Another milestone: Klabu ya Simba SC na shirika la ndege ATCL zaingia mkataba wa udhamini kwa miaka miwili

Another milestone: Klabu ya Simba SC na shirika la ndege ATCL zaingia mkataba wa udhamini kwa miaka miwili

Mwanamaji

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
2,905
Reaction score
4,518
Klabu ya soka ya Simba ya Dar es Salaam na shirika la ndege Tanzania, ATCL zimeingia mkataba wa miaka miwili wenye thamani ya takribani milioni mianne.

Katika makubaliano hayo, Shirika la ndege ATCL litakua ndio mshirika rasmi wa klabu ya Simba katika masuala ya safari za anga za ndani na nje ya nchi.

Makubaliano hayo yamesainiwa leo hii Septemba 17, 2021 jijini Dar es Salaam ambapo upande wa Simba uliwakilishwa na mtenfsji mkuu Bi Barbara Gonzalez.

Hii ni hatua nyingine kubwa na nzuri kwa vilabu vyetu katika kuendelea kuufanya mchezo wa mpira wa miguu kuwa wa kibiashara "commercialisation of football"

Screenshot_20210917-130715_Instagram.jpg
 
Machale yamewacheza
Wameona wakiingia mkataba na Yanga, wangeliwa tu ela yao maana safari yao ya mwisho itakua iyo ya naijeria[emoji28][emoji28]hakuna anaependa kuwekeza sehemu yenye hasara!!
 
Machale yamewacheza
Wameona wakiingia mkataba na Yanga,wangeliwa tu ela yao maana safari yao ya mwisho itakua iyo ya naijeria[emoji28][emoji28]hakuna anaependa kuwekeza sehemu yenye hasara!!
Ila yanga pia wamepata kamkataba ka vist kilimanjaro and zanzibar kutoka TTB naona watakua wanavaa began

Siwapendi ila kwa maslah makubwa ya Tanzania wacha Leo niwakaushie
 
Klabu ya soka ya Simba ya Dar es Salaam na shirika la ndege Tanzania, ATCL zimeingia mkataba wa miaka miwili wenye thamani ya takribani milioni mianne.

Katika makubaliano hayo, Shirika la ndege ATCL litakua ndio mshirika rasmi wa klabu ya Simba katika masuala ya safari za anga za ndani na nje ya nchi.

Makubaliano hayo yamesainiwa leo hii Septemba 17, 2021 jijini Dar es Salaam ambapo upande wa Simba uliwakilishwa na mtenfsji mkuu Bi Barbara Gonzalez.

Hii ni hatua nyingine kubwa na nzuri kwa vilabu vyetu katika kuendelea kuufanya mchezo wa mpira wa miguu kuwa wa kibiashara "commercialisation of football"

View attachment 1941849
Simba umbumbumbu hautaisha, kwenye Azam mlipigwa parefu naona mmeibukia kwenye vipesa vya karanga. ATCL is dying horse, hawa biashara ilishawashinda.
 
Simba umbumbumbu hautaisha, kwenye Azam mlipigwa parefu naona mmeibukia kwenye vipesa vya karanga. ATCL is dying horse, hawa biashara ilishawashinda.
Mkuu, hebu tukumbushe Yanga inaenda Nigeria kwa usafiri gani vile ?
Maana umesema ATCL biashara imewashinda na wanajifia.
 
Simba umbumbumbu hautaisha, kwenye Azam mlipigwa parefu naona mmeibukia kwenye vipesa vya karanga. ATCL is dying horse, hawa biashara ilishawashinda.
Kwenye Azam ni kwamba Simba haijakubali kulinganishwa na Yanga, ndio maana Azam TV wanaonyesha baadhi ya matukio maalum tu kwa makubaliano maalum, na sio kununua haki zote za kila tukio la Simba, hadi mazoezi kama ilivyokuwa kwa Yanga, kwa muda wa miaka 10. AzamTV wakikubaliana na masharti ya Simba, mkataba utasainiwa. Kama haufahamu, huo mkataba ambao unasema Simba wamepigwa, na Yanga walikuwa nao huo huo hadi juzi walipoingia huu wa miaka 10, ila kwa Simba unaendelea kwa kuwa wa miaka 10 wameugomea
 
Nimecheka sana, eti hakuna malipo hahahah!
Hahahah hasa kwenye maswala ya uzalendo unataka ulipwe? Ulipwe na nani? Simba msimu uloisha tulifika hadi robo fainali na hakudai malipo ya "Visit Tanzania"

Wawe tu wazalendo [emoji28][emoji28]
 
ATCL Wana akili sn,wanajua Nani anastahili kufanya nao biashara.. Simba ndiyo timu pekee inayowapa uhakika wa kuwatangaza kimataifa..sisi wengine Ruti moja ya Nigeria kwisha kazi..tumemaliza Tyr kimataifa,tunachukua Tata letu mpya tunapiga Ruti za 'loko'
Ile ni ANTA siyo tata
 
Klabu ya soka ya Simba ya Dar es Salaam na shirika la ndege Tanzania, ATCL zimeingia mkataba wa miaka miwili wenye thamani ya takribani milioni mianne.

Katika makubaliano hayo, Shirika la ndege ATCL litakua ndio mshirika rasmi wa klabu ya Simba katika masuala ya safari za anga za ndani na nje ya nchi.

Makubaliano hayo yamesainiwa leo hii Septemba 17, 2021 jijini Dar es Salaam ambapo upande wa Simba uliwakilishwa na mtenfsji mkuu Bi Barbara Gonzalez.

Hii ni hatua nyingine kubwa na nzuri kwa vilabu vyetu katika kuendelea kuufanya mchezo wa mpira wa miguu kuwa wa kibiashara "commercialisation of football"

View attachment 1941849
Acha kudanganya ni safari za ndani tuu na si zanje. Soma au sikiliza watiaji wa saini
 
Kwenye Azam ni kwamba Simba haijakubali kulinganishwa na Yanga, ndio maana Azam TV wanaonyesha baadhi ya matukio maalum tu kwa makubaliano maalum, na sio kununua haki zote za kila tukio la Simba, hadi mazoezi kama ilivyokuwa kwa Yanga, kwa muda wa miaka 10. AzamTV wakikubaliana na masharti ya Simba, mkataba utasainiwa. Kama haufahamu, huo mkataba ambao unasema Simba wamepigwa, na Yanga walikuwa nao huo huo hadi juzi walipoingia huu wa miaka 10, ila kwa Simba unaendelea kwa kuwa wa miaka 10 wameugomea
Ila kuukataa ule mkataba walicheza kama pele. Future ya simba app ni nzuri na kila kitu kikiwa poa hela ipo mule.
 
Ila yanga pia wamepata kamkataba ka vist kilimanjaro and zanzibar kutoka TTB naona watakua wanavaa began

Siwapendi ila kwa maslah makubwa ya Tanzania wacha Leo niwakaushie
Visit Kilimanjaro watavaa Jumapili baada ya hapo hakuna tena labda mwakani
 
Simba umbumbumbu hautaisha, kwenye Azam mlipigwa parefu naona mmeibukia kwenye vipesa vya karanga. ATCL is dying horse, hawa biashara ilishawashinda.
Pale hakuna pesa ya moja kwa moja ambayo simba atapewa na atcl zaid ya usafir ,izo pesa za karanga kiasi na kataja nan
 
Back
Top Bottom