Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaaaaaaa!![emoji23][emoji23][emoji23] njoo pm.
Hii kazi leo Eid mkuu tuipumzisheHivi Daby kashaingia humu au anasinzia
Nimekuelewa sana[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kama sio dume basi una lako jambo!!! [emoji53][emoji53][emoji53]
Hivi shemeji unajua kwenye Galer sina picha yako tu.... fanya mambo bwana hapa hapaHahaha
Daby ulete picha hapa
Nyie ni vichaa mtu kakaribishwa nyie mnasema wa kiumeHahahahaaaaaaa!!
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Mie sijasema ni wa kiume jamani!!!Nyie ni vichaa mtu kakaribishwa nyie mnasema wa kiume
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Baba D kumbe umeweka kambi huku unakaribisha wageni
Umetumwa mkuu karibu sanaNi ile ya shunie na wewe
ili uvumbue niniiii kukaa na picha za watuHivi shemeji unajua kwenye Galer sina picha yako tu.... fanya mambo bwana hapa hapa
Mbona tumemkalibisha vizuri tu na tumemsifia na picha zakeNyie ni vichaa mtu kakaribishwa nyie mnasema wa kiume
Unanitisha Baba D jamaan[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nimepita one tyme alafu si huyu wa kule kwetu ...nilijua hivo
Bamdogo subili mpaka Yesu arudi
Headmistress [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] bashite+Hodi humu!
Naitwa Husna The BossLady, naishi Dar. Inshallah tutaendelea kufahamiana zaidi ila kama una swali kunihusu karibu.
.....
Kwa niaba ya maswali yote yalioulizwa:
* Mnaotaka kunifahamu kwa picha, nimeattach picha.
* kazi yangu ni Mwalimu (Head mistress)
* Sijaolewa
* Kuhusu kunilindia moyo, someone must be a capable man
* Kabila langu Mnyamwezi wa Igunga
* Napenda kuwa social
Mmhili uvumbue niniiii kukaa na picha za watu