off topic!Ngurumo alinyimwa uDC na Shujaa Maguful
Tulia hana adabu kabisaAnsbert Ngurumo amesema kauli ya Spika wa Bunge la Tanzania, Tulia Ackson, kuwaambia vijana wa-CCM kuunyooka na kushughulika na watu wanaomsema vibaya Rais na viongozi wa CCM, haina tofauti na Panya Road ambao pia hutishia maisha ya watu kwa matendo yao.
Amesema Rais ni muajiriwa wa kwanza wa wananchi na wana haki ya kukosoa utendaji unapokuwa tofauti. ni haki ya msingi. Kutokana na utata wa kauli hiyo ameitaka serikali imuwajibishe Tulia Ackson
msikilize anavyojaribu kuona "ukuu" wa Tulia kartika video clip hii
View attachment 2381391
Magufuli alikuwa shujaa wa kuua watu.ben sanane yupo wapiNgurumo alinyimwa uDC na Shujaa Maguful
Unaenda Msibani kwa Shirima?Magufuli alikuwa shujaa wa kuua watu.ben sanane yupo wapi
Ben sanane yupo wapi, Anzory gwanda yupo wapi?Unaenda Msibani kwa Shirima?
Ngurumo ni kiazi mmoja vihi asiye na akili,ameolewa ulaya kelele tuAnsbert Ngurumo amesema kauli ya Spika wa Bunge la Tanzania, Tulia Ackson, kuwaambia vijana wa-CCM kuunyooka na kushughulika na watu wanaomsema vibaya Rais na viongozi wa CCM, haina tofauti na Panya Road ambao pia hutishia maisha ya watu kwa matendo yao.
Amesema Rais ni muajiriwa wa kwanza wa wananchi na wana haki ya kukosoa utendaji unapokuwa tofauti. ni haki ya msingi. Kutokana na utata wa kauli hiyo ameitaka serikali imuwajibishe Tulia Ackson
msikilize anavyojaribu kuona "ukuu" wa Tulia kartika video clip hii
View attachment 2381391
Kawafate kuzimuBen sanane yupo wapi, Anzory gwanda yupo wapi?
Kwahiyo wameuwawa? Ungemfuata wewe bwana JOHN POMBE MAGUFULI kwanza ingependeza
" Njia pekee ambayo wananchi wanatakiwa kuitumia katika kuzungumza au kujadiliana na watawala wao ambao ni madikteta ili kufikia muafaka wenye maslahi kwa pande zote mbili ni kwa KUPITIA MTUTU WA BUNDUKI". By Jeffs O'BrienAnsbert Ngurumo amesema kauli ya Spika wa Bunge la Tanzania, Tulia Ackson, kuwaambia vijana wa-CCM kuunyooka na kushughulika na watu wanaomsema vibaya Rais na viongozi wa CCM, haina tofauti na Panya Road ambao pia hutishia maisha ya watu kwa matendo yao.
Amesema Rais ni muajiriwa wa kwanza wa wananchi na wana haki ya kukosoa utendaji unapokuwa tofauti. ni haki ya msingi. Kutokana na utata wa kauli hiyo ameitaka serikali imuwajibishe Tulia Ackson
msikilize anavyojaribu kuona "ukuu" wa Tulia kartika video clip hii
View attachment 2381391
NCHI INA MKOSI WA VIONGOZIAnsbert Ngurumo amesema kauli ya Spika wa Bunge la Tanzania, Tulia Ackson, kuwaambia vijana wa-CCM kuunyooka na kushughulika na watu wanaomsema vibaya Rais na viongozi wa CCM, haina tofauti na Panya Road ambao pia hutishia maisha ya watu kwa matendo yao.
Amesema Rais ni muajiriwa wa kwanza wa wananchi na wana haki ya kukosoa utendaji unapokuwa tofauti. ni haki ya msingi. Kutokana na utata wa kauli hiyo ameitaka serikali imuwajibishe Tulia Ackson
msikilize anavyojaribu kuona "ukuu" wa Tulia kartika video clip hii
View attachment 2381391
Wewe Ulipewa?Ngurumo alinyimwa uDC na Shujaa Maguful
Sure haya ya Congo, Sudan nayabariki sana. madikiteita sauti watakaypoisikia ni" Njia pekee ambayo wananchi wanatakiwa kuitumia katika kuzungumza au kujadiliana na watawala wao ambao ni madikteta ili kufikia muafaka wenye maslahi kwa pande zote mbili ni kwa KUPITIA MTUTU WA BUNDUKI". By Jeffs O'Brien