Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Wanakuonea wivu tu hao, maana vidume vimekupa sapoti wao wananuna hawajawahi kupatra sapoti ya hivi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Wanakuonea wivu tu hao, maana vidume vimekupa sapoti wao wananuna hawajawahi kupatra sapoti ya hivi.
Karibu ukumbini
Napenda kujua kwanini umerusha picha zako!? Ila umenitamanisha nirushe zangu pia maana wanione tu kwa jinsi nilivyo mpole sana humu.
Karibu sana bibie..Hodi humu!
Naitwa Husna The BossLady, naishi Dar. Inshallah tutaendelea kufahamiana zaidi ila kama una swali kunihusu karibu.
.....
Kwa niaba ya maswali yote yalioulizwa:
* Mnaotaka kunifahamu kwa picha, nimeattach picha.
* kazi yangu ni Mwalimu (Head mistress)
* Sijaolewa
* Kuhusu kunilindia moyo, someone must be a capable man
* Kabila langu Mnyamwezi wa Igunga
* Napenda kuwa social
mbona ubosi watu wanau underrate hivyo?
Unaamini kila kinachowekwa humu? Angalia hiyo picha ya kwanza na ya pili hizo nyusi sio mtu mmoja huyoduh watu wana guts balaa!karibu le boss!
Daaaah hebu Fanya kutest kunitumia pm ila ufute fastaa Kabla mbabe Wa vita AraC Bashite hajavamia na ile misilaha ya kivita.Karibu ukumbini
Napenda kujua kwanini umerusha picha zako!? Ila umenitamanisha nirushe zangu pia maana wanione tu kwa jinsi nilivyo mpole sana humu.
Asubuhi njema [emoji124]
Kuna watu wameumbwa kuchunwa humu, atawachuna lengo litimie![]()
Huez kua mgeni humu alafu post yako kwanza ikawa hii... hii ni mwenyeji ila ni ID mpya tu!
![]()
Wasiwasi wangi ni kua unaeza kua mwanaume asee! Sio kwa fujo hizo za new id
Asubuhi njema [emoji124]