Another BossLady in the House, Hodiii

Another BossLady in the House, Hodiii

Hodi humu!

Naitwa Husna The BossLady, naishi Dar. Inshallah tutaendelea kufahamiana zaidi ila kama una swali kunihusu karibu.
.....
Kwa niaba ya maswali yote yalioulizwa:

* Mnaotaka kunifahamu kwa picha, nimeattach picha.
* kazi yangu ni Mwalimu (Head mistress)
* Sijaolewa
* Kuhusu kunilindia moyo, someone must be a capable man
* Kabila langu Mnyamwezi wa Igunga
* Napenda kuwa social

::::::::::::::::::::::::::::::::::::

Haya nimerudi tena binti Husna Husnadat The Boss Lady🙂 comment ni nyiiiingi, PM ndo kabisaaa....jamani hivi hamna wake nyie wababa?? Wapi nimesema natafuta kuolewa? Wengi wameandika ati njoo pm tuyajenge!! lkn hasemi tuyajenge manini hayo. Mwingine anasema kwa uvaaji huo wewe hufai kuwa Headmistress, utadhani hapo nilipo ni uwanja Wa shuleni!!

Halafu, kwann wanawake wenzangu mmekwazika Mimi Kuweka picha? Kwani nyinyi mnachoshindwa nn? au mnatafutwa na Serikali!! Mwanamke kujiamini kha! Picha zenyewe nakula makongoro lkn mwanaume roho juu...je nikiweka za Photoshoot au gym si ndio mtawehuka....mimi sina kipya ila ni descent lady mwenye maisha yake na ajira yake.

Mwingine anasema ati nimfate PM! haloo mm ndo nafuatwa, mm sifati wanaume...na ukija pm kuuliza nafundisha shule gani basi uandae kumregister mwanao huku.

Mnaoniomba Eid, mm kesho nashinda zangu home kuangalia series, sitembeagi ovyo jamani ee....the boss lady ni humble and loving and friendly lkn sio kwa maswali ya kipuuzi...huko n kukoswa kazi.

Nyt nyt wooote mlionikaribisha kwa mapenzi mema. Inshallah tutazidi kufahamiana zaidi.
Ualimu ni taaluma yenye maadili yake haijalishi uko wapi na kama upo kwenye nyakati binafsi/private moments huna sababu za msingi kutupostia

Wapo watu ambao ni mabosi hasa/money makers hawana shobo hizo sembuse mwalimu tena h/mistress mwenye pesa ya dagaa tu halafu mara mipicha mara.....ualimu hauko hivyo kwanza unadhalilisha walimu wenzako!!!..Pia wanawake wenzako


Kama una watoto mwalimu tayari wewe hupaswi kuigwa hata na wtt wako!!...halafu hujui hiyo mipicha haifutiki humo mitandaoni ebo!!! Kesho wanakuona mama umevaa kama mdangaji. Eti unajiita boss lady...idiot !!!
My take wewe sio nini wala nini ni limbukeni flan uliyetoka huko kwenu mbwinde tena unataja hadi kabila lako unamfahamu side effects zake?!!

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Hodi humu!

Naitwa Husna The BossLady, naishi Dar. Inshallah tutaendelea kufahamiana zaidi ila kama una swali kunihusu karibu.
.....
Kwa niaba ya maswali yote yalioulizwa:

* Mnaotaka kunifahamu kwa picha, nimeattach picha.
* kazi yangu ni Mwalimu (Head mistress)
* Sijaolewa
* Kuhusu kunilindia moyo, someone must be a capable man
* Kabila langu Mnyamwezi wa Igunga
* Napenda kuwa social

::::::::::::::::::::::::::::::::::::

Haya nimerudi tena binti Husna Husnadat The Boss Lady🙂 comment ni nyiiiingi, PM ndo kabisaaa....jamani hivi hamna wake nyie wababa?? Wapi nimesema natafuta kuolewa? Wengi wameandika ati njoo pm tuyajenge!! lkn hasemi tuyajenge manini hayo. Mwingine anasema kwa uvaaji huo wewe hufai kuwa Headmistress, utadhani hapo nilipo ni uwanja Wa shuleni!!

Halafu, kwann wanawake wenzangu mmekwazika Mimi Kuweka picha? Kwani nyinyi mnachoshindwa nn? au mnatafutwa na Serikali!! Mwanamke kujiamini kha! Picha zenyewe nakula makongoro lkn mwanaume roho juu...je nikiweka za Photoshoot au gym si ndio mtawehuka....mimi sina kipya ila ni descent lady mwenye maisha yake na ajira yake.

Mwingine anasema ati nimfate PM! haloo mm ndo nafuatwa, mm sifati wanaume...na ukija pm kuuliza nafundisha shule gani basi uandae kumregister mwanao huku.

Mnaoniomba Eid, mm kesho nashinda zangu home kuangalia series, sitembeagi ovyo jamani ee....the boss lady ni humble and loving and friendly lkn sio kwa maswali ya kipuuzi...huko n kukoswa kazi.

Nyt nyt wooote mlionikaribisha kwa mapenzi mema. Inshallah tutazidi kufahamiana zaidi.
Kwanini unataka tukuulize maswali,unahisi unajambo gani la ziada ambalo tunapaswa kulifahamu lenye tija ukiacha huo ualimu na headsphone zako

by emma mjasiriamali
 
Itabidi nikafanye application DUCE naona mengi yananipita. Uko shule gan niombe field kabisa kwako?
 
Mwalimu Mkuu Headmistress Akipeea Mimba Nae Anaacha Shule??
Magu Naomba Ufafanuzi Koz Soon Navimbisha Mtu.
 
Mistress mapozi gani hayo yakichokozi huko shuleni veeeeepeee Kuna usalama kweli na wanafunzi.
 
Ualimu ni taaluma yenye maadili yake haijalishi uko wapi na kama upo kwenye nyakati binafsi/private moments huna sababu za msingi kutupostia

Wapo watu ambao ni mabosi hasa/money makers hawana shobo hizo sembuse mwalimu tena h/mistress mwenye pesa ya dagaa tu halafu mara mipicha mara.....ualimu hauko hivyo kwanza unadhalilisha walimu wenzako!!!..Pia wanawake wenzako


Kama una watoto mwalimu tayari wewe hupaswi kuigwa hata na wtt wako!!...halafu hujui hiyo mipicha haifutiki humo mitandaoni ebo!!! Kesho wanakuona mama umevaa kama mdangaji. Eti unajiita boss lady...idiot !!!
My take wewe sio nini wala nini ni limbukeni flan uliyetoka huko kwenu mbwinde tena unataja hadi kabila lako unamfahamu side effects zake?!!

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Nadhani hizo picha si zake ila kuna mtu anataka kumnanga mwenye picha hizo. Hii ni kulipizana kisasi Husna_TheBossLady
 
Hodi humu!

Naitwa Husna The BossLady, naishi Dar. Inshallah tutaendelea kufahamiana zaidi ila kama una swali kunihusu karibu.
.....
Kwa niaba ya maswali yote yalioulizwa:

* Mnaotaka kunifahamu kwa picha, nimeattach picha.
* kazi yangu ni Mwalimu (Head mistress)
* Sijaolewa
* Kuhusu kunilindia moyo, someone must be a capable man
* Kabila langu Mnyamwezi wa Igunga
* Napenda kuwa social

::::::::::::::::::::::::::::::::::::

Haya nimerudi tena binti Husna Husnadat The Boss Lady🙂 comment ni nyiiiingi, PM ndo kabisaaa....jamani hivi hamna wake nyie wababa?? Wapi nimesema natafuta kuolewa? Wengi wameandika ati njoo pm tuyajenge!! lkn hasemi tuyajenge manini hayo. Mwingine anasema kwa uvaaji huo wewe hufai kuwa Headmistress, utadhani hapo nilipo ni uwanja Wa shuleni!!

Halafu, kwann wanawake wenzangu mmekwazika Mimi Kuweka picha? Kwani nyinyi mnachoshindwa nn? au mnatafutwa na Serikali!! Mwanamke kujiamini kha! Picha zenyewe nakula makongoro lkn mwanaume roho juu...je nikiweka za Photoshoot au gym si ndio mtawehuka....mimi sina kipya ila ni descent lady mwenye maisha yake na ajira yake.

Mwingine anasema ati nimfate PM! haloo mm ndo nafuatwa, mm sifati wanaume...na ukija pm kuuliza nafundisha shule gani basi uandae kumregister mwanao huku.

Mnaoniomba Eid, mm kesho nashinda zangu home kuangalia series, sitembeagi ovyo jamani ee....the boss lady ni humble and loving and friendly lkn sio kwa maswali ya kipuuzi...huko n kukoswa kazi.

Nyt nyt wooote mlionikaribisha kwa mapenzi mema. Inshallah tutazidi kufahamiana zaidi.
soo good to me
 
Mbona huna maadili ya kiualimu...?? Hu behave like a Teacher haswa Mwalim mkuu, because Teaching is Noble professional @ Husna Mrembo....

Sent from my TECNO_P5_PLUS using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom