Duuh...! wanasema sio vizuri kufukua Makaburi, ila hii haina jinsi....!
Ni sawa na Serikali kuhitaji eneo la Maziko, kwa nia ya ama kupitisha Bomba la Maji, au kujenga Hospitali (yote ni kwa nia ya masilahi ya nchi, sio wafu).
Nimeifikiria hii issue na kuifukunyua, kwani wapo wanaosema, nyuma ya pazia, kulikuwa na biashara ya Unga.
Na wagomvi wawili Sugu na Ruge, ndio walikuwa wahusika..!!
Tujaribu kufuatilia na kudadisi hili kwa kina, tuweze kujua ukweli.
Sent from my SM-A500F using JamiiForums mobile app