Antoni Nugaz wa Clouds ameoa?

Maana yake nini

Nina siku Nne ( 4 ) toka nitoke kula BAN hivyo vuta subira kidogo angalau Jamvi linizoee. Bora uwekwe rumande Central au ufungwe tu Segerea ujue moja kuliko kula BAN ya JamiiForums kwani inauma na inatesa. Mkuu mtafute Mtu wa Pwani atakupa maana ya hiyo bhana tusichoshane au kama vipi pambana tu na hali yako!
 
Aaaaa jamanii
 
Sijui nani kamuiba katoweka kila sehemu sio humu wala kwingine
Si na yule wangu kapotea,,basi sie hatuna hiyana ,,,wakija watatukuta penzi moto moto,,,ole wako ukirudiee
 
Si na yule wangu kapotea,,basi sie hatuna hiyana ,,,wakija watatukuta penzi moto moto,,,ole wako ukirudiee
[emoji3][emoji3] huo mkwara toto unanichimba mimi....
Usiogope hilo
 
[emoji3][emoji3] huo mkwara toto unanichimba mimi....
Sasa unataka mkwara ganii,,,hutaki ukweli,,,kama mauno nami nnayo ya kutosha hata ukitaka ya mauno ya uzazi ntakupa,,,tupambane na hali zetu
 
anakuvutia wew na c mdogo wako tuma maombi yako binafsi muelewane wenyew
 
Duh!!!

-Ndumilakuwili-
 
Duh! haya ndio mambo ya jumanne kabwela (jimmy Kabwe )
 
Haha mkuu eti Juma nani??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…