Anne Makinda anunua nyumba kwa Tsh. Milioni 900, Dar

Anne Makinda anunua nyumba kwa Tsh. Milioni 900, Dar

Unamjua vizuri? una hakika na hili unalomsemea?? Mama Makinda ana mtoto (Binti wa Kumzaa mmoja ) na pia anakaa na watoto wa dada na wadogo zake.Binti ake Jina lake linaanzia na J Spika mimi namfahamu toka Tunakaa nae maeneo ya Seaview Upanga akiwa Waziri wa Wizara ya Wanawake na Watoto.Those Days watoto waliokuwa kwake We where friends and mara nyingi tulikuwa tunashinda kwake during the weekends watching Movies and Recorded CNN news Bulletins from VHS Tapes borrowed at EMPIRE MOVIE THEATER VIDEO LIBRARY Karibu na Mavuno House Posta mpya

Kweli unayoyasema nyumba yake seaview palw karibu na bahari miaka mingi sana mwanzo mwa 90 or mwishoni mwa 80s yes nimekulia mitaa hiyo pia ila nilikua mdogo sana
 
"Vijana mjiajiri siyo mnasoma tu ili kutegemea kuajiriwa ilihali muda huo huo yeye mwenyewe mtoa ushauri ni muajiriwa anayekunja M 14 kwa kila mwezi"

Alisikika mropokaji mmoja mtaa flani akiwa anakunywa mbege.....[emoji124][emoji87]

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app

Tena yuko kwenye shughuli za serikali huku akiwa amevuka muda mrefu muda wa kustaafu. Ifahamike yeye ni spika mstaafu bado analipwa mpaka afe. Hawa walaji wa hii nchi ndio huwa wanajiita system, utasikia Cdm haiwezi kuchukua nchi eti kwakuwa haikubaliki na system. Fuatalia hao system sasa, utakuta ni wale wote wanaoendelea kula cake ya taifa mpaka wafe! Wanaogopa ukija utawala mwingine ulaji unaweza kusitishwa maana wengi walikuwa wezi walipokuwa madarakani.
 
Hamjambo ndugu zangu?

Speaker mstaafu bi Anna Makinda amenunua nyumba hapa Mbezi Makonde yenye thamani ya tsh 900 ml.
Hiyo imekuja siku cheche baada ya mama huyo kukamilisha ujenzi wa ukumbi wake wenye thamani ya mabilion maeneo hayo hayo karibu na ukumbi wa RED HALL

Huyu alikuwa mtumishi wetu pesa kaipata wapii?
Ni kweli ufisadi umeisha Tanzania?

Nitawasilisha.
Acha wivu mshamba wewe. Kwani Anne Makinda amezuiwa kufanya biashara?
 
Ukweli MTUPU Mkuu! Angalia zile nyumba za mabilioni kila moja wanazojengewa Marais wastaafu ambao wote ni ni mabilionea on top of that wanawekewa na furniture nyumba nzima za mamilioni. Ndiyo sababu hawa wahuni wana hofu kubwa ya kupoteza madaraka.

Tena yuko kwenye shughuli za serikali huku akiwa amevuka muda mrefu muda wa kustaafu. Ifahamike yeye ni spika mstaafu bado analipwa mpaka afe. Hawa walaji wa hii nchi ndio huwa wanajiita system, utasikia Cdm haiwezi kuchukua nchi eti kwakuwa haikubaliki na system. Fuatalia hao system sasa, utakuta ni wale wote wanaoendelea kula cake ya taifa mpaka wafe! Wanaogopa ukija utawala mwingine ulaji unaweza kusitishwa maana wengi walikuwa wezi walipokuwa madarakani.
 
Hamjambo ndugu zangu?

Speaker mstaafu bi Anna Makinda amenunua nyumba hapa Mbezi Makonde yenye thamani ya tsh 900 ml.
Hiyo imekuja siku cheche baada ya mama huyo kukamilisha ujenzi wa ukumbi wake wenye thamani ya mabilion maeneo hayo hayo karibu na ukumbi wa RED HALL

Huyu alikuwa mtumishi wetu pesa kaipata wapii?
Ni kweli ufisadi umeisha Tanzania?

Nitawasilisha.

🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ni Mkulima mzuri wa miti Njombe hategemei pensheni wala marupurupu
Speaker mstaafu bi Anna Makinda amenunua nyumba hapa Mbezi Makonde yenye thamani ya tsh 900 ml.
Hiyo imekuja siku cheche baada ya mama huyo kukamilisha ujenzi wa ukumbi wake wenye thamani ya mabilion maeneo hayo hayo karibu na ukumbi wa RED HALL

Huyu alikuwa mtumishi wetu pesa kaipata wapii?
Ni kweli ufisadi umeisha Tanzania?

Nitawasilisha.
 
Milioni 900?aisee huyo mana ni tajiri sana kwa hiyo hela huwezi hata kumsema na utajiri wake umenyooka
Hiyo hela ni ya kawaida sana kwa kiongozi
Wa nchi hii mzee

Ova
 
Isitoshe Binti ake ambae ni mtoto ake pekee wa kumzaa iyo $400.000(900M TZS ,kwa kazi anayo fanya USA ashindwi mnunulia mama ake nyumba.Pia nikiangalia sioni nini kinampekea yeye kwa sasa kununua Nyumba kwa sababu ana shida ya kuwa na nyumba nyingine kwa sasa
Kazi gani anayofanya USA ambayo inafanya dola laki nne kuwa kama hela ya mboga?

Amandla...
 
Ni vema Madai Kama haya yakaambatanishwa na ushahidi (nakala ya maktaba au hati ya mauziano kuthibitisha madai) .
Ninashauri tuwe tunaweka akiba ya maneno, kulinda heshima ya mlengwa mbele ya jamii,
Huyu mama ameshika nyadhifa mbalimbali toka enzi za Mwalimu Nyerere, mpaka hivi sasa,huenda amejenga kutokana na akiba (savings) zake na pensheni.
 
Hamjambo ndugu zangu?

Speaker mstaafu bi Anna Makinda amenunua nyumba hapa Mbezi Makonde yenye thamani ya tsh 900 ml.
Hiyo imekuja siku cheche baada ya mama huyo kukamilisha ujenzi wa ukumbi wake wenye thamani ya mabilion maeneo hayo hayo karibu na ukumbi wa RED HALL

Huyu alikuwa mtumishi wetu pesa kaipata wapii?
Ni kweli ufisadi umeisha Tanzania?

Nitawasilisha.
Acha wivu,pambana na maisha
 
Kiinua mgongo Cha Mbunge wa kawaida 250m.kila baada ya miaka 5 je Cha Spika?jumulisha miaka yote alivyokuwa Mbunge.

Mimi tangu nipo s/msingi nilikuwa namsikia huyu mama Mara RC,kweli asiwe na pesa?
Halafu Spika mstaafu si analipwa nusu ya mshahara wa Spika wa sasa? Isitoshe uwaziri tangu awamu ya Nyerere akiwa kabinti kadogo chuchu saa sita. Kweli atashindwa kumiliki hela ya mboga kama hiyo.
 
Hamjambo ndugu zangu?

Speaker mstaafu bi Anna Makinda amenunua nyumba hapa Mbezi Makonde yenye thamani ya tsh 900 ml.
Hiyo imekuja siku cheche baada ya mama huyo kukamilisha ujenzi wa ukumbi wake wenye thamani ya mabilion maeneo hayo hayo karibu na ukumbi wa RED HALL

Huyu alikuwa mtumishi wetu pesa kaipata wapii?
Ni kweli ufisadi umeisha Tanzania?

Nitawasilisha.
Miradi yote hiyo alafu nasikia hana hata mtoto...
Inauma sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom