Ab-Titchaz
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 14,630
- 4,253
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee nimependa hiyo barabara ya MASHINANI,hiyo home coming kwani alikuwa ''hayupo''Kenya au ni kwa kuwa ni mbosi/mdosi kwa hiyo anaenda kwao baada ya kuwa mbosi,kwanii home coming ni pale tu unapokuwa umepata kuwa muheshimiwa?hapo ndio naona tofauti kati ya TZ na KE ikizidi kuwa kubwa.