plock
JF-Expert Member
- May 20, 2016
- 446
- 474
Naomba mnisaidie nifanyaje mafua yapone kila siku yapo na mimi na kuziba kwa pua mpaka kichwa kinauma.
Nimeenda hospital mwaka 2013 nikamwona ENT specialist akaniambia niache kunywa maziwa ya ngombe na fresh tomato nimeacha bado tatizo lipo palepale.
Mwaka huu nikaenda hospital tena nyingine wakapima allerg test kwa kifaa kingine wakaona sina allerg. Mwenye uelewa na tatizo hili anisaidie
Nimeenda hospital mwaka 2013 nikamwona ENT specialist akaniambia niache kunywa maziwa ya ngombe na fresh tomato nimeacha bado tatizo lipo palepale.
Mwaka huu nikaenda hospital tena nyingine wakapima allerg test kwa kifaa kingine wakaona sina allerg. Mwenye uelewa na tatizo hili anisaidie