Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #81
Kamanda uko wapi ?wapiga dili wanahela na wanakula good time kuliko lumumba yote. Wapiga dili wana akili na hela zao sasa hivi zinapiga biashara china nchi jirani. Wala kodi zenu hawazijui. Mnau uchumi kwa akili za magazeti ya mwanaspoti na watanzania.
Vipi bado unaamini katika andiko lako ?Tungejitahidi kuelekeza akili na nguvu zetu ktk kujenga nchi pia kutafuta maendeleo BINAFSI, mbona uchaguzi umeshapita aliyepata kapata ,tukiendelea kuhoji nani kapata nini ,tutaishia kupata MAONO,hatimaye tutaenda KUTUNZWA NA MAKAKA WAZOEFU WA KISONGO!
Hili liwe fundisho kwa kanda yote ya ziwa na viherehere wengine , kwamba siku zote shetani hajawahi kuwa na rafiki .Malipo ameyapata leo, hatakaa arudie tena.
Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana !Anavuna alichokipanda kwa kuwadanganya watz kuwa kwenye pushup ikijaza nyomi kumbe ni nyomi hewa ya graphics kuwahadaa watz. na external election observers kuwa pushups zinakubalika kumbe was hola.
Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana ! Hili la Diallo liwe fundisho kwa watu wengine kwamba Mungu hataniwi hata mara moja .Anaisoma namba kama machinga wa Mwanza.
is he still happy boss??? and which resources will he use while in a fortnight to come he will be declared bankrupt for the 4B due???Unfortunately , Diallo doesn't feel that. As we chat here, Diallo is happy, relaxed and highly motivated to use his structures to support CCM come 2020.
Take it or leave it.
mkuu uliona mbali sana..... na waisome namba tu alianza nape akaja diallo bado mwigulu na january list ikamilike wanafki wote wataumbuka tu mwisho wa sikuHuyu jamaa ni mwanaccm kama walivyo matajiri wengi wa nchi hii , anamiliki kituo cha TV kama alivyo mwanaccm mwenzake Reginald Mengi .
Sasa cha kushangaza huyu aliamua kukiuka maadili ya utangazaji , kwa kuamua kuwanyima coverage wagombea wengine na kuwapromote wagombea wa ccm tu , na nina hakika kama tungekuwa kwenye nchi zenye kufuata sheria , vyombo vyake vya habari vingekuwa historia.
Nimebaki najiuliza hivi kwa mtu mzima kama huyu kuamua kupotosha umma kwamba ni ccm pekee inayoweza kuleta maendeleo kwa nchi hii , HUKU AKIJUA KWAMBA SIYO KWELI ( maana uko ushahidi wa wazi kwamba wameshindwa kwa karibu miaka 60 , hivyo hawataweza kwa miaka mitano ) , ALILENGA KUPATA NINI ?
Ikumbukwe kwamba kwa watu wa kanda ya ziwa kuangalia STARTV ni kama ibada , hivyo kuitumia kwa malengo ya kupotosha ni hatari sana !
Katika list yako kuna mmoja alihujumu JF wakati wa uchaguzi .mkuu uliona mbali sana..... na waisome namba tu alianza nape akaja diallo bado mwigulu na january list ikamilike wanafki wote wataumbuka tu mwisho wa siku
Wote tunamjua na alihangaika sana kutengeneza mafuriko hewa kma kule musoma mjini aliwasomba kutoka visiwani ili waje kule mkendo kumsikiliza mgombea wao mwisho wa siku hata usafiri wa kurudi hawakuwapa!!!!!Katika list yako kuna mmoja alihujumu JF wakati wa uchaguzi .
Faida ndiyo hiyo kukomoana na dua la upinzani limempata vyemaHuyu jamaa ni mwanaccm kama walivyo matajiri wengi wa nchi hii , anamiliki kituo cha TV kama alivyo mwanaccm mwenzake Reginald Mengi .
Sasa cha kushangaza huyu aliamua kukiuka maadili ya utangazaji , kwa kuamua kuwanyima coverage wagombea wengine na kuwapromote wagombea wa ccm tu , na nina hakika kama tungekuwa kwenye nchi zenye kufuata sheria , vyombo vyake vya habari vingekuwa historia.
Nimebaki najiuliza hivi kwa mtu mzima kama huyu kuamua kupotosha umma kwamba ni ccm pekee inayoweza kuleta maendeleo kwa nchi hii , HUKU AKIJUA KWAMBA SIYO KWELI ( maana uko ushahidi wa wazi kwamba wameshindwa kwa karibu miaka 60 , hivyo hawataweza kwa miaka mitano ) , ALILENGA KUPATA NINI ?
Ikumbukwe kwamba kwa watu wa kanda ya ziwa kuangalia STARTV ni kama ibada , hivyo kuitumia kwa malengo ya kupotosha ni hatari sana !
Faida? Ameliokoa taifa hili kuingia majanga ya kutawaliwa na Fisadi Lowassa. Kwani unaona kapata hasara gani wewe?Aliyeturoga watanzania ameshafariki....hivyo tusubiri huruma ya mungu
Sent from Microsoft Lumia 950xl Lte
Mtafute diallo sasa hivi umuulize hilo swali.Nafikiri Diallo atakuwa mwenye furaha iliyopea maana mgombea wake ndiye aliyeibuka mshindi. Haiyumkini hiyo ni faida (ROI) ya kujivunia.
Mama mbavu zangu !!!!!Mtafute diallo sasa hivi umuulize hilo swali.
Pelekea ma box wenzako haya Maneno.Unfortunately , Diallo doesn't feel that. As we chat here, Diallo is happy, relaxed and highly motivated to use his structures to support CCM come 2020.
Take it or leave it.