimo cha vitunguu kilosa na mpunga mbarali so faida aliyopata ndo amenunua nyumba hyo na kufanya investment zingine
 
Back
Top Bottom