Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

Naona ushachoka story zao. Unataka waje tupeane PGO hahaaaaaa
Inachosha kusikia tu wapowapo!.
Wako wapi..?
Waje basi watupe na hela!,tuwahoji halafu tujue Kama inakuwa mbwai au mbwei..πŸ˜…
 
Paragraph ya pili sentensi ya kwanza ktk mabano nulifies the whole article.
Unless kuna maelezo hujayatoa.
Nafatilia.
 
Mkuu hii mada ni nzuri tu ila tatizo mmeweka mbele sana dharau kwa watu wa dini pamoja na dini zenyewe na hilo limeharibu sana hii mada, na tatizo hilo limeanzia kwenye mada yenyewe ilishaanza kushambulia dini kwahiyo toka mwanzo michango ya watu dini inatafsirika kama ni kujibu mashambulizi na kwa hali hiyo mkuu ni ngumu kuelewana.
 
Hayo machapisho ya waharabu yatakuua bure kwa itakadi wewe, alafu uruhusu akili kuelewa mengine ya dunia.
Sumerians,akkadians,kush, n.k waliwaona kwa macho wakaach rekodi, ambazo zinatumik had leo, funga safar uende Mari kabila la dogon wakusimulie hili ulizike, wew uliwah kumuon Mungu?, mitume wako wote unaowasujud hakun aliwah kumuona Mungu , ila umekazan hapa et niambie mtu mmoja aliyewaona, yaani utajiwe jina la mtu mmoja?, elimu ya anga inaendelea kuthibtish uwepo wa hao viumbe, et uwaamini, lakini walivyokufundisha mfumo wa nyota n sayar ukawaamini, hv unajielew kwl ww mzee?

Neno Mungu na kuabud yameanzia sumer Mungu=Miungu , walitumia almighty of sky chamber ambaye ni miungu anu, badae lugha ilivyozidi kukua n kubadilika wakaanza kutumia neno God=Mungu=Miungu, dini zenu mnaabudu miungu ila hamjitambuhi kabisa, Miungu ndiyo Mungu wenu, na hiyo miungu ilijiumba hakuumbwa n mtu, ndiyo maana huwez kuta wanasema Mungu aliumba anu, never?
Fuatilia kuanzishw kw dini zenu hizo, zote zimetokana na kuabudu Miungu, Mungu=Miungu, akili umezibana na uhakiki ndiyo maana, umekazana tu, mitume wenu Yesu/Muhammed hawajawah kutokewa na Mungu pamoja n usafi wao wote wa roho, walitokew n miungu (watchers/angels nk), hao wote ni miungu, lakin mumekazn Mungu Mungu, yaan had mnafundishwa kufuga majini sirias?, amkeni kifikra hachen kuzubaa kiakili na uhakiki wako uchwara huo.
 
Ushahidi wa kihistoria na kuonekana hujauona, huko kwny uhakiki unaotamba nao, mlifundishwa nini ww mzee?, kama unakataa ushahidi wa kihistoria ulio hakikiwa n waandish wa vitabu?
 
who is mola?, alitengenezwa n nani? Wap?, kama unaamin hakutengenezw n annunaki hakutengezwa pia.
 
Kwahiyo mkuu kila alichokieleza
Kwahiyo mkuu kila kilichoelezwa kwenye hizi habari za Annunaki kimehakikiwa na wataalamu?
 
ww mzee hach kujifany muhakik kumbe umekarir kakitabu kako hak ka kiarabu, hebu tuonyeshe ulivyohakiki hizo taarif ww mwenyew, kama siyo kumeza hayo maandiko yako, yaan upo Tz, umeenda maca, near east na kuhakiki siyoπŸ˜‚πŸ˜‚, hiyo dini itakufny uwe fukara wa fikra.
 
Siyo kwmb hawez mnampotezea muda n maswali uchwara, anaona kujibizana n arrogant wa duni kama nyinyi, anajisumbua, mshakariri ya dini, kutoka nje hamtaki.
 
Hicho walichofanya Annunaki kwa wengine hakina maana ya uumbaji kwamba huwezi kusema wameumba.
 
Tupe chanzo n nyie cha muumbaji wa Mungu, kama hakipo, anu naye alijiumba.
 
Jibu hoja.
 
Ushahidi wa kihistoria na kuonekana hujauona, huko kwny uhakiki unaotamba nao, mlifundishwa nini ww mzee?, kama unakataa ushahidi wa kihistoria ulio hakikiwa n waandish wa vitabu?
Historia hurithishwa kizazi na kizazi. Huwezi kunipa habari za miaka 500 iliyo pita bila kunipa "chain" ya walio pokea habari. Kinyume chake ni habari za kubuni.
 
hayaaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚, oneni huyu, eti civilization imeletwa n waharabu?, mtaalam wa uhakik hata hili hajuhi, hizi mada zipo nje ya uwezo wenu, unaona unavyo puyanga sasa.
 
who is mola?, alitengenezwa n nani? Wap?, kama unaamin hakutengenezw n annunaki hakutengezwa pia.
Nimecheka sana. Kwahiyo kama wewe ni mjinga na mimi ni mjinga siyo ? Naona mada imekuzidi ukubwa hii.
 
Hebu n ww tuambie mzee wa kuhakiki, habari za kale ulizohakik mwenyewe hapa, tuleteee tuone.
 
Nimewaambia wenzako huko juu na mtoa mada akiwemo ya kuwa athibitishe ustaarabu haukuletwa na Mitume na manabii. Hakuna aliye jibu swali hili.

Huenda mnadhani ustaarabu ni ugunduzi au kutembea uchi au kupaa angani, tamko hilo lina asili.

Kijana jenga hoja naona unalalamika na kucheka sana.
 
Hebu n ww tuambie mzee wa kuhakiki, habari za kale ulizohakik mwenyewe hapa, tuleteee tuone.
Ni hii habari ya Annunaki ndito naihakiki hapa. Na uongo wake mpaka muda huu ushaonekana. Tuendelee.
 
Hebu na wewe ainisha mtu wa kwanza kabisa kuonana na Mungu uso kwa uso, fanya chap utuletee, na sisi tukuletee ili twende sawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…