Raimundo
JF-Expert Member
- May 23, 2009
- 13,416
- 12,618
Sawa kaka...
Samahani mwalimu sikujua ka huku ni wanaume tuu... But niko na kaka
Hili kaka hili, itabidi tulijadili upya hili jina.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa kaka...
Samahani mwalimu sikujua ka huku ni wanaume tuu... But niko na kaka
Sisi tunawazuia nini Raimundo kumkaribisha mgeni mkaribisheni tuJamani tumesema mtupishe tukaribishe mgeni, nini lakini?
Sisi tunawazuia nini Raimundo kumkaribisha mgeni mkaribisheni tu
ukiona hivyo jua wafukunyuku washamfunyua kuhusu zile picha zake.Boss lady umepotea gafla
Sawa kakaHili kaka hili, itabidi tulijadili upya hili jina.
[emoji23][emoji23][emoji23]Yupo busy PM kupokea ukaribisho
Usijali Kaka we ongea nao tuu, halafu unipe mrejesho kaka
Usijali Kaka we ongea nao tuu, halafu unipe mrejesho kaka
HahahaNimekushindwa...!
File lako nalipeleka kwa babu moja kwa moja.
Mmmmmh! Mwenzio Toka Nimeanza Kujitambua Nawaogopa Sana Nyie Viumbe Maana Ni Hatari Kwa Kurudisha Nyuma Maendeleo cc: mrs air
Inna mbona unatukatisha tamaa.Jilipue tu angalia usilipuke kabisa
Naww unataka kujilipua?Inna mbona unatukatisha tamaa.
Amna nataka nijaribu kupita Damascus maana Allepo waasi wamejaaNaww unataka kujilipua?
Headmistress katushtukiza bhana ata hatujajipangaNaww unataka kujilipua?
Jaribu tu bahati yako mkuuAmna nataka nijaribu kupita Damascus maana Allepo waasi wamejaa
Fanya nawe utupie pic mkuu ili kumsapoti h/m