On a serious note, kama hawa wazee wako safi, na kazi yao imetukuka, matatizo ya nchi yetu yamesababishwa na nani?
Sio hao wawili tu, ila kuna hawa wanaojiita vigogo, wamechangia sana kuharibu nchi yetu kwa ubinafsi wao. Acha wasambaratishane. It might bring discipline and respect, when people holding public positions