uhurumoja
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 9,616
- 22,521
- Thread starter
- #21
Ule mgogoro umekaa kiwaki sana ukishika huyu mwingine anarusha ngumiMpaka sasa kashindwa kutatua mzozo wa Gaza sana Sana kageuka msemaji wa Netanyau.
Nasikia baada ya uchaguzi wa Nov wa bunge la Israel basi mgogoro utapotea automatically