Anthony Diallo alipata nini kwa kutumia Star Tv kupotosha jamii wakati wa Uchaguzi Mkuu 2015?

Anthony Diallo alipata nini kwa kutumia Star Tv kupotosha jamii wakati wa Uchaguzi Mkuu 2015?

Perspectives mkuu!

Mtu kama Diallo:
Elimu: PhD (Ulaya)
Ujasiliamali (Founder,CEO and CFO): Media (TV,Radio), Airline etc
Siasa: Ubunge (10yrs+); Uwaziri, Mwenyekiti CCM Mkoa etc

Huyu Mzee ana mafanikio kielimu, kiuchumi, kijamii na kisiasa. Leo hii uhitimishe ati ana shida kama mnyonge mwingine...dah!

I just rest my case!

Keep on fighting my nursery school English.

Wishing you happy ending.
Utakuwa mjinga sana basi
 
Back
Top Bottom