Ansbert Ngurumo: Bashiru aangukia pua kwa Meya Chifu Karumuna

Wewe fala unawachukia wahaya kwa sababu unapenda kujilinganisha nao . Wewe umeambiwa alieleta habari ni muhaya , waziri wa fedha ni muhaya , mkuun wa mkoa ni muhaya ? Changia mada acha ukabila na gubu . Wahaya walishasemwa mpaka watu wakachoka na hawajawahi kupendelewa na mtu yeyote ,huwa wanapambana wenyewe na bado wapo sana . Juhudi za kuwadidimiza wahaya hazijaanza leo lakini maisha yanaendelea
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni mtu mwenye akili kama za kwako tu ndiyo anaweza kusema ni uzushi. Diwani kinua mgongo chake ni ml 25 leo bado kama miezi 2 apewe pesa kama sio kwamba wananunuliwa ni mjinga gani anaweza kuunga mkono juhudi za kichaa aache ml 25 kwa miezi miwili?
Wanaowahudumia Waume kwa waume wapo hapo LUMUMBA ndo mana kila wakati mnataja ushoga.
Unakumbuka kisa cha SHAKA S.SHAKA NA SALUMU MPELEMBWE WALIOONA HUKO TANGA? SHAKA ALIKUWA KIONGOZI WA UVCCM AU TUMWAGE PICHA HAPA?
Badala ya kuhudumia mmeo anayekufadhili huko Ulaya ,umekalia kutunga na kuvurumsha uzushi kwenye mitandao ya kijamii.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hilo chama limekuwa chaka la mashoga kiranja wao Elitwegwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pamoja na kuogesha wazee ughaibuni,ila bado unyumbu haujakutoka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
aliyeleta taarifa ndio Muhaya nshomile kabisa,
Katibu Mkuu wa Chama ndio akapige magoti
ukisikia mtu anaitwa mujunwa akili zake ni za kujisifu na kujiona bora stand tu mpaka mututangazie, mbona tetemeko na magonjwa kibao hamkujisifu, mnajisifia upuuzi wa udiwani eti kaombwa akashindane na Kagasheki, mara Rwakatare, acheni majigambo jengeni stand
 
Hii ni aibu kubwa kweli kweli.Nadhani offer za namna zinahitaji watu waliokosa fikra
 
Inawezekana kushawishiwa lakini sio kwa namna ulivyoelezea... Umefanya kitu ambacho huenda kikawa cha kweli kimeonekana ni uzushi na upumbavu.
 
Duh....!

Huu utakuwa uzushi Dr Mpango aache kuhangaika na uchumi unaoyumba dunia nzima aanze kumrubuni Meya ahamie CCM?

Hizi ni siasa za kiwango cha " SIFURI"

Hizo ndio siasa za jiwe, hakuna cha msomi wala nini, anachokitaka lazima ufuate. Huyo Mpango lazima alinde tumbo lake kwanza, kisha elimu yake ndio ifuate.
 
Huyo ngurumo stress za kufua nepi za vizee zitamuwehusha


Yaani katibu Mkuu aanze kuhangaika na meya ambaye October 2020 anaenda kubwagwa

Ngurumo kaongea ukweli wa asilimia 100, hizo siasa za karne iliyopita ndio za jiwe. Atamnunua kila kiongozi wa cdm, lakini hawezi kubadilisha mitazamo ya kizazi cha sasa. Ataishia kutumia pesa za umma kwa viongozi, lakini hata akiwatununua hao viongozi, bado hawezi kupata wapiga kura wengi zaidi ya kunajisi box la kura.
 
Inawezekana kushawishiwa lakini sio kwa namna ulivyoelezea... Umefanya kitu ambacho huenda kikawa cha kweli kimeonekana ni uzushi na upumbavu.

Hizo ndio mbinu zinazotumika na wala wanaohama hawafichi hizo mbinu. Hakuna kitu kigumu kama kulazimisha kupendwa, ni sawa na umpende mwanamke asiyekupenda, atakula pesa yako na ataigiza kukupenda, lakini kiukweli atakuwa hakupendi.
 
Hizo ndio mbinu zinazotumika na wala wanaohama hawafichi hizo mbinu. Hakuna kitu kigumu kama kulazimisha kupendwa, ni sawa na umpende mwanamke asiyekupenda, atakula pesa yako na ataigiza kukupenda, lakini kiukweli atakuwa hakupendi.
Inawezekana lakini chumvi imezidi mno katika kulielezea hili hadi inafanya ionekane ni uzushi...
 
Wakati wewe unatumikishwa kwa aibu ya kujidhalilisha kwa gharama ya aibu ya elfu 7 , Bashiru Ally anampigia magoti Kalumuna
Hakuna kiongozi wa Chadema wa kupigiwa magoti na PhD .....Mpango
Lowassa hakupigiwa magoti itakuwa huyo diwani!
 
Hakuna kiongozi wa Chadema wa kupigiwa magoti na PhD .....Mpango
Lowassa hakupigiwa magoti itakuwa huyo diwani!
Hujui kitu wewe masikini , kapuku usiye mfano , tumemrekodi jiwe akimbembeleza Mnyika kuhamia ccm na muda si mrefu tunaiachia hewani , liwalo na liwe ! utaficha wapi sura yako ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…