Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Nashukuru kwa kuniblock huko pm maana unapiga teke gunia la makinikiaPM tena huko unione wewe tu! Hapana humu humu na kwa kublock PM kwanza... ha ha ha haaaa
Eeeeeeeeeh jamani umenitoa kicheko hadi nitashindwa kula chakula nikikosha koo na mashavu yangu manono.
Huyo ana mke, mimi shabiki tu.
Walimu mkuje kumsalimia mwenzenu humu sasa...
Karibu mwalimu, karibu boss, karibu shost.....
AiseeeeHivi umefata nini huku?
Huyu anakaribishwa na wanaume tu.
Business ad usualHodi humu!
Naitwa Husna The BossLady, naishi Dar. Inshallah tutaendelea kufahamiana zaidi ila kama una swali kunihusu karibu.
.....
Kwa niaba ya maswali yote yalioulizwa:
* Mnaotaka kunifahamu kwa picha, nimeattach picha.
* kazi yangu ni Mwalimu (Head mistress)
* Sijaolewa
* Kuhusu kunilindia moyo, someone must be a capable man
* Kabila langu Mnyamwezi wa Igunga
* Napenda kuwa social
Hodi humu!
Naitwa Husna The BossLady, naishi Dar.
* Mnaotaka kunifahamu kwa picha, nimeattach picha.
* kazi yangu ni Mwalimu (Head mistress)
* Sijaolewa
Aiseeee
Ila mie sina madhara ujue... Nimemkaribisha mwalimu tuu [emoji124] [emoji124] [emoji124]
thank u...u r so beautiful shosteee....Angalia nimeupdate thread, na picha nimeweka
ID yako ya zamani ni ipi?Nimeshaweka picha
Hahahahaha! Sikuweziprime minister
Sawa kaka...Hata kama, lengo la kuomba kukaribishwa siyo ninyi mmkaribishe, ni sisi.
Ndo maana kuna mahali kasema mbona mmenuna? Sasa kuepusha hilo ni bora muondoke, nitakuja kukudokeza kama utambulisho umefana au la.
Karibu shoga angu wasikuonee wivu maana wao hawawezi hata rusha vidole humumbona wanawake wenzangu mnamshambulia mgeni? mlitaka nidanganye kazi, nilipo, kabila...au mlitaka nijitambulisheje mashosti?!