Another BossLady in the House, Hodiii

Another BossLady in the House, Hodiii

Kamkague utaleta feedback naona mkuu wa kitengo cha ukaguzi hayupo. Ila hili file linaonekana familiar
@Aspirin Mkuu wa Kitengo katelekeza Majukumu yake..


Hili file nikama lilishawahi kusainiwa mezani kwa mkuu wa idara.
 
Njoo pm tuongee.


Karibu Sana boss lady, Kabla sijaleta tongozo Langu huko PM tutajie Kwanza ID yako ya zamani ili tuliokutongoza tujue Kabisa kuwa tunaenda kufanya Paper two.

PM ndo nini?

Bosslady pole kwa siku ya kwanza tu umeshindwa kuficha fake ID.
Mtego mdogo sana umeingia king mwenyewe.

Kuwa na systematic na strategy ili kufanikisha kufake au kutekeleza jambo.


Asprin

Daby
 
Headmistress huyu? Ni bora Magufuli aendelee tu kukazia "wazazi" wasirudi mashuleni maana watapigwa vibendi tena!😀
 
Back
Top Bottom