1.Fanya mazoezi angalau 30 minutes kila siku
2. Asubuhi kunywa maji yaliyowekewa ndimu 1 au nusu ndimu
3. Acha matumizi ya vilevi
5. Jitahidi upate unyumba angalau 4 times a week kwa mkeo
6. Hakikisha chakula cha usiku unakula masaa mawili kabla ya kulala
7. Jitahid kunywa juice ya ubuyu hata mara 2 kwa week (unaweza ukanunua unga wa ubuyu ukawa unauchanganya na maji)
8. Kunywa green tea au matcha au walau mara 3 kwa week
9. Kula matunda na mboga za majani kila siku
10. Chukua manjano (unga wa bizari) changanya kwenye maziwa wekea asali uwe unakunywa walau mara 2 kwa week.
11. Ni muhimu kwa mwanadamu kunywa dawa ya kuharisha walau mara 2 kwa mwaka ili kutoa sumu mwilini, kusafisha damu.
12. Juice ya carrot nayo ni nzuri kusafisha ngozi.
GREEN TEA ni anti wrinkle nzuri dunia nzima, unga wake unaitwa MATCHA, icheck google health benefits zake, yani inasaidia sana ngozi kutakata, kuondoa stress, kupunguza bad cholestrol etc
mpigie 0672557221 anauza Matcha hapa bongo.