Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hii ndio Taarifa iliyotolewa na Club hiyo ya soka ya London , inasemekana amepewa mkataba mfupi wa mwaka mmoja na nusu , huku akiongezewa kitita cha paundi mil 100 kwa ajili ya kuboresha kikosi chake hapo January 2022