Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,620
- 27,589
Kwani ikiwa id mpya kuna tatizo ganiHalafu huku ukaja kukana kuwa huijui PM.
Nahitimisha kwa kusema kuwa wewe sio mgeni hapa JF, nimefuatilia post zote kuanzia page ya 1 hadi ya 6
Halafu huku ukaja kukana kuwa huijui PM.
Nahitimisha kwa kusema kuwa wewe sio mgeni hapa JF, nimefuatilia post zote kuanzia page ya 1 hadi ya 6 inathibitisha hiyo.
Usituhadae na ID mpya, dhamira hako ya kuwa na hii ID mpya utaitimiza.
Usijali mwalimu huo ndo ukaribisho wenyewe Sasa.Jamani mbona imekuwa ugomvi? Au mnataka mbaki wenyewe tu huku JF? mnanishambulia utadhani nimemtukana mtu! Picha mmeomba wenyewe saivi mnahoji picha za nini mweh!! Naweza kuwa mzoefu kama msomàji, sasa kufungua ID imekuwa kosa?
Show za zibabeNataka show na we kama VP ni pm
we achana nao fanya yako...kuna watu wanamalizia stress humu...Jamani mbona imekuwa ugomvi? Au mnataka mbaki wenyewe tu huku JF? mnanishambulia utadhani nimemtukana mtu! Picha mmeomba wenyewe saivi mnahoji picha za nini mweh!! Naweza kuwa mzoefu kama msomàji, sasa kufungua ID imekuwa kosa?
Antie...Ohooooo!! Haya karibu mgeni.
Antie nilikuwa nakuulizia, nawaza huyu nae alikwenda pm nini!! Walimu wenzangu hizi siku chache wamejua kuniweza acha tu.Antie...
Miss wewe mnooo jamani...
Umemuona teacher lakini????!!!
Napita tu
Karibu mwayambona wanawake wenzangu mnamshambulia mgeni? mlitaka nidanganye kazi, nilipo, kabila...au mlitaka nijitambulisheje mashosti?!
Na me nimeshtuka bamdogoKamkague utaleta feedback naona mkuu wa kitengo cha ukaguzi hayupo. Ila hili file linaonekana familiar
hahahhahahahahaha rushaaaaaaa! wenye sura zao na shape zao! mtu km mie na umichelini huu naanzaje kwanza ! teh teh kwanza internet itakata masaa 8! ikirufi inakuwa down siku 3!hatari sana