kwahiyo ikiwa eneo hilo halitapata distabunce yeyote either ya kimazingira au kibinadamu
Mkuu kuhusu hii ishu inawezekana lakini kwa miaka hiyo mingi ambayo inadaiwa imepita ambayo ndio imetokea ni ishu ngumu sana kusema kwamba hizo nyayo ni za miaka na miaka.
Wakati huo kuna mvua,kuna matope,kuna upepo na vitu vingine.
Inawezekana vipi kwa hali hizo zote nyayo ibaki kwa mamilioni ya miaka ?
Nyayo hazigunduliwi kwenye mawe tu
Tuanze na Haya mawe mkuu, kuna utaalamu gani wa kisayansi ambao unaelezea kwamba jiwe linaweza kubonyea likikanyagwa alafu likatengeneza nyayo.
Mbona katika mazingira ya kawaida haiwezekani hii ishu ?
kuna sehemu wanyama wakubwa kama tembo/kiboko wakikanyaga nyayo zao zinabaki pale,
Ni sahihi mkuu lakini sio kwamba nyayo hizo ni za mamilioni ya miaka kama nyayo zetu za kale zinavyosemwa,hizo alama za wanyama utaziona za muda mfupi nyuma sio mamilioni ya miaka.
Kingine hata miamba ina muda wa ku disntagrate kutokana na physical, chemical na evironmental factors
Kivipi miamba ikidisintagrate inaweza kufanya mtu akikanyaga huo muamba ubonyee na kutengeneza nyayo mkuu au umemaanisha nini hapo mkuu ?
kwahiyo ikiwa eneo hilo halitapata distabunce yeyote either ya kimazingira au kibinadamu
Ni jambo ambalo kiakili linaleta shida kwamba hizo nyayo zipo katika sehemu ambazo tokea hao jamaa wapite basi sehemu hizo hazijawahi kupata mvua kubwa za kufanya matope,wala upepo mkali wa kuondosha mchanga n.k
wakati hiyk ni sehemu ya dunia pia inakosaje vikwazo hivyo kwa mamilioni ya miaka au malaki ya miaka mpaka hivi leo ?
Lakini pia wakati hao watu wanakanyaga maeneo hayo ni ushahidi kwamba hayo maeneo ya ardhi yalikuwa katika hali ya utopetope ndio maana ikaweza kutengeneza nyayo,hiyo inathibitisha kwamba maeneo hayo yanaweza kupatwa na maji na hali zingine za kidunia hivyo maeneo hayo yanaweza kukubwa na disturbance za aina hiyo.
Kwa maana hiyo kwa muda ambao inadaiwa hizo nyayo ndio jamaa wamepita mpaka hivi sasa kiakili haiwezekani kwamba hazikupata disturbance hizo zote za kimazingira.
Maana yake zilipata hizo disturbance za mimazingira,why mpaka leo zipo ?