Anne Waigiru

Anne Waigiru

mafutamingi

JF-Expert Member
Joined
Feb 14, 2011
Posts
2,773
Reaction score
2,183
Huyu Dada àmefunga ndoa jana na Kamotho Waiganjo. Nilistuka sana kuona habari hio kwa kuwa siku zote niliamini kuwa ameolewa na kuwa Waiguru ndo mmewe. Swali: Hivi kweli alikuwa hajaolewa? Mwenye kumfahamu vizuri atujuze!
 
Huyo ni Mkikuyu boss wa Kirinyaga...unategemea nini hapo?

Janja janja mingi!
 
Huyo ni Mkikuyu boss wa Kirinyaga...unategemea nini hapo?

Janja janja mingi!
Aisee, huu ni ukabila tu, ina maana kwamba ukikuyuni wote ni ma single mother au ndio unamaanishaje? Alafu mleta mada, ni Anne Waiguru sio Waigiru, Gavana Anne Waiguru, Her Excellency. Rais Uhuru alipokonywa mchepuko live. Mbarikiwe sana lakini, endeleeni kufatilia habari kutoka kwa Tv za Kenya.
 
Aisee, huu ni ukabila tu, ina maana kwamba ukikuyuni wote ni ma single mother au ndio unamaanishaje? Alafu mleta mada, ni Anne Waiguru sio Waigiru, Gavana Anne Waiguru, Her Excellency. Rais Uhuru alipokonywa mchepuko live. Mbarikiwe sana lakini, endeleeni kufatilia habari kutoka kwa Tv za Kenya.
Nilikuwa nampenda sana Anne, lakini kwa kuwa niliamini ameolewa sikutaka kuingilia nyumba ya watu! How mistaken I was! Hata hivyo swali langu halijajibiwa. Waiguru ni jina la nani? La baba yake......au?
 
Nilikuwa nampenda sana Anne, lakini kwa kuwa niliamini ameolewa sikutaka kuingilia nyumba ya watu! How mistaken I was! Hata hivyo swali langu halijajibiwa. Waiguru ni jina la nani? La baba yake......au?
Jina lake kamili lilikuwa ni Anne Mumbi Waiguru. Waiguru ni jina la babake. Bahati yako mbaya, hivi karibuni wataanza kumuita Anne Waiganjo badala ya Anne Mafutamingi.
 
Dah! Huyu mwanamke ni wale huitwa iron ladies, ila ndio kama ilivyo, kwa mwanamke kuibuka kidedea kwenye ulingo wa siasa lazima ajiachie full.
Binafsi nilikua nampenda sana enzi akiwa waziri, alikua na sera nzuri sana na za kueleweka, kisha ghafla akaangukia pua baada ya kutajwa kwenye tuhuma za wizi wa kiajabu, kuanzia hapo nikaanza kumchukia sana.
Ndoa yake ya mwanzo alibarikiwa na watoto watatu, sasa ameingia kwenye ndoa ya pili na kuwa mke wa Kamotho ambaye naye pia anayo watoto watatu. Mungu awabariki, ila taswira ya ufisadi haitowahi kumtoka.
 
Dah! Huyu mwanamke ni wale huitwa iron ladies, ila ndio kama ilivyo, kwa mwanamke kuibuka kidedea kwenye ulingo wa siasa lazima ajiachie full.
Binafsi nilikua nampenda sana enzi akiwa waziri, alikua na sera nzuri sana na za kueleweka, kisha ghafla akaangukia pua baada ya kutajwa kwenye tuhuma za wizi wa kiajabu, kuanzia hapo nikaanza kumchukia sana.
Ndoa yake ya mwanzo alibarikiwa na watoto watatu, sasa ameingia kwenye ndoa ya pili na kuwa mke wa Kamotho ambaye naye pia anayo watoto watatu. Mungu awabariki, ila taswira ya ufisadi haitowahi kumtoka
Ok sasa nimeelewa. Hongera bwana Kamotho kwa kumpata Malkia wa nguvu!
 
Aisee, huu ni ukabila tu, ina maana kwamba ukikuyuni wote ni ma single mother au ndio unamaanishaje? Alafu mleta mada, ni Anne Waiguru sio Waigiru, Gavana Anne Waiguru, Her Excellency. Rais Uhuru alipokonywa mchepuko live. Mbarikiwe sana lakini, endeleeni kufatilia habari kutoka kwa Tv za Kenya.
Hahahahaaa

Kwenye makabila kuna stereotypes mbalimbali...

Kutaja stereotype sio vibaya,ni "utani"!

Ndio maana huku Tanzania makabila huitana "Watani"....Unaweza hata watukana lakini ni strictly "utani"!

Kila mtu Africa Mashariki anawajua wanawake wa Kikuyu,stereotypes zao,na jinsi walivyo..Huku Tanzania tunawananisha na wanawake wa kabila la Wachagga!

Janja janja miiingi!

Hahahhaaaaaa

WAtu wengi TZ tunapenda sana content za Kenya,mna content nzuri sana,kwahilo everybody anawakubali..

Kwenye siasa mimi napenda sana content ya Debarl Inea na kipindi chake cha AM LIVE!

Napenda sana mijadala ya Dr Ottiende Amollo (Huyu jamaa ni probably the most cleverest nigga ni Kenyan politics aisee),Boni Khalwale(huyu mzee tumbo linamsumbua aisee),Kimani wa Matangi (mzee ushabiki wa Jubelee umekula his thinking capability),Jakoyo Midiwo (mzee yuko balanced sana),Kimani Ichungwa(vurumai mingi),etc

I can spend 2hrs watching these guys!
 
Hahahahaaa

Kwenye makabila kuna stereotypes mbalimbali...

Kutaja stereotype sio vibaya,ni "utani"!

Ndio maana huku Tanzania makabila huitana "Watani"....Unaweza hata watukana lakini ni strictly "utani"!

Kila mtu Africa Mashariki anawajua wanawake wa Kikuyu,stereotypes zao,na jinsi walivyo..Huku Tanzania tunawananisha na wanawake wa kabila la Wachagga!

Janja janja miiingi!

Hahahhaaaaaa

WAtu wengi TZ tunapenda sana content za Kenya,mna content nzuri sana,kwahilo everybody anawakubali..

Kwenye siasa mimi napenda sana content ya Debarl Inea na kipindi chake cha AM LIVE!

Napenda sana mijadala ya Dr Ottiende Amollo (Huyu jamaa ni probably the most cleverest nigga ni Kenyan politics aisee),Boni Khalwale(huyu mzee tumbo linamsumbua aisee),Kimani wa Matangi (mzee ushabiki wa Jubelee umekula his thinking capability),Jakoyo Midiwo (mzee yuko balanced sana),Kimani Ichungwa(vurumai mingi),etc

I can spend 2hrs watching these guys!
Wow.

Uko deep.
 
Hahahahaaa

Kwenye makabila kuna stereotypes mbalimbali...

Kutaja stereotype sio vibaya,ni "utani"!

Ndio maana huku Tanzania makabila huitana "Watani"....Unaweza hata watukana lakini ni strictly "utani"!

Kila mtu Africa Mashariki anawajua wanawake wa Kikuyu,stereotypes zao,na jinsi walivyo..Huku Tanzania tunawananisha na wanawake wa kabila la Wachagga!

Janja janja miiingi!

Hahahhaaaaaa

WAtu wengi TZ tunapenda sana content za Kenya,mna content nzuri sana,kwahilo everybody anawakubali..

Kwenye siasa mimi napenda sana content ya Debarl Inea na kipindi chake cha AM LIVE!

Napenda sana mijadala ya Dr Ottiende Amollo (Huyu jamaa ni probably the most cleverest nigga ni Kenyan politics aisee),Boni Khalwale(huyu mzee tumbo linamsumbua aisee),Kimani wa Matangi (mzee ushabiki wa Jubelee umekula his thinking capability),Jakoyo Midiwo (mzee yuko balanced sana),Kimani Ichungwa(vurumai mingi),etc

I can spend 2hrs watching these guys!

Wewe kiboko, siasa za Kenya unazijua balaa, mimi mwenyewe Mkenya lakini kuna baadhi ya watu umewataja ambao huwa sina muda nao kabisa.
 
Huyu Dada àmefunga ndoa jana na Kamotho Waiganjo. Nilistuka sana kuona habari hio kwa kuwa siku zote niliamini kuwa ameolewa na kuwa Waiguru ndo mmewe. Swali: Hivi kweli alikuwa hajaolewa? Mwenye kumfahamu vizuri atujuze!
Picha tasafali
 
Picha tasafali

WAIGURU.jpg
 
Nilikuwa nampenda sana Anne, lakini kwa kuwa niliamini ameolewa sikutaka kuingilia nyumba ya watu! How mistaken I was! Hata hivyo swali langu halijajibiwa. Waiguru ni jina la nani? La baba yake......au?
Kwani Samia Suluhu kaolewa? Wacha ubaguzi kwa wanawake!
 
Back
Top Bottom