Mukulu wa Bakulu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 4,051
- 12,954
Phentermine ipo bongoWenye vitambi mnaweza kusoma hii list ya vidonge vinavyoweza kusaidia kupunguza kitambi.
Hizi dawa zimethibitishwa na serikali ya Marekani, sijajua kama Bongo zinapatikana.
Chanzo ni.
https://consultqd.clevelandclinic.o...ft-in-thinking/amp/?__twitter_impression=trueView attachment 706339
Mm nilinunua heko famasi kko ....Mkuu kiongozi inapatikana kwenye pharmacy gani kwa bongo????
Kwa mtu mwenye polycystic anapaswa kupinguza uzito/unene ikiwa n moja ya tiba basi anameza pia hizo dawa ama metforminKwa bongo sasa lama zinapatikana wapi na zilitengenezwa kwa madhumuni gani
Metfomin si inatibu kisukari inatibu na unene pia??Kwa mtu mwenye polycystic anapaswa kupinguza uzito/unene ikiwa n moja ya tiba basi anameza pia hizo dawa ama metformin
Narudia watu wanawake wenye pcos hupew metfomin kama kaover weight ili apunguze sukar na insulin ifanye kazi ,, huku akifanya diet pia ,,Metfomin si inatibu kisukari inatibu na unene pia??
Hazina madhara Mkuu.nataka nipungue jomoniKwa mtu mwenye polycystic anapaswa kupinguza uzito/unene ikiwa n moja ya tiba basi anameza pia hizo dawa ama metformin
Hapana ila ukitaka kupungua fasta (mimi nilipunguza 10kgs kwa mwez mmoja )acha kabisa sukari na vyakula vya wanga ,,acha vyakula vya viwandan na mafuta haya mf. korie ,, ukiwa na hamu na ugali tumia dona,,wali tumia brown rice,, acha matunda yenye sukari kazi ,,kuzuia njaa unawez tumia karanga,almond n.kHazina madhara Mkuu.nataka nipungue jomoni
Kuacha kula siwezi kabisa mkuuHapana ila ukitaka kupungua fasta (mimi nilipunguza 10kgs kwa mwez mmoja )acha kabisa sukari na vyakula vya wanga ,,acha vyakula vya viwandan na mafuta haya mf. korie ,, ukiwa na hamu na ugali tumia dona,,wali tumia brown rice,, acha matunda yenye sukari kazi ,,kuzuia njaa unawez tumia karanga,almond n.k
Diet inafanya kazi haraka sana kuliko dawa na mazoezi
Kula mlo kwa mpangilio sio kuacha kula kabisa jizoeshe utaona utapata shida kwa siku 3-4 za mwanzo baada ya hapo utajiona uko sawa kabisaKuacha kula siwezi kabisa mkuu
Mkuu uliponunua hawakukuuliza maswali vipi side effect zake zipoje maana naona watu wanatishana kweliMm nilinunua heko famasi kko ....
Eti uache kula.unawezaje etiDah yani kupunguza uzito ni janga maana kuacha kula au kujicontrol kula sio kama wadau wanavyotiririka kwa maandishi.. ni ngumu sana.
Au kufanya mazoezi kama huna mazoea ni ngum kweli..
Sasa ngoja mtaalam nipige shule baada ya miaka 10 Mungu akijaalia ntawaletea solution ya dawa