Anthony Joshua afanikiwa kumtwanga Wladimir Klitschko katika pambano la uzito wa juu

Wladimir Klitschko mapambano yake ya nyumbani huwa anapigania Ujerumani, na pambano la mwisho kabla ya jana alipigwa na Tyson 'Gypsy King' Fury huko huko Ujerumani. Wladimir kashaisha, mtu kapigwa kwa TKO mtu unaleta ushabiki.
[emoji1] Muda wa Wladimir umeisha.....watu hawataki mabadiliko
 
Ni kawaida kwa dunia ya sasa usipende kukalili kwamba ubora wa kina tyson utaendelea kuonekana... the same kwa football huwez pata level za kina gaucho kwa sasa....
 
Haya tunayaongea kwa sababu tuko nje ya ring ile round si ndo klitschko alilamba sakafu ujue na yy pumz ilikata ko alikuwa anavuta pumzi... Mm nadhana AJ atakuwa kajifunza kitu na kapata uzoefu wa kutosha kabisa kwamba next time anakutana na mtu ka WK anajipangaje...
 
Sisi wabongo banah yule tyson tunayemwona alikuwa bonge la fighter anamuelewa AJ ww huku hata kwenye ring hujawahi ingia na wala hujasomea maswala ya kimechezo hasa wa ndon leo unakuja kusema AJ si lolote [emoji23][emoji23]
 
Anthony Joshua wanted to represent at the 2012 Olympics but was turned down by a coach in Abuja. He went on to win gold for England.
 
AJ akishinda huwa anasema hivyo au?
 
Duuh
 
Mayweather mashine nyingine ile.
 
Naona sasa mnaanza kuBwabwaja kama vibibi viuza ugoro... You dont know what happens in the ring..

Give credit and shut.

AJ is unbeatable.
Ni kweli AJ is currently undefeated, but has a lot to learn in this business, if Klitschko was brave enough to come out fully in the 5,6 &7th round he could won the fight. Don't tell me I don't know what happens in the ring while I have been watching the game for more than half my life time!! So shut up!!!!
 
Deontay “the bronze bomber” wilder vs anthony joshua “AJ” ,nadhani hili pambano litakuwa ni gharika,binafsi nampa alama za ushindi deontay wilder
 
Deontay “the bronze bomber” wilder vs anthony joshua “AJ” ,nadhani hili pambano litakuwa ni gharika,binafsi nampa alama za ushindi deontay wilder
I think this unification bout should be scheduled after 2 years so that to allow AJ to mature into a competitive boxer! Earlier than that it is going to be catastrophy to the Briton!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…