Another milestone: Klabu ya Simba SC na shirika la ndege ATCL zaingia mkataba wa udhamini kwa miaka miwili

Another milestone: Klabu ya Simba SC na shirika la ndege ATCL zaingia mkataba wa udhamini kwa miaka miwili

Una
Kwenye Azam ni kwamba Simba haijakubali kulinganishwa na Yanga, ndio maana Azam TV wanaonyesha baadhi ya matukio maalum tu kwa makubaliano maalum, na sio kununua haki zote za kila tukio la Simba, hadi mazoezi kama ilivyokuwa kwa Yanga, kwa muda wa miaka 10. AzamTV wakikubaliana na masharti ya Simba, mkataba utasainiwa. Kama haufahamu, huo mkataba ambao unasema Simba wamepigwa, na Yanga walikuwa nao huo huo hadi juzi walipoingia huu wa miaka 10, ila kwa Simba unaendelea kwa kuwa wa miaka 10 wameugomea
Una uhakika na unachokiongea au unarukia mambo tu unayochukua mitandaoni uko unameza mazima maxima bila kufanya utafiti wa kutosha!!!
 
Safari zote ndani na nnje ya Nchi,unabisha nini sasa,nenda kwa Shaffih Dauda kasikilize clip kaweka
Sasa unaleta habari za kanjanja dauda ndo tuamini, acha masikhara mzee watu wanatafuta followers uko kwa hali na mali ebooo
 
Safari ya Nigeria ndio inafufua shirika?
Safari ya Nigeria, Safari za ndani na nje za Simba na mengineyo ndio yanayolifanya shirika lionekane liko hai maana wanafanya kazi yao ya kusafirisha watu kwa ndege kutoka sehemu moja kwenda nyingine.

Sasa labda na wewe ututhibitishie hapa kwamba ATCL kuisafirisha YANGA kwenda Nigeria, kuisafirisha Simba ndani na nje ya nchi ndio UTHIBITISHO WA KUFA KWA SHIRIKA HILO LA NDEGE.

Karibu
 
Sasa unaleta habari za kanjanja dauda ndo tuamini, acha masikhara mzee watu wanatafuta followers uko kwa hali na mali ebooo

Wewe nae,nakwambia kasikilize clip ameweka ya tukio la ATCL na Management ya Simba walipokuwa wanaelezea aina ya Mkataba.Sasa Shaffih ana tatizo gani hapo.

Hebu kwanza jifunze matumizi ya ‘h’ siyo “uko” inaandikwa “huko”
 
Klabu ya soka ya Simba ya Dar es Salaam na shirika la ndege Tanzania, ATCL zimeingia mkataba wa miaka miwili wenye thamani ya takribani milioni mianne.

Katika makubaliano hayo, Shirika la ndege ATCL litakua ndio mshirika rasmi wa klabu ya Simba katika masuala ya safari za anga za ndani na nje ya nchi.

Makubaliano hayo yamesainiwa leo hii Septemba 17, 2021 jijini Dar es Salaam ambapo upande wa Simba uliwakilishwa na mtenfsji mkuu Bi Barbara Gonzalez.

Hii ni hatua nyingine kubwa na nzuri kwa vilabu vyetu katika kuendelea kuufanya mchezo wa mpira wa miguu kuwa wa kibiashara "commercialisation of football"

Mo Sport na Mo 29,
Mikataba yake ilisainiwa wapi?
 
Hii ni mhimu sana.Simba tunahitaji kuzifungulia dunia company kibao
Ili kurahisisha utendaji wa club
 
Simba umbumbumbu hautaisha, kwenye Azam mlipigwa parefu naona mmeibukia kwenye vipesa vya karanga. ATCL is dying horse, hawa biashara ilishawashinda.
Kesho watakaposaini na YANGA sijui utongea nini
 
DuuuView attachment 1942420
IMG-20210917-WA0037.jpg
 
Back
Top Bottom