uaminifukazi
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 1,467
- 916
tena anajibu kwa mbwembwe zote
Hahahahahahahaha. Kwani kuna ubaya gani kujibu swali la historia? Najua mnaumia mkiona nyuzi kama hizi kwani kipindi kile cha bifu nyie ndo mlikua wachochezi wa kuni. Mjomba wenu sugu akalambishwa mchanga wa karatasi akanywea aibu ikabaki kwenu wapambe nux.
Aibu yao,aibu yenuuu????