Antibiotiki Azuma

Salamu Azuma, umejaa tiba,
Uponyaji u nawe.
Umebarikiwa kuliko dawa zote,
na mgunduzi, wa formula yako, amebarikiwa.
Azuma antibiotiki, Mtibu wa magonjwa,
utuponye sisi wagonjwa
sasa na saa ya kuugua kwetu.
Amina.
Inatibu nini?
 
Kazi mnayo wazinzi 😹😹
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…