Antonio Conte Ligi ya Uingereza ni Tofauti na Ile ya Italia Baba.

Antonio Conte Ligi ya Uingereza ni Tofauti na Ile ya Italia Baba.

Kumbe konte anachetj Ubunyu mpaka huku? Watanzania tunajua kila kitu isipokuwa vya kwetu.
 
Kumbe konte anachetj Ubunyu mpaka huku? Watanzania tunajua kila kitu isipokuwa vya kwetu.
Kama nini kiongozi hatujui Mfano leo Azam kacheza na Viper ya Uganda,Simba jana kashinda goli moja,Yanga kamchapa Mlandege 2,Siasa Sipendi sana ila nasikia Shamba lingine la Sumaye limepigwa juu kwa juu,Mahindi yanalimwa Iringa sana(Isimani) hata kwa jirani pale Uhuru Kanasa Odinga,Kagame kashinda Ushindi wa kishindo

Tupo bana sio lazima tuandike vya kwetu tu

Ila sipati picha jana we ni shabiki wa Barcelona na Chelsea alooo hatari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inawezekana kuna kamgomo baridi Chelsea aisee , maana wachezaji wanazitafuta kadi nyekundu maksudi. Mara Pedro kamkwatua mtu , Mara Cahill mara Fabrigas du, this is too much , something behind. Ule mchezo hata Luis alikuwa anatafuta kadi nyekundu pia ila baadae alitulia.
 
Ukiwa mshabiki wa mpira ukishinda shangilia sidhani siku chelsea wanakula vyuma vitatu kama ulifurahi.

Tuache tushangalie Kiongozi ikitokea tumechenjuliwa japo ni ngumu basi...

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo man u.mnaongea sana.arsenal kashinda.ila kanyamaza kimya.ila ninyi bhana.mnatusumbua kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inawezekana kuna kamgomo baridi Chelsea aisee , maana wachezaji wanazitafuta kadi nyekundu maksudi. Mara Pedro kamkwatua mtu , Mara Cahill mara Fabrigas du, this is too much , something behind. Ule mchezo hata Luis alikuwa anatafuta kadi nyekundu pia ila baadae alitulia.
hamna kitu kama hicho.refa mawenge yule.cahill hajakusudia.kadi ya njano ya fab4 ya kwanza ni sababu alipiga makofi.ya pili alimuingilia mtu vibaya.luiz alivurugwa sababu ya kadi ya cahill,timu ingekuwa na mgogoro.hata zile goli 2 tusingepata.
timu imecheza vizuri tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wala c wez mlaum conte kwa case ya Costa, conte kama manager wa club yuko sahih, tatzo c uchezaj ila mnasahaubusumbufu wake mwaka Jana akitaka kuondoka. Sasa hi ni tabia mbaya ulaya c Africa ukiwa na mkataba ukaanza kuleta kibri haijalish kipaji chako. Akipigiwa magoti ataambukiza ujinga kwa wengne. Ndo mana uongoz wa Chelsea umebariki kutengwa kwake, aende vzur huko China. Chelsea itakuwepo bila yeye na ilikuwepo c yey ajione muhim kuliko Chelsea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nianze kwa Kumshukuru Baba Conte kwa kutuuzia chombo kikiwa kimesoma mita chache Matic asante kwa mzima Mitambo huyu.

Nasaha zangu kwa Conte game ya kwanza tayari Chali Halafu ijayo na Totenham muulize rafiki yetu Claudio Ranieli na Mfumo wake wa pasi 3 mpaka anabeba ndoo leo yupo wapi,sikatai ligi bado mbichi ila kuwa makini baba.

Yule Mrusi hana utani hachelewi kukupiga chini na kuleta mwingine pale,

Uingereza huwezi chukua kombe mara 3 mfululizo kama Italia au Hispania labda kwa baadhi ya timu tena miaka hiyo,wakijua mbinu zako tu umekwisha baba utashangaa Brighton wanakua wabaya siku unakutana nao kuliko Mancity,bado sijamwamini Morata hata kidogo japo kaanza na kufunga ila huezi mlinganisha na Mtu Korofi Diego Costa.

Angalia baba Jipange kisawasawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ushindi mechi moja tu, kelele zimeshaanza.Kwa wale wanaoijua EPL ifikapo Desemba ndo walau huanza kubwata.Unaongelea Matic je ushamuona Bakayoko?,All in all ni mapema mnooooo kuanza kujisifia ubora wa timu zebu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ushindi mechi moja tu, kelele zimeshaanza.Kwa wale wanaoijua EPL ifikapo Desemba ndo walau huanza kubwata.Unaongelea Matic je ushamuona Bakayoko?,All in all ni mapema mnooooo kuanza kujisifia ubora wa timu zebu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Bakayoko yule aliyetoa boko akasababisha Monaco walale 2-0 nyumbani, au sio huyu?
 
Bakayoko yule aliyetoa boko akasababisha Monaco walale 2-0 nyumbani, au sio huyu?
Ngoja huyo kocha wako aanze kumuingiza dk 65 halafu aje amtoe dk 76 ndio utajua uzuri wa huyo unayemsifia.
 
Hizi kelele zote nikutokana hamjabeba hili kombe mda tangu kibabu chenu kiondoke mnatamani hata ligi iishe leo mtangazwe mabingwa ili mpige kelele vizuri mechi moja tu mnaanza kuwakejeli Chelsea kisa kafungwa bado kuna mechi 37 zimebaki.
 
Nianze kwa Kumshukuru Baba Conte kwa kutuuzia chombo kikiwa kimesoma mita chache Matic asante kwa mzima Mitambo huyu.

Nasaha zangu kwa Conte game ya kwanza tayari Chali Halafu ijayo na Totenham muulize rafiki yetu Claudio Ranieli na Mfumo wake wa pasi 3 mpaka anabeba ndoo leo yupo wapi,sikatai ligi bado mbichi ila kuwa makini baba.

Yule Mrusi hana utani hachelewi kukupiga chini na kuleta mwingine pale,

Uingereza huwezi chukua kombe mara 3 mfululizo kama Italia au Hispania labda kwa baadhi ya timu tena miaka hiyo,wakijua mbinu zako tu umekwisha baba utashangaa Brighton wanakua wabaya siku unakutana nao kuliko Mancity,bado sijamwamini Morata hata kidogo japo kaanza na kufunga ila huezi mlinganisha na Mtu Korofi Diego Costa.

Angalia baba Jipange kisawasawa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Inaelekea unafata mkmbo tu wala hujui chochote kuhusu Soka la England
1: Conte hajamuuza Mtic, fatilia utajua
2: Conte sio mgeni wa EPL, msimu uliopita alianza kwa kushinda kisha akapoteza mechi tatu ya Arsenal na Liver na mwisho wa league Conte akanyanyua kombe

So kwa Chelsea kuanza hivi wala sio shida
 
Sasa kama costa analeta maringo.utamlazimisha?mwache aende.sio mungu yule.morata anafaa.hata timu ifungwe vipi siwezi kumlaumu conte kwa ajili ya costa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Costa alianza kupoteza morari na timu toka dec so asepe tu kikubwa tunahitaji kikosi kipana ila costa ujinga wake wa kuona anajua ndio shida

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom