Tetesi: Ansbert Ngurumo: Abdulrahman Kinana na Yusuf Makamba, wamejivua uanachama wa CCM

Tetesi: Ansbert Ngurumo: Abdulrahman Kinana na Yusuf Makamba, wamejivua uanachama wa CCM

Status
Not open for further replies.
On a serious note, kama hawa wazee wako safi, na kazi yao imetukuka, matatizo ya nchi yetu yamesababishwa na nani?
Sio hao wawili tu, ila kuna hawa wanaojiita vigogo, wamechangia sana kuharibu nchi yetu kwa ubinafsi wao. Acha wasambaratishane. It might bring discipline and respect, when people holding public positions
nitajie kiongozi mmoja wa ccm aliye safi.
 
Bila nakala za barua zao za kulifanya hilo inabaki kuwa maneno ya mlevi tu; hongera JPM kuonesha upande mwingine wa CCM
 
Tunahisi tu kunawaka lakini bado hatujaona Moshi wala dalili ya moto kutoka kwenye paah. Hebu Tususbiri
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom