Anne Makinda anunua nyumba kwa Tsh. Milioni 900, Dar

Anne Makinda anunua nyumba kwa Tsh. Milioni 900, Dar

Kumbe ni wewe Frenki. Yani ulikuwa na machale ya msosi homu kwetu. Cha kukera zaidi ulikuwa unapiga zote tatu breakfast, lunch na supper. Nilichokusifia yani menu tu ikiwekwa mezani huyooo. Nakuzugazuga kwa kuchekacheka, kukenuanuakenua mimeno na vijisifa vya kijingajinga.

Mkono ukishaenda kinywani huyooo nduki unavizia tena the next meal. Ulikuwaga unakera sana sema tu mama yetu Anna alitulea vizuri tulikuwa na huruma na upendo kwenye wenye njaa na ulimbukeni wa msosi.

Siku hizi huko wapi na unafanya nini?
sikujui unijui dont joke with me pls.siku hizi ni mchimba chumvu wa mama ako
 
Hamjambo ndugu zangu?

Speaker mstaafu bi Anna Makinda amenunua nyumba hapa Mbezi Makonde yenye thamani ya tsh 900 ml.
Hiyo imekuja siku cheche baada ya mama huyo kukamilisha ujenzi wa ukumbi wake wenye thamani ya mabilion maeneo hayo hayo karibu na ukumbi wa RED HALL

Huyu alikuwa mtumishi wetu pesa kaipata wapii?
Ni kweli ufisadi umeisha Tanzania?

Nitawasilisha.
Uzi bila picha ni ubatili
 
Hiyo nyumba amewanunulia wajukuu, Anna umri umeshaenda!
Umeniwahi mkuu, halafu utakuta kwa huu umri hata kupanda ngazi za kwenda ghorofani wengi hushindwa, ndio maana mimi naona ni upotevu tu wa pesa kujenga mihekalu yenye ghorofa na kusahau kuwa ukianza kuzeeka utakosa uwezo wa kupanda ghorofani pia kwa huo umri mnajikuta kwenye mjengo mumebaki wawili tu kwani hata watoto mlio wazaa tayari wamekuwa watu wazima na wanaishi kwenye makazi yao, wenginehata yale ma Vx wanashindwa kuyapanda hadi wawekewe kigoda. Tamaa zingine hata maana hazina. Mwalimu Nyerere aliwahi kusema yeye hahitaji jumba kubwa kwani yeye tembo!
 
Hamjambo ndugu zangu?

Speaker mstaafu bi Anna Makinda amenunua nyumba hapa Mbezi Makonde yenye thamani ya tsh 900 ml.
Hiyo imekuja siku cheche baada ya mama huyo kukamilisha ujenzi wa ukumbi wake wenye thamani ya mabilion maeneo hayo hayo karibu na ukumbi wa RED HALL

Huyu alikuwa mtumishi wetu pesa kaipata wapii?
Ni kweli ufisadi umeisha Tanzania?

Nitawasilisha.
Advance ya hela ya sensa hiyo. Tulia
 
Nimeandika nikafuta, nikandika tena nikafuta.
Any way, hongera Mama Anne
 
Hamjambo ndugu zangu?

Speaker mstaafu bi Anna Makinda amenunua nyumba hapa Mbezi Makonde yenye thamani ya tsh 900 ml.
Hiyo imekuja siku cheche baada ya mama huyo kukamilisha ujenzi wa ukumbi wake wenye thamani ya mabilion maeneo hayo hayo karibu na ukumbi wa RED HALL

Huyu alikuwa mtumishi wetu pesa kaipata wapii?
Ni kweli ufisadi umeisha Tanzania?

Nitawasilisha.
Braza SENSA INANZA SOON SO USIUMIZE KICHWA
 
Hamjambo ndugu zangu?

Speaker mstaafu bi Anna Makinda amenunua nyumba hapa Mbezi Makonde yenye thamani ya tsh 900 ml.
Hiyo imekuja siku cheche baada ya mama huyo kukamilisha ujenzi wa ukumbi wake wenye thamani ya mabilion maeneo hayo hayo karibu na ukumbi wa RED HALL

Huyu alikuwa mtumishi wetu pesa kaipata wapii?
Ni kweli ufisadi umeisha Tanzania?

Nitawasilisha.
Nyie ndo mapopoma wakubwa. Mnafikiri umasikini ndo sifa kuu ya uongozi manyau nyie. Hebu fikiria kama aliwekeza mizinga ya nyuki 300 katika kipindi cha miaka mitano. Anavuna asali za bei gani kwa mwaka? Na fikiria kama ana ekari 1000 za mkonge. Anaingiza kiasi gani kwa mwaka? Kwani fursa mbona nyingi sana nyie panya?
 
Hamjambo ndugu zangu?

Speaker mstaafu bi Anna Makinda amenunua nyumba hapa Mbezi Makonde yenye thamani ya tsh 900 ml.
Hiyo imekuja siku cheche baada ya mama huyo kukamilisha ujenzi wa ukumbi wake wenye thamani ya mabilion maeneo hayo hayo karibu na ukumbi wa RED HALL

Huyu alikuwa mtumishi wetu pesa kaipata wapii?
Ni kweli ufisadi umeisha Tanzania?

Nitawasilisha.
Kwa taarifa yako mama Makinda hiyo fedha anaweza akawa nayo. Kwanza kafanya kazi tangu wakati wa Nyerere, miaka ya 60. Alikuwa mtumishi wa umma, mwalimu mkuu sekondari, waziri (awamu mbili), mbunge, na spika (awamu mbili). Unalijuwa dau la wabunge wapokealo kila miaka mitano na yeye amekuwa akipokea hilo tangu wakati wa Nyerere. Unalijuwa dau la waziri ikiisha miakla mitano. Unalijuwa dau la spika akimaliza miaka mitano! Ongeza hapo dau la kustaafu mtumishio wa serkali. Au umesahau aliiiongoza UWT... hiyo vyote asiwe na pesa au MNASUMBULIWA NA WIVU..mbona nimesahau biashara zake...KWELI CHADEMA TUNA WIVU. MBONA MBOWE HAMUMUULIZI AMEPATA WAPI PESA BAADA YA BIASHARA ZAKE KUFIrISIKA...au Makinda tu ndiyo mmemuona!
 
Hamjambo ndugu zangu?

Speaker mstaafu bi Anna Makinda amenunua nyumba hapa Mbezi Makonde yenye thamani ya tsh 900 ml.
Hiyo imekuja siku cheche baada ya mama huyo kukamilisha ujenzi wa ukumbi wake wenye thamani ya mabilion maeneo hayo hayo karibu na ukumbi wa RED HALL

Huyu alikuwa mtumishi wetu pesa kaipata wapii?
Ni kweli ufisadi umeisha Tanzania?

Nitawasilisha.
Huyo bibi ni mbunge tangu 1975,hana mume ,ana mtoto mmoja wa kujipa,bahili ,saloon haendi ni mawigi yake mawili,so inawezekana kuwa na mabilioni bank,nimeishi nae kijitonyama mabatini namuelewa
 
Kwa taarifa yako mama Makinda hiyo fedha anaweza akawa nayo. Kwanza kafanya kazi tangu wakati wa Nyerere, miaka ya 60. Alikuwa mtumishi wa umma, mwalimu mkuu sekondari, waziri (awamu mbili), mbunge, na spika (awamu mbili). Unalijuwa dau la wabunge wapokealo kila miaka mitano na yeye amekuwa akipokea hilo tangu wakati wa Nyerere. Unalijuwa dau la waziri ikiisha miakla mitano. Unalijuwa dau la spika akimaliza miaka mitano! Ongeza hapo dau la kustaafu mtumishio wa serkali. Au umesahau aliiiongoza UWT... hiyo vyote asiwe na pesa au MNASUMBULIWA NA WIVU..mbona nimesahau biashara zake...KWELI CHADEMA TUNA WIVU. MBONA MBOWE HAMUMUULIZI AMEPATA WAPI PESA BAADA YA BIASHARA ZAKE KUFIrISIKA...au Makinda tu ndiyo mmemuona!
Umeharibu kuingiza chadema na mbowe,kwingine kote umeongea point kenge wewe
 
Back
Top Bottom