Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Na hata akitimuliwa haitakua ajabu,Huu ndio ukweli wenyewe , hakuna kocha aliyejenga heshima yake akiwa chelsea kama jose morinyo , lakini kila mwenye macho ameona jinsi alivyotupiwa vilago vyake kwenye mfuko wa rambo ,
Abramovic ambaye ndiye mmiliki wa chelsea hajui lolote kuhusu soka , hana uvumilivu na ni mtu anayetaka mafanikio kwa kasi ya radi , haiwezekani !
katika jambo lolote analolifanya mtu ili afanikiwe anahitaji consistency , haijawahi kuwa rahisi kupata mafanikio , conte hatatwaa ubingwa na anaweza asiwemo kwenye top 4 kwa msimu wake wa kwanza na baada ya hapo atadhalilika kwa kutimuliwa .
conte hana njaa kama sisi , kisa cha kuacha timu ya taifa lake na kwenda mahali anakosubiri kudhalilishwa muda wowote ni nini ?Na hata akitimuliwa haitakua ajabu,
Mkuu,conte hana njaa kama sisi , kisa cha kuacha timu ya taifa lake na kwenda mahali anakosubiri kudhalilishwa muda wowote ni nini ?
hivi kwanini makocha wote wasikubaliane kuigomea chelsea ?Mkuu,
Hela inatakiwa na kila mtu aisee, hata waliosjhiba pia huitamani hela. Unamkumbuka Dogo Andre Villas-Boas??
Hakua na njaa za kijinga but still alienda chelsea kufuata mshiko
mkuu, usimlaumu tu abramovic, hata wachezaji wa chelsea pia huwa wanachangia kwa kiasi kikubwa kutimuliwa kwa makocha, wengi nidham mbovu, kumbuka kutimuliwa kwa andres villas boas kulichochewa na akina drogba, terry & co. hata kutimuliwa kwa mourinho juz kulichochewa na akina costa , fabregas & co. mm nafikiri huyu mmiliki wa timu anawapenda na kuwadekeza sana wachezaji wake, hii inapelekea wachezaji kuvimba kichwa. vuta hisi urafiki wa drogba na abramovic kipindi ile, harafu aje kocha apishane kauli na drogba, unafikiri abramovic atambakisha?hivi kwanini makocha wote wasikubaliane kuigomea chelsea ?
Kamanda Erythrocyte bila shaka utakuwa shabiki wa aseno/livapool!hivi kwanini makocha wote wasikubaliane kuigomea chelsea ?
ni kweli kila timu inahitaji mafanikio lakini si ya zimamoto , hata hivyo lawama zangu kwa conte ni kwamba safari yake kwenda chelsea imejaa tamaa ya hela tu , na akitimuliwa thamani itashuka kwa kiwango ambacho ni vigumu hata kufundisha QPR .Kamanda Erythrocyte bila shaka utakuwa shabiki wa aseno/livapool!
sisi tunataka mafanikio sio longolongo za akina wenger/van girl!
mawazo ya kindezi sana haya.hivi kwanini makocha wote wasikubaliane kuigomea chelsea ?
soka ni uwekezaji, na hakuna kitu kinaitwa mafanikio ya zima moto kwenye soka, conte anafundisha soka ili apate pesa na chelsea kuna pesa kwanini asiende??ni kweli kila timu inahitaji mafanikio lakini si ya zimamoto , hata hivyo lawama zangu kwa conte ni kwamba safari yake kwenda chelsea imejaa tamaa ya hela tu , na akitimuliwa thamani itashuka kwa kiwango ambacho ni vigumu hata kufundisha QPR .
uchunguzi wa kweli unaonyesha kwamba kazi pekee kubwa aliyoifanya ndugu Abramovic tena kwa mafanikio makubwa tangu aingie kwenye soka la uingereza ni kuajiri makocha wengi na kuwafukuza .Huu ni kama tu utabiri kwakweli.Nilitegemea nitakuta sababu za kiufundi za kwa nini Conte anaenda kushindwa Chelsea.Kumbe ni "utabiri based analysis".Basi sawa.....
Ni suala la kusubiri na kuona .Huu ndio ukweli wenyewe , hakuna kocha aliyejenga heshima yake akiwa chelsea kama jose morinyo , lakini kila mwenye macho ameona jinsi alivyotupiwa vilago vyake kwenye mfuko wa rambo ,
Abramovic ambaye ndiye mmiliki wa chelsea hajui lolote kuhusu soka , hana uvumilivu na ni mtu anayetaka mafanikio kwa kasi ya radi , haiwezekani !
katika jambo lolote analolifanya mtu ili afanikiwe anahitaji consistency , haijawahi kuwa rahisi kupata mafanikio , conte hatatwaa ubingwa na anaweza asiwemo kwenye top 4 kwa msimu wake wa kwanza na baada ya hapo atadhalilika kwa kutimuliwa .
Kweli.Ni suala la kusubiri na kuona .
Nadhani tuwape ushauri huu mkuu tuwapigie simu mmoja baada ya mwingime.hivi kwanini makocha wote wasikubaliane kuigomea chelsea ?
hivi kwanini makocha wote wasikubaliane kuigomea chelsea ?
Huu ndio ukweli wenyewe , hakuna kocha aliyejenga heshima yake akiwa chelsea kama jose morinyo , lakini kila mwenye macho ameona jinsi alivyotupiwa vilago vyake kwenye mfuko wa rambo ,
Abramovic ambaye ndiye mmiliki wa chelsea hajui lolote kuhusu soka , hana uvumilivu na ni mtu anayetaka mafanikio kwa kasi ya radi , haiwezekani !
katika jambo lolote analolifanya mtu ili afanikiwe anahitaji consistency , haijawahi kuwa rahisi kupata mafanikio , conte hatatwaa ubingwa na anaweza asiwemo kwenye top 4 kwa msimu wake wa kwanza na baada ya hapo atadhalilika kwa kutimuliwa .