Mkuu at least tu appreaciate hao wanaotoa mbele ya camera kuliko wale wabinafsi wasiotoa kabisa. Pengine akionekana huyu kwenye media wengine wanaweza kujifunza na kusaidia wengine.Natamani siku moja tupate jamii ya watanzania wanaotoa misaada hasa kwa watoto yatima bila kujitangaza!
Unapotoa msaada ukiwa na makamera hakika tunashindwa kujua lengo la msaada ni
1. Kupaa kisiasa au kisifa
2. Kusaidia kweli wenye mahitaji
Wachawi wawili wakiongozana, hapo bado mchawi ndugayi, Musiba, sabaya, Bashite, mambosas,Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini Mh Anthony Mavunde akiongozana na Sheikh wa Mkoa wa Dodoma Alhaj Mustafa Rajabu Shaban leo amekutana na walimu...
Mkuu at least tu appreaciate hao wanaotoa mbele ya camera kuliko wale wabinafsi wasiotoa kabisa. Pengine akionekana huyu kwenye media wengine wanaweza kujifunza na kusaidia wengine.
Lengo ni wahitaji wapate msaada
Huyu alijitahidi sana kick but Jiwe akampotezeaWachawi wawili wakiongozana, hapo bado mchawi ndugayi, Musiba, sabaya, Bashite, mambosas,
Msaada wa matangazo?kuna wengi wanaotoa misaada kimya kimyaMkuu at least tu appreaciate hao wanaotoa mbele ya camera kuliko wale wabinafsi wasiotoa kabisa. Pengine akionekana huyu kwenye media wengine wanaweza kujifunza na kusaidia wengine.
Lengo ni wahitaji wapate msaada
Binafsi Yatima na Wafungwa natamani kuwa nawatembelea kila mwezi, hiyo jamii inapitia magumu sana, kama unakauwezo ka kubadilisha mboga, watembelee hao watu utabarikiwa sanaNatamani siku moja tupate jamii ya watanzania wanaotoa misaada hasa kwa watoto yatima bila kujitangaza!
Unapotoa msaada ukiwa na makamera hakika tunashindwa kujua lengo la msaada ni
1. Kupaa kisiasa au kisifa
2. Kusaidia kweli wenye mahitaji
Hii picha inaonesha kabisa wamekwenda kutafuta umaarufuNatamani siku moja tupate jamii ya watanzania wanaotoa misaada hasa kwa watoto yatima bila kujitangaza!
Unapotoa msaada ukiwa na makamera hakika tunashindwa kujua lengo la msaada ni
1. Kupaa kisiasa au kisifa
2. Kusaidia kweli wenye mahitaji
Kwa uchawi Ndugai ndio Headmaster wao.Wachawi wawili wakiongozana, hapo bado mchawi ndugayi, Musiba, sabaya, Bashite, mambosas,
Potelea mbali mkuu. kuliko wasiotoa chochote na bado wanapata mileageLengo ni kupata milage ya kisiasa wala sio kutoa msaada