Ansbert Ngurumo amesema kauli ya Spika wa Bunge la Tanzania, Tulia Ackson, kuwaambia vijana wa-CCM kuunyooka na kushughulika na watu wanaomsema vibaya Rais na viongozi wa CCM, haina tofauti na Panya Road ambao pia hutishia maisha ya watu kwa matendo yao.
Amesema Rais ni muajiriwa wa kwanza wa wananchi na wana haki ya kukosoa utendaji unapokuwa tofauti. ni haki ya msingi. Kutokana na utata wa kauli hiyo ameitaka serikali imuwajibishe Tulia Ackson
msikilize anavyojaribu kuona "ukuu" wa Tulia kartika video clip hii
Amesema Rais ni muajiriwa wa kwanza wa wananchi na wana haki ya kukosoa utendaji unapokuwa tofauti. ni haki ya msingi. Kutokana na utata wa kauli hiyo ameitaka serikali imuwajibishe Tulia Ackson
msikilize anavyojaribu kuona "ukuu" wa Tulia kartika video clip hii