James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 8,759
- 14,831
Naona ushachoka story zao. Unataka waje tupeane PGO hahaaaaaaMh! Wenyewe waje tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona ushachoka story zao. Unataka waje tupeane PGO hahaaaaaaMh! Wenyewe waje tu
Inachosha kusikia tu wapowapo!.Naona ushachoka story zao. Unataka waje tupeane PGO hahaaaaaa
Paragraph ya pili sentensi ya kwanza ktk mabano nulifies the whole article.SEHEMU YA KUMI
THE MOON, NASA & THE ANNUNAKI
View attachment 2111655
Shmitt's rejected patch, it wood seem based on a previous Apollo mission when they discovered a stonehenge-like structure.
Mnamo July 1969, mtu wa kwanza alifika mwezeni (kama walivyosema NASA, japo siyo kweli), na Neil Armstrong alinukuliwa akisema "Ni hatua kubwa sana hii kwa mwanadamu."
Tumekuwa tukisikia na bado tunasikia stori nyingi kwamba mtu alifika na kutua mwezini na kutembea kabisa mwezini. Naweza sema mtu alifika mwezini mara nyingi, lakini vile vile naweza kusema filamu na picha zilizo onyesha mtu akifika mwezini zilikuwa faked. Kwa nini, ni kwa sababu zifuatazo:
USA alikuwa akishindana na Russia (cold war), hivyo hili aweze kumshinda Mrusi ilibidi atengeneza tukio la kwenda mwezini tena studioni kwa kutumia Apollo crew( iliwahusisha Andrew Collins, Neil Armstrong pamoja na Edwin Buzz Aldrin). Watu hao wote waliitaji ushawishi wa hali ya juu ili kushiriki mpango huo.
Serikali ya Marekani ilikuwa tayari kugharamia gharama zozote zile ili kutimiza mpango wao na kuhakikisha tukio hilo linarushwa moja kwa moja kupitia kwenye runinga za taifa na dunia kwa ujumla bila kujali wanasayansi wa anga (Astronauts) watasema nini kuhusu tukio hilo na siri zote ambazo NASA walikuwa wakizijua.
NASA walikuwa wanafahamu kuhusu ancient structures, track marks & mining all over the moon, hivyo wasingeweza kurekodi filamu na kupiga picha ambazo zingeleta utata wakati wa kuandaa tukio hilo (japo walijichanganya kidogo).
.
Katika video fupi, Buzz Aldrin alitufanya tujue kwamba human race ni kitu kikubwa sana tofauti na tulivyofahamu hapo kabla, hii ni wakati aliposema:
"We Aliens, we certainly are part of a magnificent race." .
Kama ilivyotabiliwa na wataalamu wa NASA, Apollo 11 LEM (Luna Excursion Module) ilitakiwa kurushwa kwenye designated landing zone ambako hakuna structures yeyote, lakini ilikwenda mbali sana hadi sehemu yenye structures.
Wakati Neil na Buzz wanatoka nje na kutembea mwezini, mmoja wao alisema hivi, "Wow, what is that there?".
Hawakuweza kuamini kile walichokiona, na waliendelea kufanya upelelezi kinyume na maelekezo kutoka Mission Control, nani aliwaambia haya yafuatayo:
"Yes, we know about that, go back the other way, back the other way."
View attachment 2111661
View attachment 2111663
Above, a still from motion reel, followed by a fake moon picture-notice the multiple light sources.
On the Medical chaneli, Neil alirekodiwa akisema, "They are on the opposite side of the crater from us and they are watching us."(Je walikuwa hakina nani hao?, utawafahamu).
Buzz pia ameripotiwa akisema LEM ilikuwa ikifuatiliwa na kile tunachoweza kukiita Unidentified Flying Object(UFO).
Baada ya kurudi duniani kutoka mwezini Apollo 11 crew wote walijiuzuru haraka sana. Kwa nini? Kwa sababu hawakutakiwa kufanya tena uchunguzi na kutoa siri yeyote kwa kile walichokiona kutokana na kula kihapo cha siri.
Katika video fupi hapa chini Neil anasikika akisema kuwa ni matumaini yake kuwa ipo siku NASA itabadili sera zake na kuondoa usiri kuhusu sera hizo.
View attachment 2111671
View attachment 2111673
AS20 from frame 9625, Rev 15 NASA Apollo 15 mission showing high resolution image of alien craft on the moon.
Picha zilizo chukuliwa na Apollo 15(zikiwemo hizo hapo juu), kutoka mbali kidogo na upande wa mwezi ambao hautazamani na dunia, wachambuzi wa picha hizo, wamesema zinaonyesha uwepo wa ancient spaceship.
View attachment 2111676
Hii document ya siri kutoka NASA.
Kwa kuwa haionekani vizuri, kile kilichoandikwa nimekinukuu:
"Subject: Future Apollo Mission Regarding the discussions of the BLANK subcommittee on the January 27, BLANK on the subject of the future Apollo missions viability, it was determined that missions 18, 19 and 20 would be canceled due to evolving budgetary constraints in the BLANK and BLANK sectors
Those in attending and voting included: BLANK on November 14, BLANK following the directive of BLANK, BLANK the mission status of has been altered.
The revised status shift from cancellation to postponement.
Potential dates of mission reinstatement include: BLANK and if orders to redeploy are received by BLANK, we can confidently expect to lunch BLANK on or before BLANK.
Please refer to the memorandum enclosed herewith outlining of reservations of General BLANK And Colonel BLANK support materials on the subject of security including photographic reconnaissance files requested are forthcoming, expected by BLANK."
Uchunguzi wa ziada kwa kutumia aerial photography of the fuselage ulifanywa na Apollo missions 16 na 17, ulionyesha kwamba ilikuwa fuselage. Ilisemekana kwamba Apollo 17 ingekuwa mission ya mwisho, lakini kama unavyoona hapa chini kwenye picha, Apollo missions 18, 19 na 20 ziliendelea.
View attachment 2111681
In 1962, Carl Sagan addressed the American rocket association in Los Angeles and stated"We better be ready to meet someone else on the moon." Hii inaweza kuwa sababu ya Apollo astronauts kuambatana na ulinzi mkali wa kijeshi.
Kutokana na nadharia, Apollo 20 walifika mwezini tarehe 16 August 1976, miaka minne baada ya official Apollo mission. Kituo chao kilikuwa ni Delporte, a lunar impact crater on the moon's dark side.
Crew members wa Apollo 20 walikuwa ni, William Rutledge(US), Leona Synder (US) na Alexei Leonov kutoka USSR, na mpango wao ulikuwa ni kufanya upelelezi kuhusu uwepo wa alien spaceship iliyotambuliwa na Apollo 15 ya mwaka 1971(Apollo 15 rew ilikuwa ni David Scott, Alfred Worden na James Irwin).
Huyu Leonov ndiye mnajimu wa kwanza kutembea mwezini March 18, 1965 kwenye Apollo-Soyuz mission, joint space mission ya kwanza kati ya USA na Soviets.
View attachment 2111683
Inside shot of Apollo 20 showing joint US-Russian mission.
Kama tunaweza kumuamini William Rutledge (Apollo 20 mission), astronauts walitembelea mji wa kale na alien spaceship kwenye mwezi. Waliweza kukusanya baadhi ya alien gadgets from the ship na kumleta mmojawapo wa marubani wawili wa alien(waliokutwa wamefariki) to their Lunar Module.
The pilot was female(kama anavyoonekana picha ya mwisho), covered in a type of wax & in an excellent state of preservation(ambaye inasemekana ni Annunaki).
View attachment 2111686
View attachment 2111687
According to Apollo 20, kwenye picha hii inasemekana ni ANNUNAKI.
Mkuu hii mada ni nzuri tu ila tatizo mmeweka mbele sana dharau kwa watu wa dini pamoja na dini zenyewe na hilo limeharibu sana hii mada, na tatizo hilo limeanzia kwenye mada yenyewe ilishaanza kushambulia dini kwahiyo toka mwanzo michango ya watu dini inatafsirika kama ni kujibu mashambulizi na kwa hali hiyo mkuu ni ngumu kuelewana.Tz mbongo
Kisai
Quez
Nyote nyinyi hamueleweki zaidi mswali yenu hayan logic zaidi y udini mtupu
Wewe Kisai ubongo wako umeharibiwa na masimulizi ya waharabu tu, nje na hapo una unachokijua.
Umekomlia udini, yani dini ya Muslim kwako wewe ndiyo kila kitu, dini inayofundisha udini na kuleta matabaka kwa watu, dini ambayo watu wake Iran, Libya, Syria, n.k wanachinjana kama kuku na kumwaga damu, dini inayohimizi kufuga na kuishi na majini, dini inayofundisha nyinyi n bora kulko wengine, nyinyi ndiyo wenye haki wengine makafiri, dini inayofundisha kumpiga mtu mawe hadi kufa, dini inayofundisha kumkata n kumchinja mtu endapo atahama dini, hii kwako ndiyo bora ?na unaimini.
AI mada yake iko open kabisa, kwamba mtu aliumbwa na Annunaki mada haisemi Mungu wenu hakumuumba, inawezekana Annunaki ndiyo Mungu wenu ila nyny hamjuhi, ndiyo mjue kuanzia sasa,
Kisai umekomaa chain chain, mleta mada alikuwa family tree ikionyesha kuanzia kwa Enki kabla hata hao mitume wenu uchwara hawajazaliwa, hukuona?, unataka uonyeshwe video mtu wa sumer akisimulia hayo, ww unaweza kutuonyesha mtu aliyemuhoji Muhammed? , hiyo chain ww uliipataje kama n vitabu huna tofauti n mleta mada naye katumia vitabu, unaleta habar za uhakiki kwa kutumia kitabu chako, mleta mada naye vitabu vyake vimehaliliwa, au unataka afanye time travel akawahoji sumerians mwenyewe?, huo ndiyo uhakiki unataka? Unaamini katik historia iliyo hakikiwa na watu wengine, ila yeye mleta mada akitumia historia hiyo hiyo iliyohakikiwa na wengine kama reference hutaki, why?
Mleta mada amekuuliza uliwahi kumuhoji Muhammed mwenyewe kama njia ya kuhakiki ulichokisoma, umeruka ruka kama maharage, au tuonyeshe kwamba huu hapa n mfupa wake ili tukuamini, hamna unacholeta unaruka ruka na masimulizi ya waharabu hao, ambao hata Allah hakuwaumba, ila hujuhi upo upo tu.
Quez umekazania muumbaj wa anunak, kashakuambia wametoka sayari nyingine siyo hii ya Mungu wenu wa dunia. Mfano akihamua kukujibu anu ndiye Muumbaji na Mungu wao, vip utalizika?
Tz mbongo wewe n egoism zinaksumbua kwa mleta mada, masimuliz ya Qaran ambayo hata Allah hujawahi kuona fuvu lake umekomaa kuyaamini, ila haya hutaki umekomaa uhandishi tatiz, labda umfuatilii AI hapa Jf intelligence, kasome ujipime, mnapomuuliz maswal yasiyokuw n logic na yeye lazima awaulize n kwa mwendo huo hamuwezi kuafikiana kihoja, kila mwamba ngoma anavutia kwake.
Quez unauliza solar system n nini? Sirias kabisa, kwenye dini zenu kuna mahali pameandikwa Mungu aliumba solar system?, imeandikwa ameumba dunia, binadamu na vilivyoma, ktk solar system tuna sayar zaidi ya 13, kwhy kama aliumba dunia tu, kuna waumbaji waliomuzidi akili kwa kuumba sayari nyingine na viumbe wengine, kwahiyo na yeye Mungu aliumbwa.
Kwahiyo kam hutak mleta mada atumia reference za vitabu, basi na ww usitumie reference za vitabu, hivyo bas hili uwe sahihi kuliko yeye huo uhakiki uwe umeufanya ww mwenyewe, yaan umekutana Mungu au mitume na kufanya nao mahojiano, then utuwekee hapa tuone, tofauti n hapo itakuw n yale yale.
Hayo machapisho ya waharabu yatakuua bure kwa itakadi wewe, alafu uruhusu akili kuelewa mengine ya dunia.Nimecheka sana, mnaposhindwa kujibu maswali mnaanza kurauka. Shida yenu hamna elimu ya uhakiki wa habari.
Alichokiandika mtoa mada kinaingia katika visa vya kubuni ndiyo maana maswali ya msingi ameshindwa kujibu. Laiti kama mngekuwa mna hoji hakuna hata mjinga mmoja angekubali juu ya hizi habari.
Mimi nakuuliza swali hili, katika hao ambao wanatoa habari za Annunaki yupo aliye washuhudia kwa macho ? Hili la kwanza, swali lingine la msingi nimemuuliza mwenzako alichojibu ni kituko, nimemuuliza hivi ni nani wa kwanza kuelezea hizi habari za Annunaki ? Akajibu ni "Sumerians" hapa ameitaja jamii yenye ustaarabu fulani na swali langu hajalijibu, alitakiwa amuanishe aliye eleza habari hizi wa kwanza. Hapa ndipo ukweli ulipo. Mkishindwa kujibu swali hili, ni kuwa habari hizi ni za kutunga.
Sasa kama nyinyi mnafikiria kitoto na amuhoni ni nyinyi sisi tumeshatoka zamani sana katika kubeba beba mambo kishabiki bila kuhoni wala kufanya utafiti.
Ushahidi wa kihistoria na kuonekana hujauona, huko kwny uhakiki unaotamba nao, mlifundishwa nini ww mzee?, kama unakataa ushahidi wa kihistoria ulio hakikiwa n waandish wa vitabu?Swali langu limeuliza ni nani wa kwanza kuelezea habari hizi. Ukijibu kuwa zimetoka "Babilonia" bado hujajibu swali sababu unazua maswali mengi kuhusu hicho ulichokijibu. Nitakuuliza huko babilonia hizo habari zimekutwa wapi na ushahidi wake ni upi kuonyesha Annunaki ndiyo amewaumba Wanadamu.
Kina nani wanasema au kuamini Mola alijiumba ? Mola yupo wala hajawahi kutokuwepo.
Hayo maandishi yameandikwa na nani ? Usiitaje jamii, katika elimu ya uhakiki wa habari inaonekana kabisa muandishi hajulikani na mtu wa kwanza hajulikani ? Habari yenye sifa hii inataka itiliwe nguvu na habari nyingine isiyo kuwa na shaka kabisa na itoke kwa mtu mwenye kuaminika na mkweli na mwenye kujulikana.
Wewe unaweza kututhibitishia ya kuwa hizo habari zimetoka huko ? Kingine unaijua Babiloni ?
Tafuteni vitabu vya Kamusi ya miji mjue habari za jamii na maeneo yao na sifa zao.
Hakuna kushindana hapa tunaangalia uhalisia, nikuulize tu swali la msingi, unahakiki vipi habari za kale ? Je kwa kuona michoro kwenye mapango ? Wanagapi kwenye mapango wanachora vitu ilimradi tu kufurahisha nafsi zao ?
Akili mmepewa bure ili mzitumie kuutafuta ukweli.
Nimecheka sana, huyi mtoa mada mimi mara ya kwanza nilimpuuza kwa sababu ya kutokujibu maswali, ila nilivyo pita nikaona anajitapa kwamba hawezi kurudia jambo ambalo ameshaliezea na mwingine akawa anamtuhumu kwamba hajibu maswali, nikaamua kutilia mkazo juu ya hili.
Shida yenu mnafikiri kwamba watu wote humu wanapenda stori kama mnavyopenda nyinyi, sisi wengine tuna hoji na kufikiri kwa usahihi.
Hakuna hoja ambayo mtoa mada ameiweka sababu mada yote imemili katka umashaka. Angalia namna ya usimuliaji wa mada yake, utaona "Inasemekana..." mara "Walishuka kutoka sauari nyingine..." ukimuuliza ushahidi uko wapi ? Hana ushahidi je nani aliwaona wakishuka au nani alielezea habari hizi wa kwanza na yeye alizitoa wapi ? Majibu hana.
Anatakiwa yeye kwanza ahakiki alichokiandika na ajibu maswali anayo ulizwa.
who is mola?, alitengenezwa n nani? Wap?, kama unaamin hakutengenezw n annunaki hakutengezwa pia.Wapi nimesema au nimeamini Mungu amejitengeza ?
Ninacho amini mimi ni kuwa Mola hajatanguliwa na wakati yeye yupo wala hakuwahi kutokuwepo.
Sasa hili la kujitengeneza unatakiwa utuambie umelitoa wapi ? Usitusemeze maneno.
Mimi swali langu liko pale pale ni nani wa kwanza kuelezea habari za Annunaki ? Je aliwaona hao Annunaki ?
Kwahiyo mkuu kila alichokielezaSasa ikiwa hujawahi kumuona wala kukutananaye unapataje ujasiri wa kutunishia watu kifua kwa uhakiki wa washiba futari waliojiita wanazuoni na kuja kutamba hapa.!?
Uhakiki wa mtoa mada unatokana na wataalam wa kisasa wenye elimu ya uhakiki wa vitu vya kale kwa teknolojia za kisasa kusaidia hayo
Na sio vigano na visasili vya waarabu wenye mtazamo fulani walioamua kuviweka kwenye maandishi kama hadithi za sungura na fisi...SAWA
Kwahiyo mkuu kila kilichoelezwa kwenye hizi habari za Annunaki kimehakikiwa na wataalamu?Sasa ikiwa hujawahi kumuona wala kukutananaye unapataje ujasiri wa kutunishia watu kifua kwa uhakiki wa washiba futari waliojiita wanazuoni na kuja kutamba hapa.!?
Uhakiki wa mtoa mada unatokana na wataalam wa kisasa wenye elimu ya uhakiki wa vitu vya kale kwa teknolojia za kisasa kusaidia hayo
Na sio vigano na visasili vya waarabu wenye mtazamo fulani walioamua kuviweka kwenye maandishi kama hadithi za sungura na fisi...SAWA
ww mzee hach kujifany muhakik kumbe umekarir kakitabu kako hak ka kiarabu, hebu tuonyeshe ulivyohakiki hizo taarif ww mwenyew, kama siyo kumeza hayo maandiko yako, yaan upo Tz, umeenda maca, near east na kuhakiki siyo😂😂, hiyo dini itakufny uwe fukara wa fikra.Maswali yangu hujajibu kama umejibu maswali yangu, muainishe yule wa kwanza kuelezea habari za Annunaki ni nani ? Usitaje jamii sababu bado tutarudi pale pale kumsaka huyo wa kwanza katika hiyo jamii ni nani ?
Sasa usibishane kwenye hakuna. Muwe mnahakiki hizi habari na kuhoji kwanza kabla hamjaleta humu.
Mimi sina jibu langu ndiyo maana natumia lugha nyepesi sana kuuliza maswali ili lugha isiwe kikwazo, mfano mimi ungeniuliza ni nani wa kwanza kuleta habari za Uislamu mimi ningekujibu kuwa ni "Mtume Muhammad" wala nisingesema n "Waarabu au Maqureishi". Kisha kitokea hapo tunaenda hatua nyingine kwamba je ni kweli Mtume Muhammad ndiyo wa kwanza kuleta habari za Uislamu hivyo mpaka tunapata ukweli wa habari husika.
Siyo kwmb hawez mnampotezea muda n maswali uchwara, anaona kujibizana n arrogant wa duni kama nyinyi, anajisumbua, mshakariri ya dini, kutoka nje hamtaki.Kumbe lengo lilikuwa ni kushindana na watu wa dini? Binafsi sikuona kabisa haya masimulizi yana hadhi hata ya kushindana na maandiko ya dini na ndio maana niliyaita masimulizi. Nachokijua haya masimulizi ni faraja kwenu kwa sababu mmeacha kuamini dini yenu na ndio mkajikuta mmeangukia kwenye hayo masimulizi na ndio mnayatumia kushambulia dini. Halafu mimi sielewi ubaya wangu ni upi humu maana kikubwa nilichokuwa nauliza ni kuhusu reference kutumika kitabu kimoja tu cha biblia na matokeo yake nikawa najibiwa majibu ya nyodo kwa waislamu na Qur'an hivyo nikaacha. Sasa sielewi ni vp nionekane kama msumbufu fulani humu? Kama huyo mleta mada ndio inaonesha kanimaind kichizi au kwa sababu nimesema tu ukweli kwamba uandishi mbovu? Anajitetea et watu wameelewa bila kujiuliza ni akina nani hao waliyoelewa haya masimulizi pamoja na huo uandishi mbovu?
Haya masimulizi humu ingependeza kama ingekuwa kwa wenye kuamini hayo masimulizi tu wakafarijiana ila sio et unaleta haya masimulizi kwa uandishi huo halafu et ili ushindane na vitabu vya dini, kibaya mleta sio tu hawezi kujibu vizuri maswali bali pia ana tatizo la la kutokuelewa vizuri anayoulizwa.
Hicho walichofanya Annunaki kwa wengine hakina maana ya uumbaji kwamba huwezi kusema wameumba.Mm nimejibu kuendana na nilivyo muelewa mtoa mada.
Swali lako mm sina jibu lake maana jibu lake litakuwa na mkanganyiko ambao scientifically sizan kama unauthibitisho mfano: maandiko yanasema Mungu aliumba binadamu na wanyama, na binadamu na wanyama nao pia wakiunfanisha sperm na yai la mwanamke/jike wanapata kiumbe chao(mtoto) hapo Mungu hausiki labda kwa mara chache(miujiza) na anaweza hasihusike pia(miujiza). Nahis had happ umeisha ona contradiction zinavyoweza kutokea (sio mara zote) unapohusisha sayansi na iman
Tupe chanzo n nyie cha muumbaji wa Mungu, kama hakipo, anu naye alijiumba.Safi Mkuu. "Nakujibu kwa ufupi sana kwamba hayupo", kwa quote yako hii umenijibu vizuri sana kwamba hakuna kiumbe ambae yupo physical in shape anayeweza kujiunda/kujiumba mwenyewe.
Sasa turudi kwa kiumbe (ANNUNAKI)
Tumeshakubaliana kwamba Annunaki ni kiumbe ambe ni:-
(i) MTU -Anafanana vina saba na binadamu(mimi, wewe na wengine)
(ii) WANAZALIANA- Viumbe hao Annunaki wanaongezeka kwa kualiana.
(iii) WAPO (PHYSICAL IN SHAPE)- Viumbe hao Annunaki wana mwili yaan wapo physical in shape na kwamba unaweza kumuona kwa macho na kumgusa kama binadamu.
(iv) HAWAWEZI KUJIUNDA/KUJIUMBA -Viumbe hao Annunaki hawawezi kujiunda au kujiumbwa wenyewe, kwa sababu ni viumbe kama viumbe wengine walio physical in shape lazima waundwe na muundaji.
Kwa muktadha huo, sasa nakuuliza swali UNAWEZA KUNIAMBIA CHANZO/ MUUNDAJI WA HAO VIUMBE ANNUNAKI? (yaan walitokeaje tokeaje, maana hawawezi kujiunda wenyewe kama ulivyosema)
Jibu hoja.Hayo machapisho ya waharabu yatakuua bure kwa itakadi wewe, alafu uruhusu akili kuelewa mengine ya dunia.
Sumerians,akkadians,kush, n.k waliwaona kwa macho wakaach rekodi, ambazo zinatumik had leo, funga safar uende Mari kabila la dogon wakusimulie hili ulizike, wew uliwah kumuon Mungu?, mitume wako wote unaowasujud hakun aliwah kumuona Mungu , ila umekazan hapa et niambie mtu mmoja aliyewaona, yaani utajiwe jina la mtu mmoja?, elimu ya anga inaendelea kuthibtish uwepo wa hao viumbe, et uwaamini, lakini walivyokufundisha mfumo wa nyota n sayar ukawaamini, hv unajielew kwl ww mzee?
Neno Mungu na kuabud yameanzia sumer Mungu=Miungu , walitumia almighty of sky chamber ambaye ni miungu anu, badae lugha ilivyozidi kukua n kubadilika wakaanza kutumia neno God=Mungu=Miungu, dini zenu mnaabudu miungu ila hamjitambuhi kabisa, Miungu ndiyo Mungu wenu, na hiyo miungu ilijiumba hakuumbwa n mtu, ndiyo maana huwez kuta wanasema Mungu aliumba anu, never?
Fuatilia kuanzishw kw dini zenu hizo, zote zimetokana na kuabudu Miungu, Mungu=Miungu, akili umezibana na uhakiki ndiyo maana, umekazana tu, mitume wenu Yesu/Muhammed hawajawah kutokewa na Mungu pamoja n usafi wao wote wa roho, walitokew n miungu (watchers/angels nk), hao wote ni miungu, lakin mumekazn Mungu Mungu, yaan had mnafundishwa kufuga majini sirias?, amkeni kifikra hachen kuzubaa kiakili na uhakiki wako uchwara huo.
Historia hurithishwa kizazi na kizazi. Huwezi kunipa habari za miaka 500 iliyo pita bila kunipa "chain" ya walio pokea habari. Kinyume chake ni habari za kubuni.Ushahidi wa kihistoria na kuonekana hujauona, huko kwny uhakiki unaotamba nao, mlifundishwa nini ww mzee?, kama unakataa ushahidi wa kihistoria ulio hakikiwa n waandish wa vitabu?
hayaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂, oneni huyu, eti civilization imeletwa n waharabu?, mtaalam wa uhakik hata hili hajuhi, hizi mada zipo nje ya uwezo wenu, unaona unavyo puyanga sasa.Huu ujinga mwingine. Ukisoma katika kitabu kiitwacho "Al-Bidayat wa al-Nihayyah" cha Imam Ibn Kathir utaona asili ya tamko "Ustaarabu(Civilization)" limetoka wapi. Ustaarabu umeletwa na mitume na manabii, sababu walikuwa wanapewa muongozo toka kwa Allah, mathalani ukisoma maana ya Ustaarabu, kwanini umeitwa kwa jina hilo, sababu walikuwa wakiwafanyia wema wanawake, ndiyo maana Waarabu wa kale wakaitwa "Wastaarabu/Mstaarab".
Swali langu la msingi bado liko pale pale huwezi kukuta maandishi kisha ukayafasiri ukahitimisha ya kuwa ni ukweli bila kutafuta asili na kulinganisha na maandiko yasiyo kuwa na shala ndani yake.
Nitakuuliza je hao Sumerians walikuwa walikuwa wanapata habari za mambo yaliyo fichikana kupitia nini ?
Hata Waarabu walikuwa wanatunza maandiko yao kutunza maandiko hakumaanishi ya kuwa maandiko yao ni ya kweli.
Nimecheka sana. Kwahiyo kama wewe ni mjinga na mimi ni mjinga siyo ? Naona mada imekuzidi ukubwa hii.who is mola?, alitengenezwa n nani? Wap?, kama unaamin hakutengenezw n annunaki hakutengezwa pia.
Hebu n ww tuambie mzee wa kuhakiki, habari za kale ulizohakik mwenyewe hapa, tuleteee tuone.Huu utoto mwingine ushawahi kuhakiki habari ya kale yoyote ukajua ukweli wake ?
Habari za mapangoni au maandishi hata ufanye vipi utafiti haiwezi kuwa kweli kama haina "Chain" inayofika mpaka leo hii wangapi wanajiandikia mambo kadha wa kadha. Je utafiti huo unaufanyaje kuhakiki ukweli wa kilicho andikwa ?
Nakuuliza swali, ustaarabu umeletwa na nani ?
Nimewaambia wenzako huko juu na mtoa mada akiwemo ya kuwa athibitishe ustaarabu haukuletwa na Mitume na manabii. Hakuna aliye jibu swali hili.hayaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂, oneni huyu, eti civilization imeletwa n waharabu?, mtaalam wa uhakik hata hili hajuhi, hizi mada zipo nje ya uwezo wenu, unaona unavyo puyanga sasa.
Ni hii habari ya Annunaki ndito naihakiki hapa. Na uongo wake mpaka muda huu ushaonekana. Tuendelee.Hebu n ww tuambie mzee wa kuhakiki, habari za kale ulizohakik mwenyewe hapa, tuleteee tuone.
Hebu na wewe ainisha mtu wa kwanza kabisa kuonana na Mungu uso kwa uso, fanya chap utuletee, na sisi tukuletee ili twende sawa.Swali langu liko pale pale muainishe mtu wa kwanza kuelezea habari za Annunaki. Je wamejielezea weenyewe au hao mnaowaita watafiti wamekuja kuwaelezea ?
Unajua kabla ya Mtume na Yesu walipita mitume na manabii wengine, unaweza kututuibitishia ya kuwa hao Annunaki hawajamkuta Adamu ?