Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,894
- 76,810
Ni kumkufuru mungu na kumnyanyasa mwenye sura.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] bamdogo we ni chizi ujue
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kumkufuru mungu na kumnyanyasa mwenye sura.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] bamdogo we ni chizi ujue
Bamdogo kuna mda una akili unakuwa bamdogo akee shunie kweli yaanNi kumkufuru mungu na kumnyanyasa mwenye sura.
Halafu muda mwingine? [emoji41]Bamdogo kuna mda una akili unakuwa bamdogo akee shunie kweli yaan
Kuna mda akili zako unazijuwa mwenyewe za uking mswati halaf si mliambiwa msitumie emoji jamaanHalafu muda mwingine? [emoji41]
HahahaIla ni kuku asiye na kamba mguuni[emoji102] [emoji102]
Msifundishe ule mchezo mchafu wa kufunga PMKaribu mwaya
Nilitaka kushangaa halahala uchangiage kwa makini saiv dude likiamshwa sisurulishi tena kesiHii kazi leo Eid mkuu tuipumzishe
Achana nao mwaya ze bs njoo zako huku tuyajenge Thetu au sio?Jamani mbona imekuwa ugomvi? Au mnataka mbaki wenyewe tu huku JF? mnanishambulia utadhani nimemtukana mtu! Picha mmeomba wenyewe saivi mnahoji picha za nini mweh!! Naweza kuwa mzoefu kama msomàji, sasa kufungua ID imekuwa kosa?
Mama D weweeUnanitisha Baba D jamaan
Jilipue tu angalia usilipuke kabisawakuu mimi nataka nijilipue kwa huyu mrembo!! kwani nini bhaana
Mimi apa Baba D [emoji85]Mama D wewee
Weka namba ya simu hapa kama pm hupajui, picha yako ya mwisho ndio inapeleka watu puta, bora mwezi umekwishaPM ndo nini?
Yupo busy PM kupokea ukaribishoBoss lady umepotea gafla
kulipuka kabisa sidhani! ila nikipotea pakunitafutia nadhani mtakua tayari mmeshapajuaJilipue tu angalia usilipuke kabisa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Karibu Sana boss lady, Kabla sijaleta tongozo Langu huko PM tutajie Kwanza ID yako ya zamani ili tuliokutongoza tujue Kabisa kuwa tunaenda kufanya Paper two.
Wivu kwa id fake na avatar fake woiiii [emoji23] [emoji23]