Kweli haya ni mawazo mazuri sani watu mmeanzisha topic kama hizi naamini kuna wengine mna uelewa mkubwa na masuala ya umeme nimefuatilia kwa karibu juu ya hii program ya EWURA ya wafuaji wadogo wadogo wa umeme na kuna bei wameziainisha pale kwa mfano
The proposed Tariff for the year 2011 for the sale of electricity to the Main
Grid in Tanzania
1 megawatt is 1000 kilowatts, and there are 31 x 24 = 744 hours in a month and 1 hr =60X60 sec, so in a month (31 days) we would get (1000X24X31)KWh=744 X103 KWH
That means in a month you obtain 744000kwh X 134.92=100380480.00000TSH/PER MONTH SO THE PROFIT DEPENDS ON YOUR MONTHLY OPERATIONS
Dry Season (August to November) 134.92 TZS/kWh
Wet Season (January to July, and December)101.19 TZS/kWh
Je hizi KWh ngapi ni MW 1?
mfano mtu ana windmill ya MW 1 na anataka kuuza TANESCO je kwa mwezi anaweza kukusanya kiasi gani maana yake pia windmill iko complicated sana na hasa kwenye servises zake nasikia aghali na inahitaji utalaamu
na je kwa maisha ya sasa hii 101.19 TZS/kWh ni sawa au ni bora kufua umeme na kuwauzia kijiji fulani