Kudadeki mtoto mtamu wewe.Hodi humu!
Naitwa Husna The BossLady, naishi Dar. Inshallah tutaendelea kufahamiana zaidi ila kama una swali kunihusu karibu.
.....
Kwa niaba ya maswali yote yalioulizwa:
* Mnaotaka kunifahamu kwa picha, nimeattach picha.
* kazi yangu ni Mwalimu (Head mistress)
* Sijaolewa
* Kuhusu kunilindia moyo, someone must be a capable man
* Kabila langu Mnyamwezi wa Igunga
* Napenda kuwa social
Wivu kwa id fake na avatar fake woiiii [emoji23] [emoji23]Wanakuonea wivu tu hao, maana vidume vimekupa sapoti wao wananuna hawajawahi kupata sapoti ya hivi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Nashukuru kwa kuniblock huko pm maana unapiga teke gunia la makinikia
Kuna mtu kasema eti ni wewe apoWewe ni mwenyeji jaman
Nitake radhi mkuu id ya pili ya nini mimi navumbua nini au mods wanagawa hela kuwa na id mbili moja yenyewe inanishindaNahisi hisi , ID mpya ya [HASHTAG]#Shunie[/HASHTAG] hii
Aunti mgeni umemuonaOhooooo!! Haya karibu mgeni.
Jamaniiii anti, kwanza pole mnoo..Antie nilikuwa nakuulizia, nawaza huyu nae alikwenda pm nini!! Walimu wenzangu hizi siku chache wamejua kuniweza acha tu.
Sakayo kaniambia nikupe salam auntie nikikuona anakusalimia sanaAntie nilikuwa nakuulizia, nawaza huyu nae alikwenda pm nini!! Walimu wenzangu hizi siku chache wamejua kuniweza acha tu.
PraimU MinistaPM ndo nini?
Nimeshamjibu hii inanishinda ya pili nivumbue nini au nimekuja kutafuta mumeKuna mtu kasema eti ni wewe apo
AiseeeeSakayo kaniambia nikupe salam auntie nikikuona anakusalimia sana
Akwendwee hukooNimeshamjibu hii inanishinda ya pili nivumbue nini au nimekuja kutafuta mume
akakufwe kabisaAkwendwee hukoo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]hahahaha rushaaaaaaa! wenye sura zao na shape zao! mtu km mie na umichelini huu naanzaje kwanza ! teh teh kwanza internet itakata masaa 8! ikirufi inakuwa down siku 3!hatari sana
Nimemuona antie, picha warusha lini?Aunti mgeni umemuona
Nimerudi kipenzi, nasubiri picha yako.Jamaniiii anti, kwanza pole mnoo..
Shunie kaniambia unaniulizia... Baada ya wewe kula ban na mie nilijipa ban ili tuwe wote
Mrs air kanichekesha sanaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Heaven Sent Nalendwa binti kiziwi mkuje mumchukue mrs air jamani!!!!
Picha yangu ili mnikimbie auntie na hivi nilivyofanana na Baba acha tujuane hivi hivi kwa avatar fake auntie yanguNimemuona antie, picha warusha lini?
Nimerudi kipenzi, nasubiri picha yako.
Baba D kumbe umeweka kambi huku unakaribisha wageniKaribu
Anyway itoshe tu kusema unakila sababu za kuitwa the BossLadySasa hapo unaenda mbali Mkuu...mwisho utauliza nimevaa nguo ya rangi gani
HahahaNimemuona antie, picha warusha lini?
Nimerudi kipenzi, nasubiri picha yako.