Mkazamoyo
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 1,495
- 2,543
Wakuu habari za jioni na natumai tunaendelea na maombolezo ya kitaifa.
Hili jamvi naamini ni jungu kuu halikosi ukoko kwa yyte anayejua app ya kuzuia hacking au kujua km cm yako imekuwa hacked anisaidie niitafute. Nahisi whatsapp yangu imekuwa hacked
Chief mkwawa na wengine mje mtoe msaada huku.
Hili jamvi naamini ni jungu kuu halikosi ukoko kwa yyte anayejua app ya kuzuia hacking au kujua km cm yako imekuwa hacked anisaidie niitafute. Nahisi whatsapp yangu imekuwa hacked
Chief mkwawa na wengine mje mtoe msaada huku.