Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

Vatican ni hatari sana, nikisema niandike na tuchambue kuhusu siri za Vatican, mada inaweza kuchukua mwaka mzima. Nimesoma vitabu vitano tu kuhusu Vatican, machozi yalinilenga.
Inabidi ulete huo Uzi, watu tunapaswa kufunguka zaidi kifikira aisee
 
Vatican ni hatari Kwa mstakabari wa Dunia hao jamaa ni mafia sana sikuamini pale niliposoma ya kwamba kumbe ndio founder wa Islam religion Kupitia ajent wao Father Waraqa na Mohammed Abdulla daaaa nikabaki kujisemea Hawa jamaa ni taasisi hatari sana!
Ila Sasa wenye dini zao ukiwaeleza watakuelewa basi?
[emoji848][emoji848][emoji848]
Eeehh hawawezi kuelewa,, Naomba ujazie nyama hapa , lango la kuanzisha hiyo dini lilikuwa Ni Nini !?

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Wajinga Sana wamefanya devide and rules
 
Naam China hawataki kabisa kumsikia huo ujinga , kwa sababu ukisha ikaribisha dini Hatua ya kwanza utaanza kuwa under influence na ustaarabu wa nchi ambazo dini hizo zinatokea ,, utabadilisha majina ya watoto wako na kuwaita majina ya Viongozi wa dini wa nchi ambazo dini hizo zinatokea , utajali Sana tende na kuzisifia kuliko embe linalotoka muheza , Yaani uta copy kila Aina ya utamaduni ambao sio wako bila ya kujua kwamba unajivua thamani na utu wako na wa taifa lako , Hautojua kuwa unatumika kutangaza utalii wa hayo Mataifa na kuyafanya yazidi kukua kiuchumi , , China hayo yote Wana yajua that's why hawawezi kuruhusu kuvuruga utamaduni wao na uzalendo uliopo kwa wananchi wao dhidi ya taifa lao ,,
Uko sahihi sana Mkuu
 
na ndio maana ukikaa na ma Padre wengi ni Maatheist huwezi amini na hua wanafunguka ukiwa nao Karibu na ukagusia maswala Haya wao wanajua wapo pale Kwa mission maalum,na ndio maana utakuta wapo happy mbususu wanachakata na pombe wanakunywa na hata huyo Mungu hawamuogopi sababu wanajua Ukweli ya kwamba huwezi chonga kinyago kinachokutisha
eboooo!
[emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Shetani Ni mythology Hakuna shetani Never. Ushetani ni concept tu inayo tokana na matendo yako

Ngoja nikuulize swali , wote tunajua kuwa Mapenzi ya jinsia 1 Ni moja ya matendo yanayo chochewa na shetani na shetani yupo kwaajili ya kupotosha binaadamu sindio !? N a sio wanyama ,

Katika maisha yangu nimewahi kushudia jogoo akimpanda jogoo mwenzie it means walikuwa wanafanya Mapenzi ya jinsia 1

Swali langu lipo hapa , ----- Je Kama ufanyaji wa Mapenzi ya jinsia 1 Ni kitendo Cha kishetani na shetani ndio humchochea mtu kufanya kila Aina ya ubaya,, Huyu kuku (jogoo) kumpanda jogoo mwenzie hicho kitendo kafundishwa na Nani !? Na huyo shetani !?
Akili ndogo haiwezi kutawala Akili kubwa Mkuu, hilo swali liko juu sana ya uwezo wa mtu wa kawaida sidhani kama utapata jibu
 
Akili ndogo haiwezi kutawala Akili kubwa Mkuu, hilo swali liko juu sana ya uwezo wa mtu wa kawaida sidhani kama utapata jibu
[emoji16][emoji16][emoji16]
Watu wangu Wana angamia kwa kukosa maarifa
 
Eeehh hawawezi kuelewa,, Naomba ujazie nyama hapa , lango la kuanzisha hiyo dini lilikuwa Ni Nini !?

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Wajinga Sana wamefanya devide and rules
Hawa jamaa walianzisha dini mbadala ambayo Watakua wanapinga Uungu wa Yesu Ili waonekane ni ant Christ maana enzi hizo kulikua na vugu vugu la kanisa katoriki kuitwa wapinga kristo na wakristo wa mwanzo hasa wale waliokua nje ya mfumo wao hivyo ikabidi watengeneze Islam religion Ili aonekane Mohammed Abdulla kaanzisha mafundisho ya kupotosha watu na akijinadi ni dini mpya ili wale wakristo wengine waamini kweli mpinga kristo kaja na ana dini yake hapo Ndipo Mohammed Abdulla na genge lake wakapewa mission Huko Arabuni ya kufanya huo uhuni wa kufake kitabu wakidai ni muujiza umemshukia kumbuka jamaa alikua Merchant na anakubalika Kwa jamii yake hivyo ilikua ni rahisi kumpa mission jamaa aliyekua mjanja mjanja na mwerevu japo alikua hata kusoma na kuandika hajui ila maneno mengi na much know sana anaejua Tabia za jamii yake maana alikua Mtu wa kujichanganya Kila sehemu hivyo akaula akishawishiwa na Padre mmoja waliekutana nae Jerusalem kibiashara aingie deal na Vatican enzi hizo wakiwa makao makuu pale Constantinople Uturuki kabla
hawajahamia Italy na kweli deal lilienda vizuri sana mpaka jamaa akafanikiwa kuwaungunisha nusu ya jamii za waarabu ,ila baadae picha liliungua baada ya Mohammed Abdulla kupata Nguvu na kukubalika Arabuni,akawageuka jamaa na kumzimisha haikuwezekana maana wajahidina wa Mecca na Medina walilishwa sumu Kali Sana kiasi kwamba kuwaeleza Ile ilikua plan tu hawatakuelewa Kwa sababu hiyo dini ikawa kama identity Ya Jamii Yao,Muddy akaona hakuna kurudi nyuma kama wamevunja makubaliano Mimi sirudi nyuma,huo mgogoro ukiendelea mpaka ukaja zalisha crusade war Kwa warumi na Kaffir war Kwa Arabs na vita ikapiganwa Kwa Miaka mingi sana bila kuisha,
Kuna mambo mengi sana yakitokea mpaka kufikia hatua huyo yaani ipo siku nitaandaa madesa yenye ushahidi kabisa maana aliyeunguza picha mpaka Siri kufumuka ni
Napoleon Bonaparte Ile Miaka 1880's alipomteka Pope na kumkata kichwa na ndio walikuta makabrasha yenye Siri hizo na Kuna maandishi ya Siri waliyakuta chini ya kiti Cha Pope yameendikwa

"Mwenyezi Mungu ni Mmoja na Mohammed ndie mtume wake"
Sasa utajiuliza Hayo chini ya kiti Cha enzi Cha baba mtakatifu wa vatikani yalimaanisha Nini kama Sio Game of thrones!
Father of 2 Religions!

Ni hatari sana ila mkuu Haya mambo bwana yatasababisha kina nanii wanitafute wanipopoe mawe Mimi Simo Aisee ila nawasilisha tu!
hearly
😁😁😁😁🔥🔥
 
Hawa jamaa walianzisha dini mbadala ambayo Watakua wanapinga Uungu wa Yesu Ili waonekane ni ant Christ maana enzi hizo kulikua na vugu vugu la kanisa katoriki kuitwa wapinga kristo na wakristo wa mwanzo hasa wale waliokua nje ya mfumo wao hivyo ikabidi watengeneze Islam religion Ili aonekane Mohammed Abdulla kaanzisha mafundisho ya kupotosha watu na akijinadi ni dini mpya ili wale wakristo wengine waamini kweli mpinga kristo kaja na ana dini yake hapo Ndipo Mohammed Abdulla na genge lake wakapewa mission Huko Arabuni ya kufanya huo uhuni wa kufake kitabu wakidai ni muujiza umemshukia kumbuka jamaa alikua Merchant na anakubalika Kwa jamii yake hivyo ilikua ni rahisi kumpa mission jamaa aliyekua mjanja mjanja na mwerevu japo alikua hata kusoma na kuandika hajui ila maneno mengi na much know sana anaejua Tabia za jamii yake maana alikua Mtu wa kujichanganya Kila sehemu hivyo akaula akishawishiwa na Padre mmoja waliekutana nae Jerusalem kibiashara aingie deal na Vatican enzi hizo wakiwa makao makuu pale Constantinople Uturuki kabla
hawajahamia Italy na kweli deal lilienda vizuri sana mpaka jamaa akafanikiwa kuwaungunisha nusu ya jamii za waarabu ,ila baadae picha liliungua baada ya Mohammed Abdulla kupata Nguvu na kukubalika Arabuni,akawageuka jamaa na kumzimisha haikuwezekana maana wajahidina wa Mecca na Medina walilishwa sumu Kali Sana kiasi kwamba kuwaeleza Ile ilikua plan tu hawatakuelewa Kwa sababu hiyo dini ikawa kama identity Ya Jamii Yao,Muddy akaona hakuna kurudi nyuma kama wamevunja makubaliano Mimi sirudi nyuma,huo mgogoro ukiendelea mpaka ukaja zalisha crusade war Kwa warumi na Kaffir war Kwa Arabs na vita ikapiganwa Kwa Miaka mingi sana bila kuisha,
Kuna mambo mengi sana yakitokea mpaka kufikia hatua huyo yaani ipo siku nitaandaa madesa yenye ushahidi kabisa maana aliyeunguza picha mpaka Siri kufumuka ni
Napoleon Bonaparte Ile Miaka 1880's alipomteka Pope na kumkata kichwa na ndio walikuta makabrasha yenye Siri hizo na Kuna maandishi ya Siri waliyakuta chini ya kiti Cha Pope yameendikwa

"Mwenyezi Mungu ni Mmoja na Mohammed ndie mtume wake"
Sasa utajiuliza Hayo chini ya kiti Cha enzi Cha baba mtakatifu wa vatikani yalimaanisha Nini kama Sio Game of thrones!
Father of 2 Religions!

Ni hatari sana ila mkuu Haya mambo bwana yatasababisha kina nanii wanitafute wanipopoe mawe Mimi Simo Aisee ila nawasilisha tu!
hearly
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji91][emoji91]
Aiseee hatari Sana, Tunahitaji hii elimu aisee , jitahidi siku 1 utuletee hiyo simulizi Ni muhimu Sana
 
Hawa jamaa walianzisha dini mbadala ambayo Watakua wanapinga Uungu wa Yesu Ili waonekane ni ant Christ maana enzi hizo kulikua na vugu vugu la kanisa katoriki kuitwa wapinga kristo na wakristo wa mwanzo hasa wale waliokua nje ya mfumo wao hivyo ikabidi watengeneze Islam religion Ili aonekane Mohammed Abdulla kaanzisha mafundisho ya kupotosha watu na akijinadi ni dini mpya ili wale wakristo wengine waamini kweli mpinga kristo kaja na ana dini yake hapo Ndipo Mohammed Abdulla na genge lake wakapewa mission Huko Arabuni ya kufanya huo uhuni wa kufake kitabu wakidai ni muujiza umemshukia kumbuka jamaa alikua Merchant na anakubalika Kwa jamii yake hivyo ilikua ni rahisi kumpa mission jamaa aliyekua mjanja mjanja na mwerevu japo alikua hata kusoma na kuandika hajui ila maneno mengi na much know sana anaejua Tabia za jamii yake maana alikua Mtu wa kujichanganya Kila sehemu hivyo akaula akishawishiwa na Padre mmoja waliekutana nae Jerusalem kibiashara aingie deal na Vatican enzi hizo wakiwa makao makuu pale Constantinople Uturuki kabla
hawajahamia Italy na kweli deal lilienda vizuri sana mpaka jamaa akafanikiwa kuwaungunisha nusu ya jamii za waarabu ,ila baadae picha liliungua baada ya Mohammed Abdulla kupata Nguvu na kukubalika Arabuni,akawageuka jamaa na kumzimisha haikuwezekana maana wajahidina wa Mecca na Medina walilishwa sumu Kali Sana kiasi kwamba kuwaeleza Ile ilikua plan tu hawatakuelewa Kwa sababu hiyo dini ikawa kama identity Ya Jamii Yao,Muddy akaona hakuna kurudi nyuma kama wamevunja makubaliano Mimi sirudi nyuma,huo mgogoro ukiendelea mpaka ukaja zalisha crusade war Kwa warumi na Kaffir war Kwa Arabs na vita ikapiganwa Kwa Miaka mingi sana bila kuisha,
Kuna mambo mengi sana yakitokea mpaka kufikia hatua huyo yaani ipo siku nitaandaa madesa yenye ushahidi kabisa maana aliyeunguza picha mpaka Siri kufumuka ni
Napoleon Bonaparte Ile Miaka 1880's alipomteka Pope na kumkata kichwa na ndio walikuta makabrasha yenye Siri hizo na Kuna maandishi ya Siri waliyakuta chini ya kiti Cha Pope yameendikwa

"Mwenyezi Mungu ni Mmoja na Mohammed ndie mtume wake"
Sasa utajiuliza Hayo chini ya kiti Cha enzi Cha baba mtakatifu wa vatikani yalimaanisha Nini kama Sio Game of thrones!
Father of 2 Religions!

Ni hatari sana ila mkuu Haya mambo bwana yatasababisha kina nanii wanitafute wanipopoe mawe Mimi Simo Aisee ila nawasilisha tu!
hearly
😁😁😁😁🔥🔥
Aisee uko deep sana, hayo mambo ni mazito mno.
 
Hii Dunia Kuna watu wachache waliamua kubuni mbinu za kuwaburuza wenzao,wengi wakaingia kwenye mtego hatari sana kuja kuchomoka ni ngumu mno,Yaani Bora Mtu awe mtumwa wa mwili Kuliko mtumwa wa Imani
Yaani mental slave ni Mbaya sana!
Na sidhani Kama itaisha ,, Maana falsafa ya Maisha Ina hitaji dunia iwe na mtawala na mtawaliwa, ,

So kwa muktadha endapo hizo Imani zikipotea Binaadamu wenye akili nyingi wataweza vipi kuwatawala binaadamu wengine ambao Ni average thinker na wasio na akili kabisa !?
 
Na sidhani Kama itaisha ,, Maana falsafa ya Maisha Ina hitaji dunia iwe na mtawala na mtawaliwa, ,

So kwa muktadha endapo hizo Imani zikipotea Binaadamu wenye akili nyingi wataweza vipi kuwatawala binaadamu wengine ambao Ni average thinker na wasio na akili kabisa !?
kweli Kabisa Kuna pahari nilisoma ya kwamba Dini ni Kwa ajili ya maskini na wajinga Ili kuweza kuwacontrol wasije Leta migongano na kuwasababisha matajiri washindwe kumaintain mambo Yao!
 
Yaani wewe unshindwa kujadili for fact na badala yake unatoa mahubiri ,,

Inawezekanaje Mungu mjuzi wa yote ashindwe kujua kuwa shetani aliyemuomba ipo siku 1 atakuja kumsaliti ?? Kama alikuwa anajua kwanini alimuumba , Na baada ya huyo shetani kumsaliti huyo mungu muweza wa yote kwanini alishindwa kumu eliminate!?

Najua jibu lako litakuwa alimuacha pasipo kumu eliminate ili amfanye kuwa kipimo. Cha kuwapima binaadamu Imani zao kwa kuwapa mitihani, Na Mimi nitakuuliza Tena Hivi Mungu mjuzi wa yote ana sababu gani za kumpa mtu mitihani ili apate kujua Uaminifu wake wakati yeye tayari Ni mjuzi wa yote , so kama mtu hatukuwa mtiifu na mtenda mabaya Basi huyo mungu wenu kwakuwa ana ujuzi wa yote tayari itakuwa amesha ijua tabia ya mtu huyo pasipo hata kumjaribu kwa kutumia nguvu ya uweza wake wa yote ,,!??

Aiseee mbona mungu wenu huyo ana contradiction nyingi Sana hamuoni kuwa Ni mungu wa mchongo ,,

Finaly you have to know that Dini Ni zao la siasa Ni propaganda inayo tumika kuwatawala watu nothing much , that's why huwa unaona when inapo fika wakati wa uchaguzi dini hizi hizo ndio huwa zinatumiwa na Wana siasa kuwa brain washe watu wapate kufuata mamlaka cuz serikali inajua kuwa viongozi wadini Wana nguvu ya ushawishi kwa wananchi wao kwa sababu ya ujinga walio wapandikiza waumini wao tangu wakiwa wadogo , so Wana wa control kwa kutumia Imani hizo,

Yaaani mpaka Leo haujui kuwa mnatumika kwaajili ya kukamilisha mission za watu hapa duniani [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Pole Sana , Yaani mtu umesoma lakini umeshindwa kuelimika be critical bhana
Hayo mawazo kwamba tunatumika umeyapata wapi,tuanzie hapo.
 
Mkuu wachunguzi wa mambo kale walipata tablets zenye Lugha za Accient Sumerian Ina Alfabet 500 hivi Lugha ya mule ni ngumu na haieleweki Yaani ni full mauza uza,endapo wakiweza kutafsiri ndio watapata kitu Cha kutuambia maana hata sisi tunawategemea wao watupe update ya kilichoandikwa mule maana ndio Kuna Siri zote za uimwengu ila kuyasoma ndio mbinde!
😁😁😁😁🔥🔥
Sorry mkuu nimekusudia nyumba.


Annunaki hawakuwa na nyumba hapa duniani au nyumba ndio hizi pyramids ?
 
Back
Top Bottom