Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inategemea unataka wananchi waongee nini .wengine hawajui wanaongea nini na wakati gani.hatuna mifumo ya kuwadhibiti waharifu .tukiwaachia uhuru wa kuropoka tu tutakuwa kama kenya,ukraine ,amerika na kwengineko ambako kama vile america anapigwa risari hadharani.unamchagua mjinga mmoja kama zelensky kuwa raisi.siyo kila kitu tuige kwa mataifa yanayojiita yamestarabika.eg USA ni nchi pekee duniani inasifika kwa kuua marais wakiwa madarakani ."Kwanini watu wanapotea potea mnaiibua jambo la mganga… Unajua kunakuhamisha upepo watu wachanganyikiwe… "
"Tuache nchi ipumue, watu waongee" amesema Mchungaji Anthony Lusekelo akizungumza tarehe 04 Septemba 2024 na wanahabari kuhusu masuala ya watu mbalimbali kupotea katika siku za hivi karibuni.
View attachment 3087472
- Anthony Lusekelo: Mtu amechana tu picha ya Rais, ametekwa
-
Wewe chawa na Nape nani anaijua CCM?Ulishawahi sikia kwenye mkutano kiongozi mkuu akisema mwaka huu tumeiba kura, zaidi ya wale wenye mihemko kama wa ngorongoro. wapinzani ndio wametujaza ujinga kuwa CCM ni wezi wa kura. Mkuu huo ni uongo ulioshikwa na wapinzani, uongo ukinenwa sana huonekana ni ukweli.Lete ushahidi kama ni kweli CCM ni wezi wa kura
tena hata kwa Masaa 24Akikaa vibaya kanisa lake litafungwa
Anayo maajabu gani huyu Mzee?Labda hujaijua nguvu iliyojificha ya MZEE WA UPAKO.
huyu sio mwenzetu
Ukweli Hali hii ni Mbaya:Kifupi wanaopotezwa hawana madhara yeyote kwa Taifa, tunatumia nguvu kuubwa Kwa issue ndogo ndogo sana ambazo kudeal nazo unahitaji akili tu.
Hii tabia tukiizoe sana itakwenda mbali sana na kuleta madhara makubwa sana ambayo kuyaondoa itakuwa gharama kubwa sana.
Wahusika wa utekaji wanapaswa kujua wao ndio wanakwenda kuwa hatari kwenye usalama wa nchi, maana kupitia tabia hii tunaweza kuzusha mengine makubwa yanayoweza kuleta madhara makubwa sana.
Kuna siku watekwaji nao watachoka na kuamua kujilinda either kwa kuwalinda targets, au na wao kulipa kisasi.