Saa tano usiku kwa majira ya bongogame saa ngapi wakuu?
Muabarishe na mwenzio usikose[/QUOTE shukrani sana kiongozi nko mubashara tiyari
Walisema sa 2 mkuuNadhani hawakudanganya kwa vile matangazo yao yameanza kwa mapambano yanayotangulia pambano lenyewe. Tuwapongeze tu
Vizuri wakianza wahusika tuambizane@moderators @mods kwenye kichwa cha thread andikeni live updates. Nawaletea matangazo haya moja kwa moja (mubashara) toka uwanjani
Mpwa naona tv1 kama wanaonyeshaDah Sijui nani ataonyesha huu mtanange
Nafikiri haya yanayoendelea ni utangulizi tu....Game yenyewe sa tanoMbna amna kitu matangazo tu
Updates utapata usijali mkuutupeane updates jamani yameanza mapambano ya utangulizi?
agh sina TV1Elli pitia huku
Kwa mbali nasinzia pambano sijui kama ntaangalia