Antivirus MixTape: Sugu awachana Clouds FM

lol, sasa hujaelewa nini? Wewe sema tu kwa mdomo mpana kwamba hukubaliani na maoni yangu. Inaruhusiwa!

Ingekuwa 'maoni' pengine ningeelewa...lakini niliamini unatoa 'hoja'!
 
Unaigeuza scenario ki-chademachadema hilo ndio tatizo lako.
Unaweza ku substantiate unayosema au kwa vile kumbukumbu kichwani zinakuambia Luteni ni Chadema, NO, the problem unataka kulazimisha unavyotaka wewe iwe wakati sheria haziendi hivyo, tumekuuliza atashitakiwa kwa sheria ipi ukasema sheria ya katiba, ukasema tena unataka atiwe hatiani ili asigombee ubunge basi tumekuelewa tusubiri mahakama ya katiba imutie Sugu hatiani, Best wishes.
 
Kila mtu ana uhuru wa kutangaza nia, lakini ubunge wa mtangaza nia huyu, nope....sorry, kwa mtazamo wangu.....ina wezekana ana nia kabisa ya kututumikia, bado sijamkubali...next kijana please!
 
Wapi nimesema Luteni ni Chadema?

Kwa kurukupuka kwake Sugu anaweza kuwa sued kwa kesi ya madai na jinai vilevile.

1. Madai kwa ku-tarnish image ya business entity kwa kuleta madai yanayoweza kuathiri mwenendo wa kibiashara wa entity ile.

2. Jinai kwa kutukania watu matusi ya nguoni, kuwasingizia ushoga, kuwasingizia kuwa na maradhi yasiyo na tiba na pia madai ya mauaji kwa kuambukiza maradhi yasiyo na tiba.

3. Jinai kwa kutishia kuwaingia watu maungoni na kuwadhuru.


Sasa kama atakuwa guilty au la, hiyo ni kazi ya mahakama na wataalamu wa sheria ku-determine. Sio mimi, Chadema au wewe.

Nitarejea tena kwenye thread hii pale kutakapokuwa na maendeleo zaidi kwa maana ya input, la zaidi hapa naona hamna maana there is NO FURTHER INPUT.
 
chadema ikimsimamisha mtu kama sugu kugombea ubungo nitashangaa sana

yaani mtu kafika kutukana watu wazi wazi (kaita watu mashoga, na wengine kusema wanaeneza ngoma)........

hana nidhamu za kuwa mbunge ......tafadhalini chadema msiweke mtu huyu
 
chadema ikimsimamisha mtu kama sugu kugombea ubungo nitashangaa sana

yaani mtu kafika kutukana watu wazi wazi (kaita watu mashoga, na wengine kusema wanaeneza ngoma)........

hana nidhamu za kuwa mbunge ......tafadhalini chadema msiweke mtu huyu

na kama je ushahidi wa ushoga upo na pia ushahidi wa kusambaza ngoma kwa ngono zembe upo .....ni nani ni wa kushtakiwa sugu au hao mawingus crew????kueneza ngoma kwa ngono zembe ni kosa au sio kosa ?????
 
we ni ccm nini?
Unauliza jibu? ni mmoja wa wale wale waliopanga mipango ya kumkamata sugu. ehehehahahahahahaha nimegundua tokana na maandiko yake. Lakini hiyo ni kujidanganya tu. Haki za sisi m zina mwisho wake maana twaenda kujilipiza kwenye kisanduku kile cha plastic october 31 2010 mkuu Abdulhalim.
 
Hold on Abdulhalim,
Nadhani kama unataka kuwa fair na kuona maneno ya Sugu yamekukeleketa kiasi hicho tafadhali nenda kamkamate kwanza John Komba wa chama chako cha sisi m kwa wimbo wake ule kwamba wapinzani wachinjwe na kuuwawa alioutunga na TOT. Si unaukumbuka? Kila uchaguzi wanazipiga hizi! Polisi hawaoni hizo ni hatari wala kutishia kuua. Maana zimeimbwa na mabwana wao siyo?
Kama huwezi fanya hivyo ondoa bla bla kwenye thread hizi hapa. Period.
 

Maumivu ya kichwa huanza polepole..mwishowe mgonjwa huishia Mirembe.
 
ujumbe wa Mr. II ungefika penyewe bila kutumia matusi na defamatory statements. Ni vibaya kutumia uhuru wa kuongea kumtukana mwenzako. Ujembe waweza fika bila matusi.
 
ujumbe wa Mr. II ungefika penyewe bila kutumia matusi na defamatory statements. Ni vibaya kutumia uhuru wa kuongea kumtukana mwenzako. Ujembe waweza fika bila matusi.
Jamani tunaomba mtuwekee maneno ya wimbo huu mnaoita ni wa matusi hapa ili tuufanyie judgement ya haki. Maana nadhani wengi tunachangia bila wimbo wenyewe kuujua wala kujua maneno yake. mwenye kuyajua maneno yaliyotumika atuwekee hapa wakuu. Ili tufanye fair judgement.
 
Maumivu ya kichwa huanza polepole..mwishowe mgonjwa huishia Mirembe.
Mara tu yamekuwa matusi?!
Ubarikiwe ndugu kwa matusi yako! Mimi sina muda wa kutukanana. Nimesema ukweli na sidhani kama unanitendea haki kwa kunitukana.
 
Mara tu yamekuwa matusi?!
Ubarikiwe ndugu kwa matusi yako! Mimi sina muda wa kutukanana. Nimesema ukweli na sidhani kama unanitendea haki kwa kunitukana.
Nadhani kuniita mimi ni CCM ni sawa na kunitukania mama yangu hadi ardhi ninayoikanyaga. Hivo wewe ndio umenitukana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…