Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Wanambadilishia vyeo tu.Kamisaa wa sensa,
Hongera mama
Huyu ana vyeo vingapi? Spika mstaafu anahudumiwa na Serikali hadi kufa kwa stahiki 80% anazopata Spika aliepo.Kamisaa wa Sensa, Anne Makinda amesema baadhi ya watu wana imani potofu kuwa zoezi la uhesabu watu na makazi wanahusiana na chanjo ya #COVID19
Amesema hilo sio kweli, japo ni muhimu kwa wananchi kupata chanjo ya corona. Ambapo wanaendelea kutoa elimu kuhusu sensa itakayofanyika 2022
Aidha amesema vijana waliohitimu vyuo vikuu ambao wanajitolea maeneo mbalimbali watapewa kipaumbele katika kupewa ajira za kuhesabu watu
Amezungumza hayo akiwa Clouds Fm
Ccm ni Ile Ile.Huyu ana vyeo vingapi? Spika mstaafu anahudumiwa na Serikali hadi kufa kwa stahiki 80% anazopata Spika aliepo.
Huyu huyu ni mwenyekiti wa Mfuko wa Bima ya Afya NHIF.
Kana kwamba haitoshi eti ni Kamisaa wa Sensa.. Serikali hii nchi mbona ina watu wengi kwa nini kurundika vyeo na majukumu kwa mtu mmja?
Halafu mnalalamikia ajira hakunaHuyu ana vyeo vingapi? Spika mstaafu anahudumiwa na Serikali hadi kufa kwa stahiki 80% anazopata Spika aliepo.
Huyu huyu ni mwenyekiti wa Mfuko wa Bima ya Afya NHIF.
Kana kwamba haitoshi eti ni Kamisaa wa Sensa.. Serikali hii nchi mbona ina watu wengi kwa nini kurundika vyeo na majukumu kwa mtu mmja?