Anthony Blinken:kwa Nini Democrat hawajawaza kumpa u President

Anthony Blinken:kwa Nini Democrat hawajawaza kumpa u President

uhurumoja

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2014
Posts
9,616
Reaction score
22,521
Sio mjuzi sana wa masuala ya kimataifa ila jamaa anapiga kazi sana hasa kwenye suala la mgogoro wa Gaza nadhani angefaa kupewa urais ili aendelee kufanya hiki anachofanya badala yake kapewa nafasi Kamala (ambae sio mbaya ila Kila saa ye anacheka)sidhani kama ataweza mikiki kuelekea mgogoro wa Iran Lebanon na Gaza .
 
Sio mjuzi sana wa masuala ya kimataifa ila jamaa anapiga kazi sana hasa kwenye suala la mgogoro wa Gaza nadhani angefaa kupewa urais ili aendelee kufanya hiki anachofanya badala yake kapewa nafasi Kamala (ambae sio mbaya ila Kila saa ye anacheka)sidhani kama ataweza mikiki kuelekea mgogoro wa Iran Lebanon na Gaza .

Huyo ni mhuni tu kama kama wale wengine.

Kumbuka, wahuni si watu wazuri!
 
Huyo ni mhuni tu kama kama wale wengine.

Kumbuka, wahuni si watu wazuri!
Angekuwa kuhuni asingefika hapo alipo, tofauti na sisi wenzetu wana consider vitu vingi kabla hawajakuweka hapo
hata uwe bora vipi kuna mambo wanaangalia
 
Angekuwa kuhuni asingefika hapo alipo, tofauti na sisi wenzetu wana consider vitu vingi kabla hawajakuweka hapo
hata uwe bora vipi kuna mambo wanaangalia

Ni ajabu wahuni kuukwaa uwaziri?

Waulize wapalestina watakupa mrejesho.
 
Sio mjuzi sana wa masuala ya kimataifa ila jamaa anapiga kazi sana hasa kwenye suala la mgogoro wa Gaza nadhani angefaa kupewa urais ili aendelee kufanya hiki anachofanya badala yake kapewa nafasi Kamala (ambae sio mbaya ila Kila saa ye anacheka)sidhani kama ataweza mikiki kuelekea mgogoro wa Iran Lebanon na Gaza .
Mara zote waziri wa mambo ya nje wa marekani ni brain za cia endelea kupiga siasa Tz wenzetu wapo dunia ya 100000 ndio maana unaona anapiga kazi sana
 
Huyo ni mhuni tu kama kama wale wengine.

Kumbuka, wahuni si watu wazuri!
Muhuni kama wale wengine kina nani!? Na uhuni wake ni upi binafsi naona anawajibika sana kuhakikisha mgogoro wa mashariki ya kati unaisha (ceasefire)
 
Mara zote waziri wa mambo ya nje wa marekani ni brain za cia endelea kupiga siasa Tz wenzetu wapo dunia ya 100000 ndio maana unaona anapiga kazi sana
Ni kwanini huwa hawapewi u rais kwa sehemu kubwa hawajawahi kupewa kuongoza nchi Hawa brain wa CIA kuanzia kule kwa Powel hadi Sasa kwa Blinken
 
Sio mjuzi sana wa masuala ya kimataifa ila jamaa anapiga kazi sana hasa kwenye suala la mgogoro wa Gaza nadhani angefaa kupewa urais ili aendelee kufanya hiki anachofanya badala yake kapewa nafasi Kamala (ambae sio mbaya ila Kila saa ye anacheka)sidhani kama ataweza mikiki kuelekea mgogoro wa Iran Lebanon na Gaza .
Kwani kazi kuu ya kiongozi mkuu wa marekani ni kusimamia vita ya GAZA??
 
Angekuwa kuhuni asingefika hapo alipo, tofauti na sisi wenzetu wana consider vitu vingi kabla hawajakuweka hapo
hata uwe bora vipi kuna mambo wanaangalia
Hata kazi yake na namna anavyopokelewa haioneshi uhuni jamaa diplomasia
 
Kwani kazi kuu ya kiongozi mkuu wa marekani ni kusimamia vita ya GAZA??
Hapana ila wengi wa wamerakanj wanaonesha Rais ajae lazima aoneshe namna atakavyo deal na mgogoro wa Iran na middle east pia namna atakavyoshusha gharama za maisha kwa namna hiyo naona blinken anafaa
 
Muhuni kama wale wengine kina nani!? Na uhuni wake ni upi binafsi naona anawajibika sana kuhakikisha mgogoro wa mashariki ya kati unaisha (ceasefire)

Kusema ceasefire na kutaka ceasefire ni mambo mawili tofauti.

Huyo ndugu kama kwetu ujue ni wale wasiojulikana wakipambana na kina sativa, Ben, Lijenje au Azory.

Kikwetu kwetu hai ni wahuni tu.
 
Hapana ila wengi wa wamerakanj wanaonesha Rais ajae lazima aoneshe namna atakavyo deal na mgogoro wa Iran na middle east pia namna atakavyoshusha gharama za maisha kwa namna hiyo naona blinken anafaa
Hapo ndio umesema kushusha gharama za maisha za wamarekani lkn kuhusu migogoro ya middle east ipo tu tangia mpaka sasa hivyo sioni kama mwana mama kamala akishindwa au akiachwa atawajibishwa na wamarekani otherwise wana interest nayo hiyo migogogoro
 
Hapo ndio umesema kushusha gharama za maisha za wamarekani lkn kuhusu migogoro ya middle east ipo tu tangia mpaka sasa hivyo sioni kama mwana mama kamala akishindwa au akiachwa atawajibishwa na wamarekani otherwise wana interest nayo hiyo migogogoro
Migogoro Wana interest nayo sana kwao ni uwekezaji kwenye overseas territories
 
Kusema ceasefire na kutaka ceasefire ni mambo mawili tofauti.

Huyo ndugu kama kwetu ujue ni wale wasiojulikana wakipambana na kina sativa, Ben, Lijenje au Azory.

Kikwetu kwetu hai ni wahuni tu.
Anyway ngoja tuone kama democrat watatetea kiti wakiwa na Kamala
 
Sio mjuzi sana wa masuala ya kimataifa ila jamaa anapiga kazi sana hasa kwenye suala la mgogoro wa Gaza nadhani angefaa kupewa urais ili aendelee kufanya hiki anachofanya badala yake kapewa nafasi Kamala (ambae sio mbaya ila Kila saa ye anacheka)sidhani kama ataweza mikiki kuelekea mgogoro wa Iran Lebanon na Gaza .
Mpaka sasa kashindwa kutatua mzozo wa Gaza sana Sana kageuka msemaji wa Netanyau.
 
Migogoro Wana interest nayo sana kwao ni uwekezaji kwenye overseas territories
Unawekeza kwenye nchi yenyewe ina vita upate nini?? Human resources unatoa wapi si bora hata waje wawekeze huku Tz japo mama anawapenda waarabu katoa sandakalawe babdari na ngorongoro
 
Unawekeza kwenye nchi yenyewe ina vita upate nini?? Human resources unatoa wapi si bora hata waje wawekeze huku Tz japo mama anawapenda waarabu katoa sandakalawe babdari na ngorongoro
Wanauza siraha na kupata tenda za ulinzi na kuonesha Ile military supremacy
Mama anatuongoza vema sana namuombea mingine 5 hatutaki mingi mitano TU tuijenge nchi
 
Back
Top Bottom