Anthony Lusekelo: Tuache nchi ipumue, watu waongee

Inategemea unataka wananchi waongee nini .wengine hawajui wanaongea nini na wakati gani.hatuna mifumo ya kuwadhibiti waharifu .tukiwaachia uhuru wa kuropoka tu tutakuwa kama kenya,ukraine ,amerika na kwengineko ambako kama vile america anapigwa risari hadharani.unamchagua mjinga mmoja kama zelensky kuwa raisi.siyo kila kitu tuige kwa mataifa yanayojiita yamestarabika.eg USA ni nchi pekee duniani inasifika kwa kuua marais wakiwa madarakani .
 
Wewe chawa na Nape nani anaijua CCM?
 
Ukweli Hali hii ni Mbaya:
1:Wakosefu wapo ,Sheria zipo, taratibu zipo, vyombo vipo kwanini mtu atekwe apotezwe?
2:Akamatwe Kwa Taratibu na kanuni, Sheria ifuate Mkondo ashtakiwe ahukumiwe apate funzo, anauawa atajifunza nini Sasa?
3:Mtu huyu anawazazi, Watoto,ndugu,anategemewa, hao wategemezi hatima Yao nini Sasa?
4:Hivi makosa ya vijana Hawa yanastahili kuuawa kweli? Hakuna hukumu nyingine inawafaa?
5:Hivi Hawa vijana ni tishio kiasi Gani mpka adhabu Yao iwe kutekwa na kupotezwa? Wanataka kupindua nchi? Wanataka kuleta Magaidi? Mbona adhabu hii kubwa sana? Hata makaburi Yao yasionekane?
6:Nahofia siku watu Hawa wataota usugu, watasema liwalo na liwe,watajihami,watajenga visasi,chuki, hasira nk,itatokea nini?
Natamani kabisa turudi kwenye Tanzania yetu ya Amani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…