Another BossLady in the House, Hodiii

Karibu sana dar uko mitaa ipi

Sent from my SHV-E210S using JamiiForums mobile app
 
Acha kukurubia zinaa kwa mapicha ya mitego kwni ni mufilisi
 
Jmn. Haha mwachen boss lady jmn. Boss lady natafta kaz mm n me alimu Wa English kisw na French. Kama htojal ebu ninaomba mawasiliano unipe kaz bnaa achana na comment za HVO. Intact nmekuekewa mwalim mwenzangu.0743955630. Nkipata popote kufndsha poaa. Magu ashatukatilia mbalii die. Boss Wang no the boss lady
 
Duu..kila la kheri huko p.m mkuu utakutana huko na mengi zaidi
 
Sio stunt za kuchomoana mitonyo kipindi hiki cha sikukuu kweli,mbona uzi ulipoa kipindi cha mfungo?
 
Naona umekuwa mrembo baada ya kuja mjini kutokea Itumba sijui Mwanzugi. Karibu jukwaani naona mabinti wadogo wa Igunga siku hizi mmevamia mjini mkianza na Zuwena aka Shishii beib[emoji23] [emoji23]

Sent from my Infinix-X551 using JamiiForums mobile app
 
Husna nina kitu cha kukuambia. Ila sitakufuata PM kama hutojali itabidi unifuate wewe. Its for u, Seriously.
 
Husna mi ni afisa elimu Dar na mbona sijawai kumuona mkuu wa shule mwenye sura yako
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…